Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekwama wapi?MV Magogoni Imekwama Leo
😆😆Imekwama wapi?
Imekwama wapi?
Imekwama wapi?
PichaImekwama wapi?
Hicho kikubwa Bado kuja, hata ujenzi wake Bado haujaanzaLeo tena mida ya saa nne taharuki ilitokea japo sio kubwa,
Mkuu wa Wilaya anasema kuna Kivuko kinakuja kikubwa zaidi ya Mv Magogoni,
Ngoja tuone.
Temesa haijiendeshi, inategemea fungu kutoka serikaliniHivi hizo hela zinazokusanywa hapo hazijafika kuweza kununua kivuko kingine,inasikitisha sana!
Million karibu 20 wanayopata hapo kwa siku inaenda wapi?Temesa haijiendeshi, inategemea fungu kutoka serikalini
Wao wanasema wanatoa huduma ya kijamii, hiyo Pesa inayopatikana inapoenda sijui. Ila wakitaka kufanya Marekebisho au kununua kivuko lazima waombe serikaliniMillion karibu 20 wanayopata hapo kwa siku inaenda wapi?
Obvious inaenda serikalini ambako wao Temesa wanakopata mgao wa kujiendesha.Wao wanasema wanatoa huduma ya kijamii, hiyo Pesa inayopatikana inapoenda sijui. Ila wakitaka kufanya Marekebisho au kununua kivuko lazima waombe serikalini
Kheeee!!Hicho kikubwa Bado kuja, hata ujenzi wake Bado haujaanza
Mama ndio alitoa ahadi ya kutoa pesa ya kivuko kikubwaKheeee!!
Kwa hiyo Mh. Dc alikua anampigia Mama chapuo ya kisiasa
Kuna haja gani ya kuwa na vivuko visivyo vya uhakika na usalama wake ni mdogo ikiwa serikali inaweza kujenga daraja zuri tu hapo na maisha yatakuwa rahisi kwa wakazi wa kigamboni. Tanzania bhana ni nchi fulani ya hovyo sana serikali inawatesa tu wakatwa tozo.Wakuu, jana na leo! Nimeshuhudia kitu kisicho cha kawaida wakati navuka kati ya Feri na Kigamboni.
Sijui kivuko ni kibovu ama vipi.
Tumepanda kikagoma kabisa kwenda, nafikiri tulikuwa wengi kupita kiasi.
Tukapunguzwa at least kikatembea kwa shida.
Yaani kwa sasa Feri ni shida kweli kweli.
Wasipochukua hatua kwa siku hizi ambapo vivuko ni viwili tu, lolote linaweza kutokea hasa nyakati za Asubuhi na Jioni.
Nawasilisha
MmhPigeni mbizi acheni uoga