Kuna jimama la kibrazili nimelipata hapa Paje, natafuta namna ya kulipagawisha. Wamasai mko wapi?

Kuna jimama la kibrazili nimelipata hapa Paje, natafuta namna ya kulipagawisha. Wamasai mko wapi?

Kalaga Baho Nongwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2020
Posts
9,953
Reaction score
23,150
Na kalaga baho

Wazee toka nije paje nimevutiwa sana na maisha ya ubichi boi, imenipa ari na nguvu ya kuongeza siksi paki na kushinda na vibukta bichi. Hapa nina mpango nifuge na rasta kabisa

Katika pitapita zangu nikakutana na jimama flani hiv "age go" yqni linakula pensheni za pesa hapa unguja kama halina akili nzuri, nikasema potelea mbali. Nikajikoki kulitongoza hivyo hivyo. Wanangu wakanikaririsha maneno ya kufloo yani "jambo jambo, hakuna matata" alafu "uriande setula meryente"

Basi wakuu jimama sio zuri sana lina take dogo kam skonsi na ziwa la kutosha. Na mm ndo nalielewa kichizi na limeniambia litanijengea hoteli hapa niwaajir vijana alafu twende kwao Sao Paulo. Wamasai leteni mbinu nalipagawisha vipi linishushie mibaraka mwaka huu 2025.

Nongwa
20250102_173154.jpg
 
Back
Top Bottom