Kuna jimama la kibrazili nimelipata hapa Paje, natafuta namna ya kulipagawisha. Wamasai mko wapi?

Kuna jimama la kibrazili nimelipata hapa Paje, natafuta namna ya kulipagawisha. Wamasai mko wapi?

Hili wifi lako, mshangazi. Unajua nimerudi kwemye ishu zangu za hotelier mana nina muda kidogo nimpoteza iman na kuishi dar
Ooh okay....nlikua mitaa hiyo
Aseee wamasai wamejua kuliaibisha kabila, yani jamii yenye tamaduni yenye nguvu Africa nzima kweli wanajiuza ufukweni? πŸ˜‚

Au ni vijeba tu vya kizaramo vimeamua kuvaa mashuka?
 
Ooh okay....nlikua mitaa hiyo sikukuu
Aseee wamasai wamejua kiliaibisha kabila, yani jamii yenye tamaduni yenye nguvu Africa nzima kweli wanajiuza ufukweni? πŸ˜‚

Au ni vijeba tu vya kizaramo vimeamua kuvaa mashuka?
Wamasai wanaomba namba kwa wake za watu mbele ya waume zao.. kuna siku tu watalimbilwa laivu
 
Na kalaga baho

Wazee toka nije paje nimevutiwa sana na maisha ya ubichi boi, imenipa ari na nguvu ya kuongeza siksi paki na kushinda na vibukta bichi. Hapa nina mpango nifuge na rasta kabisa

Katika pitapita zangu nikakutana na jimama flani hiv "age go" yqni linakula pensheni za pesa hapa unguja kama halina akili nzuri, nikasema potelea mbali. Nikajikoki kulitongoza hivyo hivyo. Wanangu wakanikaririsha maneno ya kufloo yani "jambo jambo, hakuna matata" alafu "uriande setula meryente"

Basi wakuu jimama sio zuri sana lina take dogo kam skonsi na ziwa la kutosha. Na mm ndo nalielewa kichizi na limeniambia litanijengea hoteli hapa niwaajir vijana alafu twende kwao Sao Paulo. Wamasai leteni mbinu nalipagawisha vipi linishushie mibaraka mwaka huu 2025.

Nongwa
View attachment 3190712
Fuga rasta,anzaa kuvaa nguo za kimasai pia jifunze kupandisha mori
 
Back
Top Bottom