Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
- #21
Dah! Kweli mchawi ndugu ππππππ bro umeamua kujiuza?? Yani zile haso na motivesheni umezipa kikono umeamua kudanga? πππ
Hujambo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Kweli mchawi ndugu ππππππ bro umeamua kujiuza?? Yani zile haso na motivesheni umezipa kikono umeamua kudanga? πππ
Au sio? Huamini nn sasa?View attachment 3190718
Sijambo braza, ukienda brazil usinisahau....Dah! Kweli mchawi ndugu ππ
Hujambo?
Hili wifi lako, mshangazi. Unajua nimerudi kwemye ishu zangu za hotelier mana nina muda kidogo nimpoteza iman na kuishi darππππ bro umeamua kujiuza?? Yani zile haso na motivesheni umezipa kikono umeamua kudanga? πππ
Hahahaaa njoo nae, njooo naeee mkuuuu?Hapana sim haina chaji, mama la kizungu naliacha hapo villa kwanza lipoe ili nikalipelekee moto mida flani hiv
Hapo kuna unyama wa kila aina, wanapika vyakula vya kichina tu. Sema wewe ukija nitakupeleka sehem wali wa buku mbili na mia tano na wazungu wamo. Kuna wazungu zanzibar huwang'oi tena yani wamelowea kabisaHiyo restaurant dude lao rangi gani hizo!!!! Zipo ngapi hapo?
Ooh okay....nlikua mitaa hiyoHili wifi lako, mshangazi. Unajua nimerudi kwemye ishu zangu za hotelier mana nina muda kidogo nimpoteza iman na kuishi dar
Huyu namgongea panado mbili na Mo energy, nashusha na chuzi la sea food moja namuachia kiyama mpaka saa 7 usiku. Kama tuko vitani tuSijambo braza, ukienda brazil usinisahau....
Kwahiyo ushapata mkongo na kilemba?
Usipanie sana, ukipania....inapata pancha.Huyu namgongea panado mbili na enemies, nashusha na chuzi la sea food moja namuachia kiyama mpaka saa 7 usiku. Kama tuko vitani tu
Wamasai wanaomba namba kwa wake za watu mbele ya waume zao.. kuna siku tu watalimbilwa laivuOoh okay....nlikua mitaa hiyo sikukuu
Aseee wamasai wamejua kiliaibisha kabila, yani jamii yenye tamaduni yenye nguvu Africa nzima kweli wanajiuza ufukweni? π
Au ni vijeba tu vya kizaramo vimeamua kuvaa mashuka?
Nina experience ya miak kama 3 kwenye kupaniana. Can you please trust the process?Usipanie sana, ukipania....inapata pancha.
πππππ dah kwakweli nlikua nawaangalia nacheka.....Wamasai wanaomba namba kwa wake za watu mbele ya waume zao.. kuna siku tu watalimbilwa laivu
Kila laheri braza kwahiyo ukikeshea hivo unalipwa? πΉNina experience ya miak kama 3 kwenye kupaniana. Can you please trust the process?
Mkuu Evelyn Salt happy new year and Merry Christmas please keep praying for me 2025 naona nikiwa mbali Sanaππππ bro umeamua kujiuza?? Yani zile haso na motivesheni umezipa kikono umeamua kudanga? πππ
Au sio? Huamini nn sasa?View attachment 3190718
Naingiza natoa....Ili utoboe wewe au sio?
Fuga rasta,anzaa kuvaa nguo za kimasai pia jifunze kupandisha moriNa kalaga baho
Wazee toka nije paje nimevutiwa sana na maisha ya ubichi boi, imenipa ari na nguvu ya kuongeza siksi paki na kushinda na vibukta bichi. Hapa nina mpango nifuge na rasta kabisa
Katika pitapita zangu nikakutana na jimama flani hiv "age go" yqni linakula pensheni za pesa hapa unguja kama halina akili nzuri, nikasema potelea mbali. Nikajikoki kulitongoza hivyo hivyo. Wanangu wakanikaririsha maneno ya kufloo yani "jambo jambo, hakuna matata" alafu "uriande setula meryente"
Basi wakuu jimama sio zuri sana lina take dogo kam skonsi na ziwa la kutosha. Na mm ndo nalielewa kichizi na limeniambia litanijengea hoteli hapa niwaajir vijana alafu twende kwao Sao Paulo. Wamasai leteni mbinu nalipagawisha vipi linishushie mibaraka mwaka huu 2025.
Nongwa
View attachment 3190712