Kuna jimama la kibrazili nimelipata hapa Paje, natafuta namna ya kulipagawisha. Wamasai mko wapi?

Hili wifi lako, mshangazi. Unajua nimerudi kwemye ishu zangu za hotelier mana nina muda kidogo nimpoteza iman na kuishi dar
Ooh okay....nlikua mitaa hiyo
Aseee wamasai wamejua kuliaibisha kabila, yani jamii yenye tamaduni yenye nguvu Africa nzima kweli wanajiuza ufukweni? πŸ˜‚

Au ni vijeba tu vya kizaramo vimeamua kuvaa mashuka?
 
Ooh okay....nlikua mitaa hiyo sikukuu
Aseee wamasai wamejua kiliaibisha kabila, yani jamii yenye tamaduni yenye nguvu Africa nzima kweli wanajiuza ufukweni? πŸ˜‚

Au ni vijeba tu vya kizaramo vimeamua kuvaa mashuka?
Wamasai wanaomba namba kwa wake za watu mbele ya waume zao.. kuna siku tu watalimbilwa laivu
 
Fuga rasta,anzaa kuvaa nguo za kimasai pia jifunze kupandisha mori
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…