Kuna Kampuni Tz yenye Huduma bora zaidi kwa wateja zaidi ya Sokabett?

Kuna Kampuni Tz yenye Huduma bora zaidi kwa wateja zaidi ya Sokabett?

daxy Jr

Member
Joined
Apr 15, 2020
Posts
88
Reaction score
307
Oiii wadau, sijui ni mimi tu ila sikuhizi napigiwa sana simu na watoa huduma wa makampuni mbalimbali hasa haya ya kubettisha na kiukweli huwa mara nyingi nawamind kwasabab nakua niko busy na shughuli zangu. Ila kuna hawa wahudumu wa Sokabet weeee, kwanza sauti zao tu! zinashawishi unatamani hata asikate simu.. Big Up kwao ase!
 
Back
Top Bottom