Kuna kidada cheupe pale TANESCO Mbezi Beach Afrikana nani anakipa jeuri namna ile?

Utakuta hakosi chura

Ova
 
Tunaendelea kuwasihi wateja wetu kujenga tabia ya kufata taratibu haswa za kufanya malipo yote ya Serikali kupitia namba ya kumbukumbu ya malopo yaani control number, malipo yote unayofanya nje ya mfumo sahihi ni uvunjifu wa sheria na taratibu
Sasa kama wafanyakazi wenu Tunaowaamini ndiyo wanafanya hayo! Sisi wananchi tufanyeje! Maana chochote tunachoambiwa ndani ya ofisi yenu lazima tunawaamini?
 
 
Kuna vitu vingine uwe unamalzia huko huko

Kama kakukera mpige miti yanini kutushirikisha sisi hapa
 
Pesa imelipwa kwa huyo Dada mapokezi na alimpiga picha kwa simu yake na kusafisha picha pale, na kudai pesa ya picha kabla ya kumpatia fomu akiwa humo ndani!

Umesema kwa simu yake na sio simu ya shirika (Tanesco).

Kosa lipo endapo kuna camera (simu) ya shirika na hakuitumia makusudi....lakini kama hakuna camera (simu) ya shirika na karahisisha kazi kwa kutumia simu (camera) yake binafsi, sioni tatizo yeye kudai ujira wake.
 
Tunashukuru sana kwa taarifa tunaipokea kwa hatua zaisi tafadhali tusaidie namba yako pm tuifatilieai

Tunashukuru sana kwa taarifa tunaipokea kwa hatua zaisi tafadhali tusaidie namba yako pm tuifatilie
Msikulupuke kuchukua maamuzi! Kama amefanya kosa kweli aonywe na kazi iendelee
 
Mmh, jamani, mtu anabangaiza apate viela vya nauli mnamuanzishia uzi?!
 


Utaratibu ni kupigwa picha bure au?

Inawezekana unatakiwa ukapiga picha nje ila mtu kajiongeza kuweka camera na mtambo wa kusafisha na unataka upigwe picha bure.
 
Umamuita KIDADA CHEUPE

you are no different - na wewe dhereu zako deserves dhereu za huyo dada
 
Tunashukuru sana kwa taarifa tunaipokea kwa hatua zaisi tafadhali tusaidie namba yako pm tuifatilie
Mambo ya pm tena ya nini!? Mwageni taarifa hapahapa Jamvini ili wote tujuwe kinachoendelea,na Kama kweli mmelifanyia kazi hilo tatizo lake mleta maada!!
 
Inasikitisha sana,mteja katoa kero yake akitegemea kupata matokeo chanya ila kwa majibu ya member wa humu ni dhahiri changamoto tunazozipitia ni zimetengenezwa na zinakumbatiwa na wananchi wenyewe,aibu sana!
 
Una stress sana..
 
Sasa hadi hapo unadhani umeme utapata kwa kudai lisiti ya picha za 3000
 
Kama Ni pisi kali Basi Kuna mwanaume mwenzetu anakapa kiburi hako kadada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…