Kuna kidada cheupe pale TANESCO Mbezi Beach Afrikana nani anakipa jeuri namna ile?

Usiwafundishe TANESCO kazi. Wanajua wanachokifanya!

Wao ndio wanalo file la huyo dada. Je kama ameshapewa maonyo kadhaa?? Bado waendelee kumuonya tu??
Njia rahisi zaidi nikuwabana staff wenzake waliojilani naye! Kuwahoji kwa siri waeleze huyo dada ameanza lini hiyo biashara ya kusafisha picha, na anatumia mashine gani! # TANESCO
Yote kwa yote, sidhani kama ni sahihi kumuita mwanadamu mwenzio "Kile Kidada Cheupe nani anakipa jeuri"
Tusaidie kulipata jina lake
 
MODS REKEBISHENI KIDOGO KICHWA CHA HABARI KIWE "KUNA DADA MWEUPE PALE TANESCO...... NANI ANAMPA JEURI?" TUHESHIMU HAKI YA MTU BINAFSI
 
We mkuu una chuki binafsi, pale utaratibu Ni kwamba unaenda na picture passport size moja, na kitambulisho chochote,

Hawapigi picha mne ndani mkuu
 
Tena ilinisikitisha sana, na nitahakikisha nafuatilia ili nipate na jina ikiwezekana na picha ya hicho kidada #TANESCO
Ushahidi wa yeye kuchukua hiyo pesa unayo?

Ukikutana na watu wako smart unaweza ukashtakiwa na kulipishwa pesa ndefu kwa kumchafulia jina.

Ni ushauri tu.
 
Haya uliyo-comment ni tofauti kabisa na ulichosema mwanzoni.
 
Unajua madhara ya kuruhusu mambo kama haya?
 
Mutu mweusi akiwa na kacheo,,tena ofcn dunia yote yake mzehe,,,huwa wanakaushamba flani ivi 🀣 wanawaona wengine wajinga wajinga na dharau juuu. Sio wote.

Mhindi na mwafrika baba mmoja, mama mmoja 😁😁😁😁😁 kuna wanao jitambuwa.
 
Kuna haki ya kusikiliza upande wa pili na uchunguzi hivyo tumelipokea kwa kulifatilia wakati mwingine unakuta mtu katoa fedha kwa kishoka asiye mfanyakazi wa TANESCO ndio maana tunasisitiza kuchunguza
Kaka. Vishoka wanaingia mpaka ndani siku hizi?
 

 
mkuu utakuwa umejawa roho ya umaskini. na lazima wewe ni wa kwanza kwenye familia au ukoo wenu kujenga mjini. hivi ni vitu vya kulalamika dada? hata huyo ndugu yako kazi anayo
 
Unasema ana nywele nyingi za wapi kichwani au?
Kama ni nywele za kichwani ni
zake au wigi?
 
Tunashukuru sana kwa taarifa tunaipokea kwa hatua zaisi tafadhali tusaidie namba yako pm tuifatilie
Simu yake ya nini tena? ndio mambo ya kulindana yanaanza hivi. Umepewa malalamiko yafanyie kazi. Mbona kwenye sanduku la maoni hamna anayejitaja
 
Kuna haki ya kusikiliza upande wa pili na uchunguzi hivyo tumelipokea kwa kulifatilia wakati mwingine unakuta mtu katoa fedha kwa kishoka asiye mfanyakazi wa TANESCO ndio maana tunasisitiza kuchunguza
Kumbe ni kishokaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…