DOKEZO Kuna kifo cha kizembe kimetokea juzi Msoga Hospitali, Chalinze. Tafadhali Mbunge Ridhiwani acheni siasa

DOKEZO Kuna kifo cha kizembe kimetokea juzi Msoga Hospitali, Chalinze. Tafadhali Mbunge Ridhiwani acheni siasa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

gimmy's

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2011
Posts
3,312
Reaction score
3,345
Wandugu Salaam,

Juzi pale hospitali Msoga Madaktari wamepokea mgonjwa aliekuwa anatapika na kuharisha Damu sana na haraka walipomchukua maelezo wakabaini jambo.

Huyu mgonjwa alipata tatizo wakati anatafuna mfupa wa kuku na bahati mbaya kipande cha mfupa chanye ncha kali kilimkwama kooni. Alihangaika kukisukuma kwa kumeza ugali kikashuka tumboni lakini nako kilishuka na kuchoma tena tumboni.

Madaktari mara baada ya kupata hayo maelezo haraka wakamuingiza mgonjwa chumba cha XRAY ili wajiridhishe ndipo waanze upasuaji lakini kwa bahati mbaya umeme ukawa mdogo mashine za XRAY zikashindwa kufanya kazi.

Madaktari walihangaika kupiga simu Tanesco wakaambiwa tatizo lipo kwenye Gridi wao hawana chakufanya. Waliambiwa huwenda tatizo likachukua siku tatu kutengemaa maelezo yakawakatisha Tamaa.

Madaktari walianza kubishana pale wampasue tu bila XRAY kwani mgonjwa alihitaji msaada wa haraka lakini wengine waligoma kwani miongozo iliwataka wathibishe kwanza kwa vipimo.

Madaktari wakaamua wamkimbize Tumbi lakini mgonjwa huyu alipofika tu Tumbi akafia mapokezi hakuweza kupata huduma.

Mh Riziwani Kati ya zile taa za barabarani na STANDBY GENERATOR kipi kilipaswa kitangulie Kabla ya kingine?Mmefunga mataa kila kona mtaani yenye thamani kubwa ambayo ingetosha kabisa kununua ma generator hospitali lakini mmeona zile taa zitaonwa na wengi hivyo mtapata kura.hivi nikiwaita ninyi ni wauaji mtakataa?

Kati ya halmashauri na Msoga hospitali ni wapi hasa mlipaswa muanze kufunga standby generator? Yaani mmeanza kufunga generator kwenye maofisi mkaacha kufunga sehemu muhimu, nawaambia ninyi ni wauaji.

Nataka niwaambie acheni siasa pembeni, tendeni kwa kuwatizama wananchi sio kutafuta kura.

Kifo cha huyu mgonjwa kimeniuma sana kwani hakikuwa na sababu.

Ujumbe huu umfikie mbunge wa Chalinze kokote alipo. Wenye mawasiliano nae binafsi plz mwambieni kuna mwananchi anamuhusisha kwenye hii kadhia.

Asante.
 
Wandugu Salaam,

Madaktari wakaamua wamkimbize Tumbi lakini mgonjwa huyu alipofika tu Tumbi akafia mapokezi hakuweza kupata huduma.
Kwanza poleni sana kwa msiba huu. Kifo chochote kinapotokea, ujue hiyo ndio ilikuwa siku yake na hivyo ndivyo alivyopangiwa, inasemekana malaika mtoa roho, Israel anampitia kila mtu kwa saba mara sabini daily ili muda wako ukifika asipitishe hata nukta 1!.

Ila pia wakazi wa huko nanyi, kuku watu wanatakiwa kula nyama, na ukitafuna mfupa unatema, ili kuthibitisha marehemu ni siku yake ilifika, yeye akatafuna mfupa na kumeza!.
Mh Riziwani Kati ya zile taa za barabarani na STANDBY GENERATOR kipi kilipaswa kitangulie Kabla ya kingine?
Hapa nakuunga mkono, tena Chalinze wana bahati sana, hata kampuni ya simu ya Halotel imewafungia wananchi wa Msoga Public WIFi ya bure, kuja kuangalia simu zao ni simu za vitochi!.
Mmefunga mataa kila kona mtaani yenye thamani kubwa ambayo ingetosha kabisa kununua ma generator hospitali lakini mmeona zile taa zitaonwa na wengi hivyo mtapata kura.
Maendeleo ya kweli ni kufanya kitu kitakacho wanufaisha wengi na kuchochiea maendeleo ya watu, saving people's lives was not on the picture at that moment, hivyo that was an oversight, to start with asubuhi hii, atahamisha lile generator lake personal la 12KVA na kulifunga hapo hospital as a temporary standby generator ili kuokoa jahazi wakati a proper one linashughulikiwa.
hivi nikiwaita ninyi ni wauwaji mtakaa?
Itakuwa ni kuwaonea bure, usikute muuaji ni yule kuku maana maeneo hayo sii mchezo, usikute huyo kuku hakuwa kuku kuku alikuwa ni kuku 'kuku' hivyo baada ya kumgeuza kuku wakaamua mumchinja kwa kumdhania ni kuku kuku tuu, hivyo 'kuku' akaondoka na mtu!, sasa subiria hizo pilika za usiku!.
Kati ya halmashauri na Msoga hospitali ni wapi hasa mlipaswa muanze kufunga standby generator?
Hapa pia naunga mkono objectivity yako, kiukweli kabisa Tanzania tuna tatizo na upangaji wa vipaumbele vyetu na sio hapo tuu, Tanzania bado tuna tatizo la upangaji vipaumbele vyetu, baada ya Elimu, Afya na kilimo, ilipaswa ije nishati!. Ni aibu na hatari kupikia kuni na mkaa!
Yani mmeanza kufunga generator kwenye maofisi mkaacha kufunga sehemu muhimu,nawaambia ninyi ni wauwaji.
naunga mkono hoja, that was mistake ila sio wauaji, muuaji ni ama kuku au mwenye kuku.
Nataka niwaambie acheni siasa pembeni,tendeni kwakuwatizama wananchi sio kutafuta kura.
Naunga mkono hoja.
Kifo cha huyu mgonjwa kimeniuma sana kwani hakikuwa na sababu.
Siku ikifika ni imefika!, hata kama ni hakuna sababu, sababu itatafutwa!.
Ujumbe huu umfikie mbunge wa chalinze kokote alipo.Wenye mawasiliano nae binafsi plz mwambieni kuna mwananchi anamuhusisha kwenye hii kadhia.

Asante.
Ujumbe utamfikia fasta tuu.
asante kwa uzi huu
Pole sana kwa wakiwa
RIP Marehemu
P
 
Wandugu Salaam,

Juzi pale hospitali Msoga Madaktari wamepokea mgonjwa aliekuwa anatapika na kuharisha Damu sana na haraka walipomchukua maelezo wakabaini jambo.

Huyu mgonjwa alipata tatizo wakati anatafuna mfupa wa kuku na bahati mbaya kipande cha mfupa chanye ncha kali kilimkwama kooni. Alihangaika kukisukuma kwa kumeza ugali kikashuka tumboni lakini nako kilishuka na kuchoma tena tumboni.

Madaktari mara baada ya kupata hayo maelezo haraka wakamuingiza mgonjwa chumba cha XRAY ili wajiridhishe ndipo waanze upasuaji lakini kwa bahati mbaya umeme ukawa mdogo mashine za XRAY zikashindwa kufanya kazi.

Madaktari walihangaika kupiga simu Tanesco wakaambiwa tatizo lipo kwenye Gridi wao hawana chakufanya. Waliambiwa huwenda tatizo likachukua siku tatu kutengemaa maelezo yakawakatisha Tamaa.

Madaktari walianza kubishana pale wampasue tu bila XRAY kwani mgonjwa alihitaji msaada wa haraka lakini wengine waligoma kwani miongozo iliwataka wathibishe kwanza kwa vipimo.

Madaktari wakaamua wamkimbize Tumbi lakini mgonjwa huyu alipofika tu Tumbi akafia mapokezi hakuweza kupata huduma.

Mh Riziwani Kati ya zile taa za barabarani na STANDBY GENERATOR kipi kilipaswa kitangulie Kabla ya kingine?Mmefunga mataa kila kona mtaani yenye thamani kubwa ambayo ingetosha kabisa kununua ma generator hospitali lakini mmeona zile taa zitaonwa na wengi hivyo mtapata kura.hivi nikiwaita ninyi ni wauwaji mtakaa?

Kati ya halmashauri na Msoga hospitali ni wapi hasa mlipaswa muanze kufunga standby generator?Yani mmeanza kufunga generator kwenye maofisi mkaacha kufunga sehemu muhimu,nawaambia ninyi ni wauwaji.

Nataka niwaambie acheni siasa pembeni,tendeni kwakuwatizama wananchi sio kutafuta kura.

Kifo cha huyu mgonjwa kimeniuma sana kwani hakikuwa na sababu.

Ujumbe huu umfikie mbunge wa chalinze kokote alipo.Wenye mawasiliano nae binafsi plz mwambieni kuna mwananchi anamuhusisha kwenye hii kadhia.

Asante.
Waliambiwa huwenda tatizo likachukua siku tatu kutengemaa maelezo yakawakatisha Tamaa.[emoji3064]

Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app
 
Nchi inahitaji KATIBA MPYA, maana itatupatia mtu atakayeitwa PUBLIC PROTECTOR, (zambia wanaye mtu wa aina hii),hii issue wafiwa wangempeleka na yeye angechunguza na kupata ukweli kosa lilikuwepo au la,na elewa maamuzi yake yapo BINDING (ana mamlaka ya ki judge),huyu atalalamikiwa humu after few days atasahaulika na maisha yataendekea(cold case),na mbaya zaidi hatuna waandishi wa Habari wa kiuchunguzi maana hii issue wangeifanyia kazi, nchi Ina vihiyo kila sehemu
 
Mloganzila sio mali ya halmashauri ya chalinze wala wizara ya ardhi. Rais wa 8 ridhiwani haimuhusu, labda 2040 akiwa chamwino.

Ujumbe huu atumie maza, ummy na janabi.
 
Kwanza poleni sana kwa msiba huu. Kifo chochote kinapotokea, ujue hiyo ndio ilikuwa siku yake na hivyo ndivyo alivyopangiwa, inasemekana malaika mtoa roho, Israel anampitia kila mtu kwa saba mara sabini daily ili muda wako ukifika asipitishe hata nukta 1!...
Hii post mkuu nimeipenda kwani umeijibu kiweledi sana. Lakini kuna kitu nimegundua kwamba yaweza kuwa ulikuwa katikati ya sober mind na mninginio kiasi wa John mtembezi. Na baada ya kuangalia muda wa kupost kuwa ni alfajiri nikadhibitisha na kucheka tuu!
Hii inaitwa "Wakongwe kazini" [emoji23][emoji23]
 
Ifike kipindi wananchi mjue viongozi wapo hapo kwa ajiri yao au kwa ajiri yenu wananchi!!?

Mkishajua Hilo huna haja ya kusumbuka na serikal, lip kodi wale but kumbuka hakuna marefu yasiyo......


Serikal ya CCM itaondolewa nawana CCM wenyewe SI nje ya hapo.

Ombea taifa aman itawale mengine muda ukifika yatajiset menyewe
 
Nchi inahitaji KATIBA MPYA, maana itatupatia mtu atakayeitwa PUBLIC PROTECTOR, (zambia wanaye mtu wa aina hii),hii issue wafiwa wangempeleka na yeye angechunguza na kupata ukweli kosa lilikuwepo au la,na elewa maamuzi yake yapo BINDING (ana mamlaka ya ki judge),huyu atalalamikiwa humu after few days atasahaulika na maisha yataendekea(cold case),na mbaya zaidi hatuna waandishi wa Habari wa kiuchunguzi maana hii issue wangeifanyia kazi, nchi Ina vihiyo kila sehemu
Nyie watu wa katiba mpya siwaelewi kabisa yaani,mtu akilala njaa katiba mpya ndo suruhisho,mtu akigongwa na gari katiba mpya ndo suruhisho,sasa elezeni ni namna gani katiba mpya itazuia njaa na ajari


Poor ideas!!
 
Kwanza poleni sana kwa msiba huu. Kifo chochote kinapotokea, ujue hiyo ndio ilikuwa siku yake na hivyo ndivyo alivyopangiwa, inasemekana malaika mtoa roho...
Kumbe! Kumbe ndiyo maana Mungu amewapa watanzania life span ndogo kulinganisha na na wajerumani. Mungu amependelea wajerumani na hataki watanzania waishi maisha marefu kama wajerumani.
 
Nchi inahitaji KATIBA MPYA, na mbaya zaidi hatuna waandishi wa Habari wa kiuchunguzi maana hii issue wangeifanyia kazi, nchi Ina vihiyo kila sehemu
Mkuu Nkanini , waandishi wa habari za uchunguzi tunao, hiyo issue mbona ni straight forward imenyooka wala sio issue ya IJ?. Mwandishi wa habari za uchunguzi akachunguze nini hapo cha kuhitaji uchaguzi?. Sema tuu ulitaka kutukana watu vihiyo tuu na umetukana!. Unless kama ni IJ ya "Aliyekufa kwa kumeza mfupa wa kuku, Je huyo kuku alikuwa ni kuku kweli au alikuwa 'kuku'?".
P
 
Nyie watu wa katiba mpya siwaelewi kabisa yaani,mtu akilala njaa katiba mpya ndo suruhisho,mtu akigongwa na gari katiba mpya ndo suruhisho,sasa elezeni ni namna gani katiba mpya itazuia njaa na ajari


Poor ideas!!
Katiba mpya italeta recourse kwa mtu ambaye anaona haki yake imefinywa, katiba ya sasa ni ngumu mno kuishitaki serikali, hii issue ya huyu mhanga ,familia yake haijui wapi pa kuanzia kudai kupata ukweli nini kilitokea kwa mpendwa wao, ukiusoma huu uzi utagundua kuna uzembe fulani ulipelekea maisha ya mtanzania mwenzetu kupotea, nakuona haujashituka but I do understand that,mhanga sio ndugu yako wala humjui it's like a dog kwako, public protector hii case angeichunguza na kujua exactly nini kilipelekea kifo hiki, na pia wakazi wa jimbo hili wangekua na neutral place ya kulalamika why hospital yap haina back up generator
 
Wandugu Salaam,

Juzi pale hospitali Msoga Madaktari wamepokea mgonjwa aliekuwa anatapika na kuharisha Damu sana na haraka walipomchukua maelezo wakabaini jambo.

Huyu mgonjwa alipata tatizo wakati anatafuna mfupa wa kuku na bahati mbaya kipande cha mfupa chanye ncha kali kilimkwama kooni. Alihangaika kukisukuma kwa kumeza ugali kikashuka tumboni lakini nako kilishuka na kuchoma tena tumboni.

Madaktari mara baada ya kupata hayo maelezo haraka wakamuingiza mgonjwa chumba cha XRAY ili wajiridhishe ndipo waanze upasuaji lakini kwa bahati mbaya umeme ukawa mdogo mashine za XRAY zikashindwa kufanya kazi.

Madaktari walihangaika kupiga simu Tanesco wakaambiwa tatizo lipo kwenye Gridi wao hawana chakufanya. Waliambiwa huwenda tatizo likachukua siku tatu kutengemaa maelezo yakawakatisha Tamaa.

Madaktari walianza kubishana pale wampasue tu bila XRAY kwani mgonjwa alihitaji msaada wa haraka lakini wengine waligoma kwani miongozo iliwataka wathibishe kwanza kwa vipimo.

Madaktari wakaamua wamkimbize Tumbi lakini mgonjwa huyu alipofika tu Tumbi akafia mapokezi hakuweza kupata huduma.

Mh Riziwani Kati ya zile taa za barabarani na STANDBY GENERATOR kipi kilipaswa kitangulie Kabla ya kingine?Mmefunga mataa kila kona mtaani yenye thamani kubwa ambayo ingetosha kabisa kununua ma generator hospitali lakini mmeona zile taa zitaonwa na wengi hivyo mtapata kura.hivi nikiwaita ninyi ni wauwaji mtakaa?

Kati ya halmashauri na Msoga hospitali ni wapi hasa mlipaswa muanze kufunga standby generator?Yani mmeanza kufunga generator kwenye maofisi mkaacha kufunga sehemu muhimu,nawaambia ninyi ni wauwaji.

Nataka niwaambie acheni siasa pembeni,tendeni kwakuwatizama wananchi sio kutafuta kura.

Kifo cha huyu mgonjwa kimeniuma sana kwani hakikuwa na sababu.

Ujumbe huu umfikie mbunge wa chalinze kokote alipo.Wenye mawasiliano nae binafsi plz mwambieni kuna mwananchi anamuhusisha kwenye hii kadhia.

Asante.
Wenye nacho hawawajui wenye Shida wacha wale KEKI ya Taifa wao ndio wanastahiri
 
Back
Top Bottom