DOKEZO Kuna kifo cha kizembe kimetokea juzi Msoga Hospitali, Chalinze. Tafadhali Mbunge Ridhiwani acheni siasa

DOKEZO Kuna kifo cha kizembe kimetokea juzi Msoga Hospitali, Chalinze. Tafadhali Mbunge Ridhiwani acheni siasa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wandugu Salaam,

Juzi pale hospitali Msoga Madaktari wamepokea mgonjwa aliekuwa anatapika na kuharisha Damu sana na haraka walipomchukua maelezo wakabaini jambo...
Pole sana Mkuu ni huzuni kubwa sana , tuwaombee Dua hao viongozi mambuzi yapate maarifa ya Mungu katika utumishi wao
 
Mkuu Nkanini , waandishi wa habari za uchunguzi tunao, hiyo issue mbona ni straight forward imenyooka wala sio issue ya IJ?. Mwandishi wa habari za uchunguzi akachunguze nini hapo cha kuhitaji uchaguzi?. Sema tuu ulitaka kutukana watu vihiyo tuu na umetukana!. Unless kama ni IJ ya "Aliyekufa kwa kumeza mfupa wa kuku, Je huyo kuku alikuwa ni kuku kweli au alikuwa
Hapo ndio tungepata ukweli wa story hii, maana hatuna upande wa pili, binafsi ninaamini ni kuku hasa ndiye aliyeliwa na mhanga, ila kuniambia kuwa alisukuma kile kipande cha kuku na ugali, no I don't buy this, maana kumnasua mtu aliyekwama na kitu kwenye koo ni simple, very simple, simama mgongoni mwa mwathirika, inua kichwa chake kidogo juu then gently push kwenye maungio ya kifua na tumbo, Adv.Mayala unless umeamua tuongee stories za vijiweni kuhusu nchi kuwa na IJ, honestly hatuna, unaweza kunipa hata story moja ya IJ ya hivi karibuni?
 
Nchi inahitaji KATIBA MPYA, maana itatupatia mtu atakayeitwa PUBLIC PROTECTOR, (zambia wanaye mtu wa aina hii),hii issue wafiwa wangempeleka na yeye angechunguza na kupata ukweli kosa lilikuwepo au la,na elewa maamuzi yake yapo BINDING (ana mamlaka ya ki judge),huyu atalalamikiwa humu after few days atasahaulika na maisha yataendekea(cold case),na mbaya zaidi hatuna waandishi wa Habari wa kiuchunguzi maana hii issue wangeifanyia kazi, nchi Ina vihiyo kila sehemu
Acha kupotosha.. huyo Public Protector wa Zambia anawasaidia nini mbona maisha yao bado magumu na upuuzi wao ni mwingi tu?
 
Acha kupotosha.. huyo Public Protector wa Zambia anawasaidia nini mbona maisha yao bado magumu na upuuzi wao ni mwingi tu?
Kama hujui ni vema ukachukua muda kupata informations ili uweze kujua ukweli, ukweli mchungu kwako, Zambia kwa sasa inasogea mbele kimaendeleo kwa kasi zaidi ya nchi yetu, tembea mkuu usijibu nyuma ya keyboard maadam wewe watoto wako wapo medium English schools.

Njoo huku lingusenguse uone hali halisi, PP ndio kimbilio la wananchi wengi ili kupata ukweli ,humu mpaka leo family ya Mr.Saanane hawajui waende wapi kulalamika kuhusu kupotea kwa mpendwa wao, PP angeweza kufanya uchunguzi wa kupotea maana serikali ni suspect haiwezi kujichunguza yenyewe.

Wazambia tayari wana office hiyo sisi dololo, awamu ya kwanza tulikua na tume ya maadili ya viongozi ilifanya kazi safi sana, wakaingia mafisi ndani ya ccm wakavuruga tume hii (elewa tume hii maamuzi yake ni ya kisheria, na cheo cha Chairman ni kama judge, uamuzi wake unaweza kuupinga mahakamani tu)
 
Acha kuleta imani za kienyeji za kijima katika mambo serious yanayohitaji akili, sayansi na uwajibikaji.
Kwanza poleni sana kwa msiba huu. Kifo chochote kinapotokea, ujue hiyo ndio ilikuwa siku yake na hivyo ndivyo alivyopangiwa, inasemekana malaika mtoa roho, Israel anampitia kila mtu kwa saba mara sabini daily ili muda wako ukifika asipitishe hata nukta 1!.

Ila pia wakazi wa huko nanyi, kuku watu wanatakiwa kula nyama, na ukitafuna mfupa unatema, ili kuthibitisha marehemu ni siku yake ilifika, yeye akatafuna mfupa na kumeza!.

Hapa nakuunga mkono, tena Chalinze wana bahati sana, hata kampuni ya simu ya Halotel imewafungia wananchi wa Msoga Public WIFi ya bure, kuja kuangalia simu zao ni simu za vitochi!.

Maendeleo ya kweli ni kufanya kitu kitakacho wanufaisha wengi na kuchochiea maendeleo ya watu, saving people's lives was not on the picture at that moment, hivyo that was an oversight, to start with asubuhi hii, atahamisha lile generator lake personal la 12KVA na kulifunga hapo hospital as a temporary standby generator ili kuokoa jahazi wakati a proper one linashughulikiwa.

Itakuwa ni kuwaonea bure, usikute muuaji ni yule kuku maana maeneo hayo sii mchezo, usikute huyo kuku hakuwa kuku kuku alikuwa ni kuku 'kuku' hivyo baada ya kumgeuza kuku wakaamua mumchinja kwa kumdhania ni kuku kuku tuu, hivyo 'kuku' akaondoka na mtu!, sasa subiria hizo pilika za usiku!.

Hapa pia naunga mkono objectivity yako, kiukweli kabisa Tanzania tuna tatizo na upangaji wa vipaumbele vyetu na sio hapo tuu, Tanzania bado tuna tatizo la upangaji vipaumbele vyetu, baada ya Elimu, Afya na kilimo, ilipaswa ije nishati!. Ni aibu na hatari kupikia kuni na mkaa!

naunga mkono hoja, that was mistake ila sio wauaji, muuaji ni ama kuku au mwenye kuku.

Naunga mkono hoja.

Siku ikifika ni imefika!, hata kama ni hakuna sababu, sababu itatafutwa!.

Ujumbe utamfikia fasta tuu.
asante kwa uzi huu
Pole sana kwa wakiwa
RIP Marehemu
P
 
Hii post mkuu nimeipenda kwani umeijibu kiweledi sana. Lakini kuna kitu nimegundua kwamba yaweza kuwa ulikuwa katikati ya sober mind na mninginio kiasi wa John mtembezi. Na baada ya kuangalia muda wa kupost kuwa ni alfajiri nikadhibitisha na kucheka tuu!
Hii inaitwa "Wakongwe kazini" [emoji23][emoji23]
nime cheka kifara sana nilikuwa nasoma comment na sikuwa na mpango wa ku comment ila we jamaa ume ni fanya ni open keyboard ku type hahahaha
 
Huu ni upumbavu, kama hujui ni vema ukachukua muda kupata informations ili uweze kujua ukweli, ukweli mchungu kwako, Zambia kwa sasa inasogea mbele kimaendeleo kwa kasi zaidi ya nchi yetu,tembea mkuu usijibu nyuma ya keyboard maadam wewe watoto wako wapo medium English schools....
Zambia imeshindwa tu kujenga barabara nzuri kutoka Nakonde kwenda Chinsali ndo useme inakua kimaendeleo kwa kasi? Nakonde - Kapiri ni barabara mbovu kuwahi kutokea... tafuta mfano mwingine wa kutoa. Zambia ninakataa
 
Case nyingi sana watu wanafariki kwa mfupa wa kuku.

Poleni ndugu jamaa na marafiki.
Mkuu kumnasua aliyekwama na kitu kwenye koo ni very, very simple, hii ni elimu ilitakiwa maaskari wetu wawe nayo, raia pia ni kama elimu ya huduma ya kwanza, hata hawa buses hostess wanatakiwa wajue jinsi ya kufanya hili, sio 🚀 science
 
Zambia imeshindwa tu kujenga barabara nzuri kutoka Nakonde kwenda Chinsali ndo useme inakua kimaendeleo kwa kasi? Nakonde - Kapiri ni barabara mbovu kuwahi kutokea... tafuta mfano mwingine wa kutoa. Zambia ninakataa
Hii barabara sasa inakalibia kufika chinsali kutoka nakonde!,lini umefika pale au unaleta story za vijiweni?

Muda huu wameanza kile kipande cha kuingia nakonde border na daraja pale chini wanalijenga,barabara ni first class kutoka isoka hadi chinsali, bwawa la samaki wameshafukia pale.

Kama ulikua hujui au unaropoka humu basi uelewe, na pia elewa sisi tuendelee kupiga siasa wakati zambia wanachukua biashara ya DRC, zambia amejenga top class highways za kwenda chirundu border na kazungula border na ndiko kwenye pesa, sisi T1 tunaitia viraka tu
 
Mkuu kumnasua aliyekwama na kitu kwenye koo ni very, very simple, hii ni elimu ilitakiwa maaskari wetu wawe nayo, raia pia ni kama elimu ya huduma ya kwanza, hata hawa buses hostess wanatakiwa wajue jinsi ya kufanya hili, sio 🚀 science
Toa Elimu yake mkuu watu wafaidi darasa.
 
Acha kuleta imani za kienyeji za kijima katika mambo serious yanayohitaji akili, sayansi na uwajibikaji.
Upo right mkuu,Adv.Mayalla muda mwingine simwelewi kabisa anavyojibia vitu serious kiurahisi mno, hapa tunazungumzia maisha ya binadamu mwenzetu ambaye yupo mortuary sasa, maisha ambayo yangeokolewa, mhudumu wa zahanati angeweza ku sort out hii issue, mtu aliyekwama na kitu kooni usimpe kitu chochote ,simama nyuma yake, inua kichwa chake kidogo juu,tumia vidole vyako vya gumba to press pale kifua kinapoungana na tumbo, press hard kama unavyompa CPR mgonjwa asiyepumua
 
Ndio maana ninakuita wewe ni pumbavu, hii barabara sasa inakalibia kufika chinsali kutoka nakonde!,lini umefika pale au unaleta story za vijiweni?...
Sioni tija yoyote ya kuipigania au kuisema vibaya nchi ambayo mimi sio raia wake ila elewa tu Zambia naijua vizuri sana.... kimaendeleo bado wako nyuma mno kulinganisha na Tanzania.

Huko hadi leo vitambulisho vya uraia wana-laminate. Biashara ya TZ & DRC kamwe haiwezi kuvurugwa na Zambia. Acha wao wapate riziki yao ila kutuharibia hawawezi. Wakati mwingine ficha upuuzi wako huku JF.
 
Wana tabia ya kusifia vitu wasivyo vijua zambia wana miundo mbinu ya ovyo sana ukienda kwenye hosptal za una anza kujiona kabisa wewe ni marehemu mtarajiwa wana takiwa kujua kuwa sio kila jambo lina tatuliwa na katiba nchi nyingi zina katiba nzuri ila zime jaa madudu mambo mengine yana hitaji weledi tu
 
Wana tabia ya kusifia vitu wasivyo vijua zambia wana miundo mbinu ya ovyo sana ukienda kwenye hosptal za una anza kujiona kabisa wewe ni marehemu mtarajiwa wana takiwa kujua kuwa sio kila jambo lina tatuliwa na katiba nchi nyingi zina katiba nzuri ila zime jaa madudu mambo mengine yana hitaji weledi tu
Walichotuzidi ni kunywa pombe. Wazambia na pombe wamefunga ndoa ya kikristo. Hakuna kuachana
 
Dah inasikitisha sana. Kuna haja pawe na sheria kila kiongozi atibiwe kwenye jimbo lake.
 
Tanzania ilishalaaniwa. Eti riziwani nae anapata nafasi ya uongozi out of 60 million plus citizens. Ukimuangalia huyo rizwani unaona ni mweupe tu hana uwezo wowote hata tu wa kujiongoza mwenyewe
 
Toa Elimu yake mkuu watu wafaidi darasa.
Nimeelezea how to do it ,ni elimu ambayo sio lazima uwe Doctor ili kuijua, sawa unapojikuta umetumbukia kwenye swimming pool na hujui kuogelea,don't panic, jitahidi uwe wima na ruka ruka kuelekea kwenye kina kifupi, pia miaka hiyo watu walikua wanaamini kuna chunusi baharini!, no zile zilikuwa ni rip currents ,ukikutwa nayo wakati unaogolea, again don't panic, usishindane na natural power, keep breathing ile current itakuingiza baharini then itakutema pembeni, hapo unaweza kuomba msada kwa ku shout au mawimbi yatakusogeza kwenye kina kifupi, always don't panic, hata ukiwa uso kwa uso na dagga boy's don't panic, angalia body language yake, try to move backwards usimpe kisogo, respect
 
Hii post mkuu nimeipenda kwani umeijibu kiweledi sana. Lakini kuna kitu nimegundua kwamba yaweza kuwa ulikuwa katikati ya sober mind na mninginio kiasi wa John mtembezi. Na baada ya kuangalia muda wa kupost kuwa ni alfajiri nikadhibitisha na kucheka tuu!
Hii inaitwa "Wakongwe kazini" [emoji23][emoji23]
Ahsante mkuu hakika Ni Kama ulikuwa kichwani mwangu,,Mzee apunguze matumizi makubwa ya Heinken isije akafa huku akijikojolea ...
 
Back
Top Bottom