DOKEZO Kuna kifo cha kizembe kimetokea juzi Msoga Hospitali, Chalinze. Tafadhali Mbunge Ridhiwani acheni siasa

DOKEZO Kuna kifo cha kizembe kimetokea juzi Msoga Hospitali, Chalinze. Tafadhali Mbunge Ridhiwani acheni siasa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kwanza poleni sana kwa msiba huu. Kifo chochote kinapotokea, ujue hiyo ndio ilikuwa siku yake na hivyo ndivyo alivyopangiwa, inasemekana malaika mtoa roho, Israel anampitia kila mtu kwa saba mara sabini daily ili muda wako ukifika asipitishe hata nukta 1!.

Ila pia wakazi wa huko nanyi, kuku watu wanatakiwa kula nyama, na ukitafuna mfupa unatema, ili kuthibitisha marehemu ni siku yake ilifika, yeye akatafuna mfupa na kumeza!.

Hapa nakuunga mkono, tena Chalinze wana bahati sana, hata kampuni ya simu ya Halotel imewafungia wananchi wa Msoga Public WIFi ya bure, kuja kuangalia simu zao ni simu za vitochi!.

Maendeleo ya kweli ni kufanya kitu kitakacho wanufaisha wengi na kuchochiea maendeleo ya watu, saving people's lives was not on the picture at that moment, hivyo that was an oversight, to start with asubuhi hii, atahamisha lile generator lake personal la 12KVA na kulifunga hapo hospital as a temporary standby generator ili kuokoa jahazi wakati a proper one linashughulikiwa.

Itakuwa ni kuwaonea bure, usikute muuaji ni yule kuku maana maeneo hayo sii mchezo, usikute huyo kuku hakuwa kuku kuku alikuwa ni kuku 'kuku' hivyo baada ya kumgeuza kuku wakaamua mumchinja kwa kumdhania ni kuku kuku tuu, hivyo 'kuku' akaondoka na mtu!, sasa subiria hizo pilika za usiku!.

Hapa pia naunga mkono objectivity yako, kiukweli kabisa Tanzania tuna tatizo na upangaji wa vipaumbele vyetu na sio hapo tuu, Tanzania bado tuna tatizo la upangaji vipaumbele vyetu, baada ya Elimu, Afya na kilimo, ilipaswa ije nishati!. Ni aibu na hatari kupikia kuni na mkaa!

naunga mkono hoja, that was mistake ila sio wauaji, muuaji ni ama kuku au mwenye kuku.

Naunga mkono hoja.

Siku ikifika ni imefika!, hata kama ni hakuna sababu, sababu itatafutwa!.

Ujumbe utamfikia fasta tuu.
asante kwa uzi huu
Pole sana kwa wakiwa
RIP Marehemu
P
makonda alifunga hadi kamba za viatu.
 
Walichotuzidi ni kunywa pombe. Wazambia na pombe wamefunga ndoa ya kikristo. Hakuna kuachana
wewe una wajua vizuri afu mtu ana kuja kufananisha zambia na tz kisa katiba raia wa zambia wana ishi maisha ya ovyo sana wanao ishi vizuri ni wenye vyeo na waajiliwa tu hawa wengine kazi yao ni kunywa win tu
 
Nchi inahitaji KATIBA MPYA, maana itatupatia mtu atakayeitwa PUBLIC PROTECTOR, (zambia wanaye mtu wa aina hii),hii issue wafiwa wangempeleka na yeye angechunguza na kupata ukweli kosa lilikuwepo au la,na elewa maamuzi yake yapo BINDING (ana mamlaka ya ki judge),huyu atalalamikiwa humu after few days atasahaulika na maisha yataendekea(cold case),na mbaya zaidi hatuna waandishi wa Habari wa kiuchunguzi maana hii issue wangeifanyia kazi, nchi Ina vihiyo kila sehemu
Zambia ni moja ya nchi masikini sana, imeachwa mbali sana na TANZANIA, we fala unaonekana ni limbukeni, Zambia ipi hiyo unayotaka kuisifia hapa? Kwa ukanda wa Kusini mwa Afrika, Ukiitoa SA, na kidogo Angola hakuna nchi yoyote inaifikia TANZANIA kwa maendeleo, yaan hakuna kabisa. Muindombinu mibovu, umeme shida, maji shida, Umasikini uliotopea.
 
Wandugu Salaam,

Juzi pale hospitali Msoga Madaktari wamepokea mgonjwa aliekuwa anatapika na kuharisha Damu sana na haraka walipomchukua maelezo wakabaini jambo.

Huyu mgonjwa alipata tatizo wakati anatafuna mfupa wa kuku na bahati mbaya kipande cha mfupa chanye ncha kali kilimkwama kooni. Alihangaika kukisukuma kwa kumeza ugali kikashuka tumboni lakini nako kilishuka na kuchoma tena tumboni.

Madaktari mara baada ya kupata hayo maelezo haraka wakamuingiza mgonjwa chumba cha XRAY ili wajiridhishe ndipo waanze upasuaji lakini kwa bahati mbaya umeme ukawa mdogo mashine za XRAY zikashindwa kufanya kazi.

Madaktari walihangaika kupiga simu Tanesco wakaambiwa tatizo lipo kwenye Gridi wao hawana chakufanya. Waliambiwa huwenda tatizo likachukua siku tatu kutengemaa maelezo yakawakatisha Tamaa.

Madaktari walianza kubishana pale wampasue tu bila XRAY kwani mgonjwa alihitaji msaada wa haraka lakini wengine waligoma kwani miongozo iliwataka wathibishe kwanza kwa vipimo.

Madaktari wakaamua wamkimbize Tumbi lakini mgonjwa huyu alipofika tu Tumbi akafia mapokezi hakuweza kupata huduma.

Mh Riziwani Kati ya zile taa za barabarani na STANDBY GENERATOR kipi kilipaswa kitangulie Kabla ya kingine?Mmefunga mataa kila kona mtaani yenye thamani kubwa ambayo ingetosha kabisa kununua ma generator hospitali lakini mmeona zile taa zitaonwa na wengi hivyo mtapata kura.hivi nikiwaita ninyi ni wauaji mtakataa?

Kati ya halmashauri na Msoga hospitali ni wapi hasa mlipaswa muanze kufunga standby generator? Yaani mmeanza kufunga generator kwenye maofisi mkaacha kufunga sehemu muhimu, nawaambia ninyi ni wauaji.

Nataka niwaambie acheni siasa pembeni, tendeni kwa kuwatizama wananchi sio kutafuta kura.

Kifo cha huyu mgonjwa kimeniuma sana kwani hakikuwa na sababu.

Ujumbe huu umfikie mbunge wa Chalinze kokote alipo. Wenye mawasiliano nae binafsi plz mwambieni kuna mwananchi anamuhusisha kwenye hii kadhia.

Asante.
Poleni sana wafiwa.
Hii nchi kila kona ni upumbavu mtupu wa haya majuha tunayoyaita viongozi.
 
Wandugu Salaam,

Juzi pale hospitali Msoga Madaktari wamepokea mgonjwa aliekuwa anatapika na kuharisha Damu sana na haraka walipomchukua maelezo wakabaini jambo.

Huyu mgonjwa alipata tatizo wakati anatafuna mfupa wa kuku na bahati mbaya kipande cha mfupa chanye ncha kali kilimkwama kooni. Alihangaika kukisukuma kwa kumeza ugali kikashuka tumboni lakini nako kilishuka na kuchoma tena tumboni.

Madaktari mara baada ya kupata hayo maelezo haraka wakamuingiza mgonjwa chumba cha XRAY ili wajiridhishe ndipo waanze upasuaji lakini kwa bahati mbaya umeme ukawa mdogo mashine za XRAY zikashindwa kufanya kazi.

Madaktari walihangaika kupiga simu Tanesco wakaambiwa tatizo lipo kwenye Gridi wao hawana chakufanya. Waliambiwa huwenda tatizo likachukua siku tatu kutengemaa maelezo yakawakatisha Tamaa.

Madaktari walianza kubishana pale wampasue tu bila XRAY kwani mgonjwa alihitaji msaada wa haraka lakini wengine waligoma kwani miongozo iliwataka wathibishe kwanza kwa vipimo.

Madaktari wakaamua wamkimbize Tumbi lakini mgonjwa huyu alipofika tu Tumbi akafia mapokezi hakuweza kupata huduma.

Mh Riziwani Kati ya zile taa za barabarani na STANDBY GENERATOR kipi kilipaswa kitangulie Kabla ya kingine?Mmefunga mataa kila kona mtaani yenye thamani kubwa ambayo ingetosha kabisa kununua ma generator hospitali lakini mmeona zile taa zitaonwa na wengi hivyo mtapata kura.hivi nikiwaita ninyi ni wauaji mtakataa?

Kati ya halmashauri na Msoga hospitali ni wapi hasa mlipaswa muanze kufunga standby generator? Yaani mmeanza kufunga generator kwenye maofisi mkaacha kufunga sehemu muhimu, nawaambia ninyi ni wauaji.

Nataka niwaambie acheni siasa pembeni, tendeni kwa kuwatizama wananchi sio kutafuta kura.

Kifo cha huyu mgonjwa kimeniuma sana kwani hakikuwa na sababu.

Ujumbe huu umfikie mbunge wa Chalinze kokote alipo. Wenye mawasiliano nae binafsi plz mwambieni kuna mwananchi anamuhusisha kwenye hii kadhia.

Asante.
Tukiwambia Ccm haifai mnatuona wajinga.
Mpaka yawakute ndio mnaelewa
 
Zambia ni moja ya nchi masikini sana, imeachwa mbali sana na TANZANIA, we fala unaonekana ni limbukeni, Zambia ipi hiyo unayotaka kuisifia hapa? Kwa ukanda wa Kusini mwa Afrika, Ukiitoa SA, na kidogo Angola hakuna nchi yoyote inaifikia TANZANIA kwa maendeleo, yaan hakuna kabisa. Muindombinu mibovu, umeme shida, maji shida, Umasikini uliotopea.
Bila katiba mpya we ni mwongo tu
 
Zambia ni moja ya nchi masikini sana, imeachwa mbali sana na TANZANIA, we fala unaonekana ni limbukeni, Zambia ipi hiyo unayotaka kuisifia hapa? Kwa ukanda wa Kusini mwa Afrika, Ukiitoa SA, na kidogo Angola hakuna nchi yoyote inaifikia TANZANIA kwa maendeleo, yaan hakuna kabisa. Muindombinu mibovu, umeme shida, maji shida, Umasikini uliotopea.
Bila katiba mpya we ni mwongo tu
 
Kwanza poleni sana kwa msiba huu. Kifo chochote kinapotokea, ujue hiyo ndio ilikuwa siku yake na hivyo ndivyo alivyopangiwa, inasemekana malaika mtoa roho, Israel anampitia kila mtu kwa saba mara sabini daily ili muda wako ukifika asipitishe hata nukta 1!.

Ila pia wakazi wa huko nanyi, kuku watu wanatakiwa kula nyama, na ukitafuna mfupa unatema, ili kuthibitisha marehemu ni siku yake ilifika, yeye akatafuna mfupa na kumeza!.

Hapa nakuunga mkono, tena Chalinze wana bahati sana, hata kampuni ya simu ya Halotel imewafungia wananchi wa Msoga Public WIFi ya bure, kuja kuangalia simu zao ni simu za vitochi!.

Maendeleo ya kweli ni kufanya kitu kitakacho wanufaisha wengi na kuchochiea maendeleo ya watu, saving people's lives was not on the picture at that moment, hivyo that was an oversight, to start with asubuhi hii, atahamisha lile generator lake personal la 12KVA na kulifunga hapo hospital as a temporary standby generator ili kuokoa jahazi wakati a proper one linashughulikiwa.

Itakuwa ni kuwaonea bure, usikute muuaji ni yule kuku maana maeneo hayo sii mchezo, usikute huyo kuku hakuwa kuku kuku alikuwa ni kuku 'kuku' hivyo baada ya kumgeuza kuku wakaamua mumchinja kwa kumdhania ni kuku kuku tuu, hivyo 'kuku' akaondoka na mtu!, sasa subiria hizo pilika za usiku!.

Hapa pia naunga mkono objectivity yako, kiukweli kabisa Tanzania tuna tatizo na upangaji wa vipaumbele vyetu na sio hapo tuu, Tanzania bado tuna tatizo la upangaji vipaumbele vyetu, baada ya Elimu, Afya na kilimo, ilipaswa ije nishati!. Ni aibu na hatari kupikia kuni na mkaa!

naunga mkono hoja, that was mistake ila sio wauaji, muuaji ni ama kuku au mwenye kuku.

Naunga mkono hoja.

Siku ikifika ni imefika!, hata kama ni hakuna sababu, sababu itatafutwa!.

Ujumbe utamfikia fasta tuu.
asante kwa uzi huu
Pole sana kwa wakiwa
RIP Marehemu
P
Asante sana kwa udadavuzi wako mkuu.
 
Wandugu Salaam,

Juzi pale hospitali Msoga Madaktari wamepokea mgonjwa aliekuwa anatapika na kuharisha Damu sana na haraka walipomchukua maelezo wakabaini jambo.

Huyu mgonjwa alipata tatizo wakati anatafuna mfupa wa kuku na bahati mbaya kipande cha mfupa chanye ncha kali kilimkwama kooni. Alihangaika kukisukuma kwa kumeza ugali kikashuka tumboni lakini nako kilishuka na kuchoma tena tumboni.

Madaktari mara baada ya kupata hayo maelezo haraka wakamuingiza mgonjwa chumba cha XRAY ili wajiridhishe ndipo waanze upasuaji lakini kwa bahati mbaya umeme ukawa mdogo mashine za XRAY zikashindwa kufanya kazi.

Madaktari walihangaika kupiga simu Tanesco wakaambiwa tatizo lipo kwenye Gridi wao hawana chakufanya. Waliambiwa huwenda tatizo likachukua siku tatu kutengemaa maelezo yakawakatisha Tamaa.

Madaktari walianza kubishana pale wampasue tu bila XRAY kwani mgonjwa alihitaji msaada wa haraka lakini wengine waligoma kwani miongozo iliwataka wathibishe kwanza kwa vipimo.

Madaktari wakaamua wamkimbize Tumbi lakini mgonjwa huyu alipofika tu Tumbi akafia mapokezi hakuweza kupata huduma.

Mh Riziwani Kati ya zile taa za barabarani na STANDBY GENERATOR kipi kilipaswa kitangulie Kabla ya kingine?Mmefunga mataa kila kona mtaani yenye thamani kubwa ambayo ingetosha kabisa kununua ma generator hospitali lakini mmeona zile taa zitaonwa na wengi hivyo mtapata kura.hivi nikiwaita ninyi ni wauaji mtakataa?

Kati ya halmashauri na Msoga hospitali ni wapi hasa mlipaswa muanze kufunga standby generator? Yaani mmeanza kufunga generator kwenye maofisi mkaacha kufunga sehemu muhimu, nawaambia ninyi ni wauaji.

Nataka niwaambie acheni siasa pembeni, tendeni kwa kuwatizama wananchi sio kutafuta kura.

Kifo cha huyu mgonjwa kimeniuma sana kwani hakikuwa na sababu.

Ujumbe huu umfikie mbunge wa Chalinze kokote alipo. Wenye mawasiliano nae binafsi plz mwambieni kuna mwananchi anamuhusisha kwenye hii kadhia.

Asante.
Mungu amlaze pema.
Taarifa zitamfikia tu mlengwa na kwa wakati ufaao na akumbuke anachopanda atakivuna.
 
Shit countries just imagine angekua mtoto , mzazi au mke daah
 
hivi bei ya standby generator ni kiasi gani? au hata solar backup inagharimu kiasi gani? ukiangalia V8 la mbunge na mamaake utashangaa bei yake hapo hujaomba kujua thamani ya mandinga ya mstaafu mwenyewe. HATARI na NUSU
 
Wandugu Salaam,

Juzi pale hospitali Msoga Madaktari wamepokea mgonjwa aliekuwa anatapika na kuharisha Damu sana na haraka walipomchukua maelezo wakabaini jambo.

Huyu mgonjwa alipata tatizo wakati anatafuna mfupa wa kuku na bahati mbaya kipande cha mfupa chanye ncha kali kilimkwama kooni. Alihangaika kukisukuma kwa kumeza ugali kikashuka tumboni lakini nako kilishuka na kuchoma tena tumboni.

Madaktari mara baada ya kupata hayo maelezo haraka wakamuingiza mgonjwa chumba cha XRAY ili wajiridhishe ndipo waanze upasuaji lakini kwa bahati mbaya umeme ukawa mdogo mashine za XRAY zikashindwa kufanya kazi.

Madaktari walihangaika kupiga simu Tanesco wakaambiwa tatizo lipo kwenye Gridi wao hawana chakufanya. Waliambiwa huwenda tatizo likachukua siku tatu kutengemaa maelezo yakawakatisha Tamaa.

Madaktari walianza kubishana pale wampasue tu bila XRAY kwani mgonjwa alihitaji msaada wa haraka lakini wengine waligoma kwani miongozo iliwataka wathibishe kwanza kwa vipimo.

Madaktari wakaamua wamkimbize Tumbi lakini mgonjwa huyu alipofika tu Tumbi akafia mapokezi hakuweza kupata huduma.

Mh Riziwani Kati ya zile taa za barabarani na STANDBY GENERATOR kipi kilipaswa kitangulie Kabla ya kingine?Mmefunga mataa kila kona mtaani yenye thamani kubwa ambayo ingetosha kabisa kununua ma generator hospitali lakini mmeona zile taa zitaonwa na wengi hivyo mtapata kura.hivi nikiwaita ninyi ni wauaji mtakataa?

Kati ya halmashauri na Msoga hospitali ni wapi hasa mlipaswa muanze kufunga standby generator? Yaani mmeanza kufunga generator kwenye maofisi mkaacha kufunga sehemu muhimu, nawaambia ninyi ni wauaji.

Nataka niwaambie acheni siasa pembeni, tendeni kwa kuwatizama wananchi sio kutafuta kura.

Kifo cha huyu mgonjwa kimeniuma sana kwani hakikuwa na sababu.

Ujumbe huu umfikie mbunge wa Chalinze kokote alipo. Wenye mawasiliano nae binafsi plz mwambieni kuna mwananchi anamuhusisha kwenye hii kadhia.

Asante.
Hiyo msoga imetoa mpaka rais wa Tz. Kama ni lawama, ziende kwa familia nzima.
 
Yaani mfupa mdogo wa kuku, kirahisi tu unaondoka na mtu! Au kuna kamchezo ka nguvu za giza kamefanyika?
 
DUuu mfupa gani huo...itakua ni wa jogoo aliekomaa sana
Poleni sana...
 
Itakuwa ni kuwaonea bure, usikute muuaji ni yule kuku maana maeneo hayo sii mchezo, usikute huyo kuku hakuwa kuku kuku alikuwa ni kuku 'kuku' hivyo baada ya kumgeuza kuku wakaamua mumchinja kwa kumdhania ni kuku kuku tuu, hivyo 'kuku' akaondoka na mtu!, sasa subiria hizo pilika za usiku!.
Mkuu

Hapa sijaelewa mkuu

Hivi inawezekana yule sio kuku Bali mtu ndani ya kuku!!?

Au michezo ya uswahilini kwamba ale kuku huyo ili aende HUKO KWA mwenyezi!

Pasco hebu naomba maelezo kidogo Hapa Ili nipate shule!!
 
Back
Top Bottom