Kuna kila dalili na uwezekano Freeman Mbowe na Mchungaji Msigwa kumaliza tofauti zao nje ya mahakama

Kuna kila dalili na uwezekano Freeman Mbowe na Mchungaji Msigwa kumaliza tofauti zao nje ya mahakama

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ama kweli siasa sio uadui, na hakuna uadui wa kudumu kwenye siasa..

Wabobevu na manguli wa siasa za Tanazania wameamua kujitosa na kuchukua hatua za kuingilia kati ugomvi wa kisiasa na kutuliza vita ya maneno, kashafa na tuhuma za kisiasa baina ya F. Mbowe mwenyekiti wa chadema taifa na Mch.Msigwa kada wa ccm, ili kupata suluhu na muafaka nje ya mahakama..

'Hawa ni watu wanao fahamiana na kuheshimiana sana mpaka kwenye familia zao. Wamefanya kazi za siasa na kupitia changamoto nyingi sana wakiwa pamoja, tena kwa muda mrefu sana. Si sawa siasa hizi za kuchafuana zikaachwa zikaendelea kuharibu udugu, urafiki na siasa za nchi kirahisi hivi, na sisi wazee walezi tupo tunatazama tu, hapana, hilo haliwezekani. Tutachukua hatua. Tukishindwa basi, lakini naamini tutaweza, mtupe nafasi na muda kidogo tu. Mimi na wazee wenzangu tutawaita tuzungumze nao, na bila shaka yaliyopo mahakamani yataondolewa'..

Miongoni mwa wazee nguli wa siasa za Tanzania aliyejitosa kutuliza uhasama wa wangwana hao wa kisiasa alidokeza kwa kifupi bila kutaka kuongeza chochote..

Je, manguli hao watafanikiwa kuwaleta pamoja na kutuliza joto kali sana la kisiasa lililofikia hatua za kisheria mahakama na kurejesha urafiki na maelewano baina ya wangwana hawa wawili, walioheshimiana na kufanya kazi pamoja kwa muda mrefu, licha ya kutofautiana mirengo ya kisiasa kwasasa?

Una maoni gani?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
 
Ni muda wa mambo ya msingi zaidi,hayo madogo madogo yanaweza kufanywa na wajukuu na hata vitukuu wetu na bado hatujachelewa.
 
Ni muda wa mambo ya mzingi zaidi,hayo madogo madogo yanaweza kufanywa na wajukuu na hata vitukuu wetu na bado hatujachelewa.
elezea vizuri kwa faida ya wadau gentleman:pulpTRAVOLTA:
 
Msigwa aombe Radhi kwa kumsingizia Mwenyekiti mambo ya uongo.

Laa sivyo B5 arazitapika.
hawatafikia huko,

uwezekano ni mkubwa yakaisha mapema kwasababu ni ndugu na family friends hao:pedroP:
 
Ama kweli siasa sio uadui, na hakuna uadui wa kudumu kwenye siasa..

Wabobevu na manguli wa siasa za Tanazania wameamua kujitosa na kuchukua hatua za kuingilia kati ugomvi wa kisiasa na kutuliza vita ya maneno, kashafa na tuhuma za kisiasa baina ya F. Mbowe mwenyekiti wa chadema taifa na Mch.Msigwa kada wa ccm, ili kupata suluhu na muafaka nje ya mahakama..

'Hawa ni watu wanao fahamiana na kuheshimiana sana mpaka kwenye familia zao. Wamefanya kazi za siasa na kupitia changamoto nyingi sana wakiwa pamoja, tena kwa muda mrefu sana. Si sawa siasa hizi za kuchafuana zikaachwa zikaendelea kuharibu udugu, urafiki na siasa za nchi kirahisi hivi, na sisi wazee walezi tupo tunatazama tu, hapana, hilo haliwezekani. Tutachukua hatua. Tukishindwa basi, lakini naamini tutaweza, mtupe nafasi na muda kidogo tu. Mimi na wazee wenzangu tutawaita tuzungumze nao, na bila shaka yaliyopo mahakamani yataondolewa'..

Miongoni mwa wazee nguli wa siasa za Tanzania aliyejitosa kutuliza uhasama wa wangwana hao wa kisiasa alidokeza kwa kifupi bila kutaka kuongeza chochote..

Je, manguli hao watafanikiwa kuwaleta pamoja na kutuliza joto kali sana la kisiasa lililofikia hatua za kisheria mahakama na kurejesha urafiki na maelewano baina ya wangwana hawa wawili, walioheshimiana na kufanya kazi pamoja kwa muda mrefu, licha ya kutofautiana mirengo ya kisiasa kwasasa?

Una maoni gani?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
Suluhu ni kufilisika kwa Msigwa!
 
Ama kweli siasa sio uadui, na hakuna uadui wa kudumu kwenye siasa..

Wabobevu na manguli wa siasa za Tanazania wameamua kujitosa na kuchukua hatua za kuingilia kati ugomvi wa kisiasa na kutuliza vita ya maneno, kashafa na tuhuma za kisiasa baina ya F. Mbowe mwenyekiti wa chadema taifa na Mch.Msigwa kada wa ccm, ili kupata suluhu na muafaka nje ya mahakama..

'Hawa ni watu wanao fahamiana na kuheshimiana sana mpaka kwenye familia zao. Wamefanya kazi za siasa na kupitia changamoto nyingi sana wakiwa pamoja, tena kwa muda mrefu sana. Si sawa siasa hizi za kuchafuana zikaachwa zikaendelea kuharibu udugu, urafiki na siasa za nchi kirahisi hivi, na sisi wazee walezi tupo tunatazama tu, hapana, hilo haliwezekani. Tutachukua hatua. Tukishindwa basi, lakini naamini tutaweza, mtupe nafasi na muda kidogo tu. Mimi na wazee wenzangu tutawaita tuzungumze nao, na bila shaka yaliyopo mahakamani yataondolewa'..

Miongoni mwa wazee nguli wa siasa za Tanzania aliyejitosa kutuliza uhasama wa wangwana hao wa kisiasa alidokeza kwa kifupi bila kutaka kuongeza chochote..

Je, manguli hao watafanikiwa kuwaleta pamoja na kutuliza joto kali sana la kisiasa lililofikia hatua za kisheria mahakama na kurejesha urafiki na maelewano baina ya wangwana hawa wawili, walioheshimiana na kufanya kazi pamoja kwa muda mrefu, licha ya kutofautiana mirengo ya kisiasa kwasasa?

Una maoni gani?

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
Na ndicho Mh. Freeman Mbowe alichomtaka Peter Msigwa kufanya, kuomba radhi na kutubu kuwa amekosea...

Sharti la kupatana ni hilo tu. Kiri kosa, omba radhi kwa namna na njia zilezile ulizotumia kurushia kashfa zako hizo za uongo...

Je, Mch. Peter Msigwa anao ujasiri huo?

Mimi naamini anao. Aliwahi kufanya kosa kama hili dhidi ya mwana CCM mwenzako wewe Tlaatlaah, Mzee Abdulhaman Kinana, akapelekwa mahakamani, akashindwa kuthibitisha tuhuma zake na mwisho wa siku akaomba radhi na yakaisha....

Hata sasa anaweza kufanya hivyo. Akiendelea kupanua mdomo wake, ajue tu kuwa MDOMO ULIKIPONZA KICHWA...
 
Back
Top Bottom