Kuna kila dalili Simba kupigwa hamsa na Wamorocco

Kuna kila dalili Simba kupigwa hamsa na Wamorocco

Lazima mpakatwe kama hivi
765340418f0e284a15f9471f08a18884.jpg
 
Kila nikiangalia kikosi dhaifu cha Simba kisha nikiangalia kosi Bora la Raja Casablanca machozi yanatiririka.😭😭

Itoshe kusema wanasimba wenzangu tujiandae tu kisaikolojia kwani goli tano nasisi zinatuhusu.

Niko paleee...............
Komenti ziwe fupifupi, matusi pia yanaruhusiwa
Uko palee..!! tukuite nani sasa? Au Simba?
 
Makosa ya Simba ni yale yale ambayo kila siku nayapigia kelele humu ndani. Sijashangazwa na matokeo haya.
Pole sana mkuu, ila hauna timu jipange ufanye usajili wamaana. Iyo target yenu ya semi-final haiendani na uhalisia wenu. Kutoboa tu makundi safari hii itakuwa ni kimbembe
 
Back
Top Bottom