Tetesi: Kuna kila dalili Timu fulani imewahonga Viongozi wa Caf ili wapate nafasi Super league

Tetesi: Kuna kila dalili Timu fulani imewahonga Viongozi wa Caf ili wapate nafasi Super league

mganda og

Senior Member
Joined
Feb 23, 2023
Posts
134
Reaction score
445
Kwa jinsi navyojua viongozi wa Afrika walivyo wapenda rushwa, Kuna kila dalili ya kuwa klabu hii kongwe imetoa mlungura ili wapewe nafasi ya kushiriki hilo bonanza.

Kibaya zaidi ni kuwa ukifuatilia huu mchakato wa kupata timu shiriki za haya mashindano ndio utashangaa jinsi ulivyojaa rushwa.

Ukitafakari hii klabu kongwe ki undani zaidi huioni kwa kigezo chochote kuwa mshiriki wa mashindano haya. Kuanzia ubora wa timu, Current form na hata historia yake kwenye mashindano ya Caf.

Timu ambayo kwa sasa haiwezi hata kuchukua kikombe chochote nchini kwake, ina wachezaji wazee na wengine wa kuokoteza itawezaje kushindana na Mabingwa walioshindikana Afrika?

Viongozi wa chama cha soka ambacho inatoka hii timu ukiwatizama machoni tu utajua Kuna jambo kubwa lipo nyuma yapazia.

Waandishi wa habari nao hawajaachwa nyuma, ukiwauliza ni vigezi gani vimetumika kuiteua hii timu kushiriki hili bonanza hawajui, Kibaya zaid hawawezi hata kuhoji

Vyombo Vinavyopambana na Rushwa duniani hebu fuatilieni hili suala.......

NB: Sijaitaja timu yoyote kwaio mpo huru kuchangia bila uchochezi
 
Of course hatukatai kuna maneno ya kiutani wa jadi ambayo yanatumiwa ila hayaakisi ukweli

Ila ile kauli ya Manara kuhusu kikwete na Baba yake haikuwa utani
Mkuu wewe unajua hata sababu moja tu iliyosababisha iyo timu kuteuliwa kushiriki caf super league?
Halafu sijaita timu yoyote kwenye bandiko langu kwa jina ila nashangaa washabiki wa timu mojawapo mmekuja kunishambulia mimi badala ya kutolea ufafanuzi au majibu ya hoja yangu
 
Post kama hizi nazifaninisha na zile za kuona kila mtu aliyefanikiwa ni mshirikina.

Kwa nini usiwe tu na mawazo chanya ukafurahia mafanikia ya mtu/timu nyingine?

Unajua Wivu wa maendeleo ukiwa kwa ubaya hauna tofauti na mchawi.......
 
Siku tunapewa Billion 5 za maandalizi, nadhani utakuwa hospital unaugua kijiba cha roho.

Naomba nifahamu daktari atakayekuhudumia, akupumzishe jehanamu. Nitampa ya soda
Mkuu wewe ni timu gani? Mbona Sijaitaja timu yoyote humu, acheni kujistukia
 
Hakika Luc hakukosea. Kipi kilichowafanya msishiriki CAF champions kama nyinyi ni bora? Au na kwenyewe CAF walihongwa? Au hujui kama CAF champions ni ya waliobora na ndio maana zawadi ni kubwa halafu inafuatiwa hii ya losers nyinyi na huko zawadi ni kiduchu.
 
Mkuu wewe unajua hata sababu moja tu iliyosababisha iyo timu kuteuliwa kushiriki caf super league?
Halafu sijaita timu yoyote kwenye bandiko langu kwa jina ila nashangaa washabiki wa timu mojawapo mmekuja kunishambulia mimi badala ya kutolea ufafanuzi au majibu ya hoja yangu
Hiyo ni Argument from Personal Incredulity, kwamba hoja lazima iwe ya uongo kwakua wewe binafsi huielewi

Kutokuelewa sheria za CAF haina maana jambo hilo ni uongo au limechakachuliwa

Ni sawa na kusema sijazielewa hoja za engineer kuhusu ndege kupaa, hivyo siamimi kama ndege zinauwezo wa kupaa.
 
Kwa jinsi navyojua viongozi wa Afrika walivyo wapenda rushwa, Kuna kila dalili ya kuwa klabu hii kongwe imetoa mlungura ili wapewe nafasi ya kushiriki hilo bonanza.

Kibaya zaidi ni kuwa ukifuatilia huu mchakato wa kupata timu shiriki za haya mashindano ndio utashangaa jinsi ulivyojaa rushwa.

Ukitafakari hii klabu kongwe ki undani zaidi huioni kwa kigezo chochote kuwa mshiriki wa mashindano haya. Kuanzia ubora wa timu, Current form na hata historia yake kwenye mashindano ya Caf.

Timu ambayo kwa sasa haiwezi hata kuchukua kikombe chochote nchini kwake, ina wachezaji wazee na wengine wa kuokoteza itawezaje kushindana na Mabingwa walioshindikana Afrika?

Viongozi wa chama cha soka ambacho inatoka hii timu ukiwatizama machoni tu utajua Kuna jambo kubwa lipo nyuma yapazia.

Waandishi wa habari nao hawajaachwa nyuma, ukiwauliza ni vigezi gani vimetumika kuiteua hii timu kushiriki hili bonanza hawajui, Kibaya zaid hawawezi hata kuhoji

Vyombo Vinavyopambana na Rushwa duniani hebu fuatilieni hili suala.......

NB: Sijaitaja timu yoyote kwaio mpo huru kuchangia bila uchochezi
Watu jamii ya huyu wakuogopa kama Ukoma
Hawa niwatu wenye Roho Mbaya,Chuki na Wivu uliopindukia!
Niwatu Hatari sana Katika Dunia Hamuwezi Pata Wote
Wakati wako ukifika Nawe Utapata tu
 
Back
Top Bottom