Tetesi: Kuna kila dalili Timu fulani imewahonga Viongozi wa Caf ili wapate nafasi Super league

Tetesi: Kuna kila dalili Timu fulani imewahonga Viongozi wa Caf ili wapate nafasi Super league

Mbona kama wewe ndio umeumia? Haijatajwa timu yoyote kwa jina humu
Hajaumia, ila kwa kuwa umesema ni bonanza, kuna haja gani ya ulivyoviita 'vyombo vya kimataifa vya rushwa' kufanya uchunguzi wa uteuzi wa washiriki wa bonanza? Yaani mfano kwa hapa Tanzania, PCCB ifanye uchunguzi wa uteuzi wa timu za Mapinduzi Cup wakati ni bonanza?

Acha bonanza liendelee, tena ni bonanza la kipekee maana kwa maandalizi tu timu inapewa 5B, halafu ukiangalia hela zenyewe zinatokana na faini na malipo ya kesi kesi kama za Yanga vs Morrison au Yanga vs Feisal
 
Of course hatukatai kuna maneno ya kiutani wa jadi ambayo yanatumiwa ila hayaakisi ukweli

Ila ile kauli ya Manara kuhusu kikwete na Baba yake haikuwa utani
Jamaa alikua anasema ukweli tupu. Mfuatilie Ali Kamwe ndio utaona jamaa alichokiongea
 
Kwa jinsi navyojua viongozi wa Afrika walivyo wapenda rushwa, Kuna kila dalili ya kuwa klabu hii kongwe imetoa mlungura ili wapewe nafasi ya kushiriki hilo bonanza.

Kibaya zaidi ni kuwa ukifuatilia huu mchakato wa kupata timu shiriki za haya mashindano ndio utashangaa jinsi ulivyojaa rushwa.

Ukitafakari hii klabu kongwe ki undani zaidi huioni kwa kigezo chochote kuwa mshiriki wa mashindano haya. Kuanzia ubora wa timu, Current form na hata historia yake kwenye mashindano ya Caf.

Timu ambayo kwa sasa haiwezi hata kuchukua kikombe chochote nchini kwake, ina wachezaji wazee na wengine wa kuokoteza itawezaje kushindana na Mabingwa walioshindikana Afrika?

Viongozi wa chama cha soka ambacho inatoka hii timu ukiwatizama machoni tu utajua Kuna jambo kubwa lipo nyuma yapazia.

Waandishi wa habari nao hawajaachwa nyuma, ukiwauliza ni vigezi gani vimetumika kuiteua hii timu kushiriki hili bonanza hawajui, Kibaya zaid hawawezi hata kuhoji

Vyombo Vinavyopambana na Rushwa duniani hebu fuatilieni hili suala.......

NB: Sijaitaja timu yoyote kwaio mpo huru kuchangia bila uchochezi
uko vzr
 
Mkuu wewe unajua hata sababu moja tu iliyosababisha iyo timu kuteuliwa kushiriki caf super league?
Halafu sijaita timu yoyote kwenye bandiko langu kwa jina ila nashangaa washabiki wa timu mojawapo mmekuja kunishambulia mimi badala ya kutolea ufafanuzi au majibu ya hoja yangu
fuatilia timu bora hata ishirini z caf afu uje tena
 
Kwa jinsi navyojua viongozi wa Afrika walivyo wapenda rushwa, Kuna kila dalili ya kuwa klabu hii kongwe imetoa mlungura ili wapewe nafasi ya kushiriki hilo bonanza.

Kibaya zaidi ni kuwa ukifuatilia huu mchakato wa kupata timu shiriki za haya mashindano ndio utashangaa jinsi ulivyojaa rushwa.

Ukitafakari hii klabu kongwe ki undani zaidi huioni kwa kigezo chochote kuwa mshiriki wa mashindano haya. Kuanzia ubora wa timu, Current form na hata historia yake kwenye mashindano ya Caf.

Timu ambayo kwa sasa haiwezi hata kuchukua kikombe chochote nchini kwake, ina wachezaji wazee na wengine wa kuokoteza itawezaje kushindana na Mabingwa walioshindikana Afrika?

Viongozi wa chama cha soka ambacho inatoka hii timu ukiwatizama machoni tu utajua Kuna jambo kubwa lipo nyuma yapazia.

Waandishi wa habari nao hawajaachwa nyuma, ukiwauliza ni vigezi gani vimetumika kuiteua hii timu kushiriki hili bonanza hawajui, Kibaya zaid hawawezi hata kuhoji

Vyombo Vinavyopambana na Rushwa duniani hebu fuatilieni hili suala.......

NB: Sijaitaja timu yoyote kwaio mpo huru kuchangia bila uchochezi
Umekosa tu tunguli.
 
Back
Top Bottom