Tetesi: Kuna kila dalili Timu fulani imewahonga Viongozi wa Caf ili wapate nafasi Super league

Tetesi: Kuna kila dalili Timu fulani imewahonga Viongozi wa Caf ili wapate nafasi Super league

Watu jamii ya huyu wakuogopa kama Ukoma
Hawa niwatu wenye Roho Mbaya,Chuki na Wivu uliopindukia!
Niwatu Hatari sana Katika Dunia Hamuwezi Pata Wote
Wakati wako ukifika Nawe Utapata tu
Bado umeshindwa kujibu hoja na unanishambulia Mimi binafsi. Halafu Sijaitaja timu yoyote kwenye bandiko langu, Kwa mashambulizi haya inaonekana wazi kuna timu haina vigezo na ninyi mnaweza kuwa mnajua hilo kwaio mnanishambulia kwa kuona navujisha siri msiyotaka ifahamike sio?
 
Huyo jina lake lingine ni Muarabu feki...yani ni mpwa wao na kina kasablanka...
 
Bado umeshindwa kujibu hoja na unanishambulia Mimi binafsi. Halafu Sijaitaja timu yoyote kwenye bandiko langu, Kwa mashambulizi haya inaonekana wazi kuna timu haina vigezo na ninyi mnaweza kuwa mnajua hilo kwaio mnanishambulia kwa kuona navujisha siri msiyotaka ifahamike sio?
Kwaunavyojua wewe, mtaalam na nguli kabisa uliyebobea kwenye kabumbu, ebu tuambie ni timu gani na ngapi kutoka nchi zinazoongea kiswahili zitashiriki michuano hii? Huenda kweli tukawa tunajihisi tu, kumbe timu letu halipo kwenye list.
 
Huyo jina lake lingine ni Muarabu feki...yani ni mpwa wao na kina kasablanka...
Kipind cc tunaweka mikakat
Kabambe wao walikua wanapokea
Wapinzan airport..mara wapo mahakaman kumfungulia KES bm3 ili wapate ushnd wa mezan mara wako bize kukata makeki ya kishamba et unbeaten wanakumbuka shuka
Wakt kumekucha...BEAST ni dude kubwa
 
kabla ya kuandika mada muwe mnapiga mswaki kwanza,mnaosha na mikono kwa sanitaiza.
mada kama hii maandishi yananuka,mada inanuka kama mzoga wa mnyama.
 
Siku tunapewa Billion 5 za maandalizi, nadhani utakuwa hospital unaugua kijiba cha roho.

Naomba nifahamu daktari atakayekuhudumia, akupumzishe jehanamu. Nitampa ya soda
Atachukua Kama anavyochukua siku zote.mwanahisa feki anahakikisha haiwezi kusimama yenyewe lazima apigiwe magoti hata Kama matumizi ya milioni 50
 
Of course hatukatai kuna maneno ya kiutani wa jadi ambayo yanatumiwa ila hayaakisi ukweli

Ila ile kauli ya Manara kuhusu kikwete na Baba yake haikuwa utani
Kwa kabisa.
 
Back
Top Bottom