Bado umeshindwa kujibu hoja na unanishambulia Mimi binafsi. Halafu Sijaitaja timu yoyote kwenye bandiko langu, Kwa mashambulizi haya inaonekana wazi kuna timu haina vigezo na ninyi mnaweza kuwa mnajua hilo kwaio mnanishambulia kwa kuona navujisha siri msiyotaka ifahamike sio?Watu jamii ya huyu wakuogopa kama Ukoma
Hawa niwatu wenye Roho Mbaya,Chuki na Wivu uliopindukia!
Niwatu Hatari sana Katika Dunia Hamuwezi Pata Wote
Wakati wako ukifika Nawe Utapata tu
Atakuwa hayupo seriousKuna thread unaweza ukacheka Sana .......Sana aisee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🚮
Shida inaanzia billion 5 ya maandaliz ni Sawa na mara8 ya zawad ya nbCSiku tunapewa Billion 5 za maandalizi, nadhani utakuwa hospital unaugua kijiba cha roho.
Naomba nifahamu daktari atakayekuhudumia, akupumzishe jehanamu. Nitampa ya soda
Kwaunavyojua wewe, mtaalam na nguli kabisa uliyebobea kwenye kabumbu, ebu tuambie ni timu gani na ngapi kutoka nchi zinazoongea kiswahili zitashiriki michuano hii? Huenda kweli tukawa tunajihisi tu, kumbe timu letu halipo kwenye list.Bado umeshindwa kujibu hoja na unanishambulia Mimi binafsi. Halafu Sijaitaja timu yoyote kwenye bandiko langu, Kwa mashambulizi haya inaonekana wazi kuna timu haina vigezo na ninyi mnaweza kuwa mnajua hilo kwaio mnanishambulia kwa kuona navujisha siri msiyotaka ifahamike sio?
Kipind cc tunaweka mikakatHuyo jina lake lingine ni Muarabu feki...yani ni mpwa wao na kina kasablanka...
Wewe na mleta mada ni bure kabisa. Mnasema hamjaitaja timu yoyote Kwani hao unaowaita Makolo wapi wamejitaja?Sijaona timu yoyote ikitajwa ila Makolo wamemshukia jumla jumla mganda og [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa nawewe umejuaje kama wanaomshukia ni makolo na sio misukule, maana hajataja jini ewe nyani.Sijaona timu yoyote ikitajwa ila Makolo wamemshukia jumla jumla mganda og [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yanga wote ni hamnazoKuna thread unaweza ukacheka Sana .......Sana aisee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji706]
Atachukua Kama anavyochukua siku zote.mwanahisa feki anahakikisha haiwezi kusimama yenyewe lazima apigiwe magoti hata Kama matumizi ya milioni 50Siku tunapewa Billion 5 za maandalizi, nadhani utakuwa hospital unaugua kijiba cha roho.
Naomba nifahamu daktari atakayekuhudumia, akupumzishe jehanamu. Nitampa ya soda
Kwa kabisa.Of course hatukatai kuna maneno ya kiutani wa jadi ambayo yanatumiwa ila hayaakisi ukweli
Ila ile kauli ya Manara kuhusu kikwete na Baba yake haikuwa utani