Kuna kila dalili wachambuzi Wasafi FM wamemchoka Maulid Kitenge

Kuna kila dalili wachambuzi Wasafi FM wamemchoka Maulid Kitenge

Nachoelewa Mimi ni kwamba Kitenge uwa anatafuta kiki ya kutrend mitandaoni, ndio Mana uchambuzi wake katika Simba siku zote unakuwa wa negative.
Hili la kutafuta kiki kupitia Simba ni kweli.

Sjui kwanini HAJI anabishana na mtu hv wkt anajulikana ujinga wake ni kuiponda Simba.

Amuache aropoke bila kujibizana nae
 
We pimbi hujaskiliza vzr acha kupotosha wenzio.walimpa sapot maulid kutokana na kauli ya babra na kocha kutofautian kwnn morison hajsafr na tm!
Basi tufanye Morrison na Gomes wamegombana! Labda itasaidia GSM kuwaachia mamlaka viongozi waliochaguliwa (Msola na Mwakalebela) kushiriki katika kumwajiri au kumfukuza kocha!
 
Huu ndo Ujinga wetu Yanga. Yaani tunaamini Team ambayo inaongoza kwenye Group CAF inanyooshwa na Mwandishi wa habari ambaye anaongea Upuuzi tu Daily? Badala ya kuangalia team yetu inavyoyumba na kupoteza mwelekeo... sisi aliyeturoga atakuwa LUC EYMAEL . Jana tumepoteza points 2 na kumfukuza kocha na tunaacha ku concetrate kwenye mambo yetu tunalazimisha ya SImba. sisi akili tulipotezea wapi?
Na nakuhakikishia hamuendi robo fainal narudia tena hamuendi robo final
 
Huu ndo Ujinga wetu Yanga. Yaani tunaamini Team ambayo inaongoza kwenye Group CAF inanyooshwa na Mwandishi wa habari ambaye anaongea Upuuzi tu Daily?

Badala ya kuangalia team yetu inavyoyumba na kupoteza mwelekeo... sisi aliyeturoga atakuwa LUC EYMAEL . Jana tumepoteza points 2 na kumfukuza kocha na tunaacha ku concetrate kwenye mambo yetu tunalazimisha ya SImba. sisi akili tulipotezea wapi?
[emoji106]
 
Mkuu sisi yanga Kuna shida mahali mashabiki huku mitaan wanatia kinyaa wamesahau ya timu yao wapo na kitenge wakija kushtuka yanga itakuwa Kama Azam TU yaan jina kubwa ufanisi n hovyo

Naifananisha yanga na binti aliyekuwa anaringa ujanan akitaka kiolewa na wenye pesa matokeo yake kaishia kuwa single mother na uzee ndio huo unapiga hodi anabak kuringia uzur wa ujanani kumbe umr ushamtupa
Ww sio yanga pambaba na mikia wenzio lakn nyie mikia mnanifrahisha sehemu moja ivi kwel mnaweza kuwa mnajivunia kuingia robo fainal badala mjivunie kuchukua kombe sisi wana arsenal tunaumia hatujawai kuchukua UEFA lakn fainal tumefika na hatujivunii kufika fainal A.Madrid hawajivunii kuingia fainal 2 mfululizo lakn wanaumia kukosa kuchukua kombe kwahy mikia nyie ni timu ndogo kwa sababu mnafrahia kufika robo fainal
 
Mtateseka sana mwaka huu unbwa nyingi, badala mpambane na matatizo yenu mnataka kushindana na simba
Watu wameonglea kuhus maulid we unaleta uyanga na usimba km vile mm ndo mwenyekit wa yanga!miTanzania mingne km ww ni AssHoles kbs
 
hv unategemea kabisa Babra au Gomes wangekubali kua kuna ugonvi? halafu hili swala baadhi ya mashabiki wanalikuza tu, hizo Kitenge alizosema ni tetesi tu, na mbona hata Ulaya kusemwa semwa kutokuelewana kati ya coach na player ni jambo la kawaida sana? inakuaje hiii inakua ishuuuu wakati ni jambo la kawaida tu katika soka? Kite na Haj seems wana mambo yao binafsi wao kama wao, sema teams zinatumika tu kujifichia
 
Back
Top Bottom