Kuna kila dalili wachambuzi Wasafi FM wamemchoka Maulid Kitenge

Kuna kila dalili wachambuzi Wasafi FM wamemchoka Maulid Kitenge

Kumekuwapo na sakata siku mbili hizi kati ya msemaji wa Simba, Haji Manara na mtangazaji wa Wasafi FM, Maulid Kitenge.

Hii ni baada ya Kitenge kupost kwenye page zake kwamba kuna ugomvi kati ya Morrison na kocha wake Gomes, na ndio maana Morrison aliachwa Dar safari ya Khartoum, madai ambayo Manara aliyakanusha na kumuonya Kitenge aache uzushi.

Leo katika kipindi cha michezo asubuhi, amehojiwa CEO wa Simba, akakanusha kuwapo ugomvi huo na akadai ni waandishi tu wanaotafuta followers kwenye pages zao ndio wanazusha hilo. Pia akahojiwa kocha Gomes kama ana ugomvi na kwa nini alimuacha Dar, akasema taarifa hizo si za kweli na Morrison ni mchezaji mwenye kipaji kikubwa ambaye atawasaidia sana Simba, na akasema alimuacha Dar kwa sababu za matatizo ya kifamilia.

Pamoja na ufafanuzi huo wa CEO na kocha mwenyewe, lakini bado Kitenge akawa anamlazimisha Zingizi aongelee ugomvi ili kuhalalisha habari yake ya mitandaoni, na wakati wakizungumza hayo, wachambuzi wengine wa soka akina Musa, Ambangile nk waliamua kupiga kimya kuwaachia Kitenge na Zingizi wakifarijiana kuwa CEO na kocha wamekanusha tu ila kuna habari wao wanazo, hadi ikafikia hatua ya Ambangile kuvunja ukimya na kuanzisha habari nyingine mpya.

Kitendo cha wachambuzi wenye akili zao kuamua kukalia kimya ushawishi wa Kitenge ili wasiwaamini CEO na Gomes kimenifanya nipate picha kuwa huenda waliona watajiondolea heshima kujadili kitu ambacho kimeshakanushwa, tena mmoja wa wakanushaji nihuyo huyo Gomes anayehusishwa na ugomvi!

Hongera Musa Kawambwa, George Ambangile na wachambuzi wote mliokuwapo studio kwa kumuachia Kitenge alibebe zigo lake, wala asiwasumbue, mpeni makavu!
Haya maandishi ni kama akili ya Manara vile imeandika au chawa wake....kwa ufupi umeandika upuuzi mtupu....tumefuatilia kipindi cha leo cha Wasafi na walikuwa "very professional" katika kulizungumzia hili swala kwani wameenda mbali mpaka kuweka sauti zote za CEO wa Simba na za Kocha ili ziweze kutusadia sisi wasikilizaji tujue mbichi na mbivu.....acha kutumika wanasema akili za kuambiwa changanya na zako ..lakini kama kweli akili unazo kwani nalo ni jambo jingine...
 
Kumekuwapo na sakata siku mbili hizi kati ya msemaji wa Simba, Haji Manara na mtangazaji wa Wasafi FM, Maulid Kitenge.

Hii ni baada ya Kitenge kupost kwenye page zake kwamba kuna ugomvi kati ya Morrison na kocha wake Gomes, na ndio maana Morrison aliachwa Dar safari ya Khartoum, madai ambayo Manara aliyakanusha na kumuonya Kitenge aache uzushi.

Leo katika kipindi cha michezo asubuhi, amehojiwa CEO wa Simba, akakanusha kuwapo ugomvi huo na akadai ni waandishi tu wanaotafuta followers kwenye pages zao ndio wanazusha hilo. Pia akahojiwa kocha Gomes kama ana ugomvi na kwa nini alimuacha Dar, akasema taarifa hizo si za kweli na Morrison ni mchezaji mwenye kipaji kikubwa ambaye atawasaidia sana Simba, na akasema alimuacha Dar kwa sababu za matatizo ya kifamilia.

Pamoja na ufafanuzi huo wa CEO na kocha mwenyewe, lakini bado Kitenge akawa anamlazimisha Zingizi aongelee ugomvi ili kuhalalisha habari yake ya mitandaoni, na wakati wakizungumza hayo, wachambuzi wengine wa soka akina Musa, Ambangile nk waliamua kupiga kimya kuwaachia Kitenge na Zingizi wakifarijiana kuwa CEO na kocha wamekanusha tu ila kuna habari wao wanazo, hadi ikafikia hatua ya Ambangile kuvunja ukimya na kuanzisha habari nyingine mpya.

Kitendo cha wachambuzi wenye akili zao kuamua kukalia kimya ushawishi wa Kitenge ili wasiwaamini CEO na Gomes kimenifanya nipate picha kuwa huenda waliona watajiondolea heshima kujadili kitu ambacho kimeshakanushwa, tena mmoja wa wakanushaji nihuyo huyo Gomes anayehusishwa na ugomvi!

Hongera Musa Kawambwa, George Ambangile na wachambuzi wote mliokuwapo studio kwa kumuachia Kitenge alibebe zigo lake, wala asiwasumbue, mpeni makavu!
huyu ambangile ha qualify hata kuchambua rede
 
Uzi unahusu Kitenge na Wafanyamazi wenzake wa wasafi watu wanaanza kuongelea Yanga na GSM.
Akili finyu hizi.
 
Kwa mara ya kwanza ile habari ya Morison ilitolewa na mtandao wa African Sports. Kitenge akaja kuirusha ile habari kama tetesi (i.e inasemekana). Sasa hapo tatizo lipo wapi? Si kweli inasemekana?

Haya, njooni kwa Dauda. Wewe umemsikia Bumbuli akimtukana Dauda, au kumkashifu?
Simba ni timu yenye mashabiki hovyo sana.
 
Kwa mara ya kwanza ile habari ya Morison ilitolewa na mtandao wa African Sports. Kitenge akaja kuirusha ile habari kama tetesi (i.e inasemekana). Sasa hapo tatizo lipo wapi? Si kweli inasemekana?

Haya, njooni kwa Dauda. Wewe umemsikia Bumbuli akimtukana Dauda, au kumkashifu?
Simba ni timu yenye mashabiki hovyo sana.
Wa hovyo kuliko nyie Uto?

Jifariji tu, ila wewe mwenyewe unajua amani tuliyonayo mashabiki wa Simba kwa namna timu inavo perform.
 
Wa hovyo kuliko nyie Uto?

Jifariji tu, ila wewe mwenyewe unajua amani tuliyonayo mashabiki wa Simba kwa namna timu inavo perform.
Simba hamna amani yeyote. Muhindi akitajwa mnaruka ka pimbi. Akiumwa tumbo la kuhara mnaanza kufukiza ubani, dua mji mzima.
Morison hana nidhamu na hapatani na kocha. Kubalini tu, kwani ndiyo nini?
Mbona magazeti yameandika kuhusu Ntibanzokiza etc ... na watu wamechuna tu.
Huo ndiyo ubovu wa Simba, wengi wenu ni mapolisi, wanajeshi na mgambo. Pia madalali wengi ni Simba.
 
Simba hamna amani yeyote. Muhindi akitajwa mnaruka ka pimbi. Akiumwa tumbo la kuhara mnaanza kufukiza ubani, dua mji mzima.
Morison hana nidhamu na hapatani na kocha. Kubalini tu, kwani ndiyo nini?
Mbona magazeti yameandika kuhusu Ntibanzokiza etc ... na watu wamechuna tu.
Huo ndiyo ubovu wa Simba, wengi wenu ni mapolisi, wanajeshi na mgambo. Pia madalali wengi ni Simba.
We jamaa unaongea kwa jazba 😁😁
Pole sana. Mbaya zaidi unakuta ni kijana mdogo halafu unashabikia na CCM.

Huwa nikiona kijana wa kileo yupo Yanga na CCM uwa namuona mshamba Kolo fulani vile.

Kuna jamaa kwanza ni Mwl, ana makato huko balaa, then anaipenda Yanga, mbaya zaidi ni mwana CCM... Aisee kuna watu duniani
 
Kwa mara ya kwanza ile habari ya Morison ilitolewa na mtandao wa African Sports. Kitenge akaja kuirusha ile habari kama tetesi (i.e inasemekana). Sasa hapo tatizo lipo wapi? Si kweli inasemekana?

Haya, njooni kwa Dauda. Wewe umemsikia Bumbuli akimtukana Dauda, au kumkashifu?
Simba ni timu yenye mashabiki hovyo sana.
Yanga ni timu yenye mashabiki wapumbavu kabisa kama hivi
FB_IMG_1614932289529.jpg
 
Kumekuwapo na sakata siku mbili hizi kati ya msemaji wa Simba, Haji Manara na mtangazaji wa Wasafi FM, Maulid Kitenge.

Hii ni baada ya Kitenge kupost kwenye page zake kwamba kuna ugomvi kati ya Morrison na kocha wake Gomes, na ndio maana Morrison aliachwa Dar safari ya Khartoum, madai ambayo Manara aliyakanusha na kumuonya Kitenge aache uzushi.

Leo katika kipindi cha michezo asubuhi, amehojiwa CEO wa Simba, akakanusha kuwapo ugomvi huo na akadai ni waandishi tu wanaotafuta followers kwenye pages zao ndio wanazusha hilo. Pia akahojiwa kocha Gomes kama ana ugomvi na kwa nini alimuacha Dar, akasema taarifa hizo si za kweli na Morrison ni mchezaji mwenye kipaji kikubwa ambaye atawasaidia sana Simba, na akasema alimuacha Dar kwa sababu za matatizo ya kifamilia.

Pamoja na ufafanuzi huo wa CEO na kocha mwenyewe, lakini bado Kitenge akawa anamlazimisha Zingizi aongelee ugomvi ili kuhalalisha habari yake ya mitandaoni, na wakati wakizungumza hayo, wachambuzi wengine wa soka akina Musa, Ambangile nk waliamua kupiga kimya kuwaachia Kitenge na Zingizi wakifarijiana kuwa CEO na kocha wamekanusha tu ila kuna habari wao wanazo, hadi ikafikia hatua ya Ambangile kuvunja ukimya na kuanzisha habari nyingine mpya.

Kitendo cha wachambuzi wenye akili zao kuamua kukalia kimya ushawishi wa Kitenge ili wasiwaamini CEO na Gomes kimenifanya nipate picha kuwa huenda waliona watajiondolea heshima kujadili kitu ambacho kimeshakanushwa, tena mmoja wa wakanushaji nihuyo huyo Gomes anayehusishwa na ugomvi!

Hongera Musa Kawambwa, George Ambangile na wachambuzi wote mliokuwapo studio kwa kumuachia Kitenge alibebe zigo lake, wala asiwasumbue, mpeni makavu!
Mmh umeandika kiushabiki mno...Mimi pia nilisikiliza kipindi hicho Kama ilivyo kwa watu wengine...wewe ulitarajia CEO wa sImba aseme nini na kocha aseme nini...kikubwa Kama wewe ni mtu unayechambua issues ni kile alichosema kocha kuwa kilichotokea Kati yake na Morrison ni suala la 'kifamilia'...Sasa sijui wewe ulielewa vipi hapo?!...wakati mwingine muwe fair...naona watu wa Simba mmelishupalia sana suala la Kitenge...Na hamjui kuwa msemaji wa Simba anatamka Mambo mengine ambayo ni very unprofessional na hata jinai...kutamka matusi ya nguoni hadhrani au mitandaoni ni jinai...
 
Kumekuwapo na sakata siku mbili hizi kati ya msemaji wa Simba, Haji Manara na mtangazaji wa Wasafi FM, Maulid Kitenge.

Hii ni baada ya Kitenge kupost kwenye page zake kwamba kuna ugomvi kati ya Morrison na kocha wake Gomes, na ndio maana Morrison aliachwa Dar safari ya Khartoum, madai ambayo Manara aliyakanusha na kumuonya Kitenge aache uzushi.

Leo katika kipindi cha michezo asubuhi, amehojiwa CEO wa Simba, akakanusha kuwapo ugomvi huo na akadai ni waandishi tu wanaotafuta followers kwenye pages zao ndio wanazusha hilo. Pia akahojiwa kocha Gomes kama ana ugomvi na kwa nini alimuacha Dar, akasema taarifa hizo si za kweli na Morrison ni mchezaji mwenye kipaji kikubwa ambaye atawasaidia sana Simba, na akasema alimuacha Dar kwa sababu za matatizo ya kifamilia.

Pamoja na ufafanuzi huo wa CEO na kocha mwenyewe, lakini bado Kitenge akawa anamlazimisha Zingizi aongelee ugomvi ili kuhalalisha habari yake ya mitandaoni, na wakati wakizungumza hayo, wachambuzi wengine wa soka akina Musa, Ambangile nk waliamua kupiga kimya kuwaachia Kitenge na Zingizi wakifarijiana kuwa CEO na kocha wamekanusha tu ila kuna habari wao wanazo, hadi ikafikia hatua ya Ambangile kuvunja ukimya na kuanzisha habari nyingine mpya.

Kitendo cha wachambuzi wenye akili zao kuamua kukalia kimya ushawishi wa Kitenge ili wasiwaamini CEO na Gomes kimenifanya nipate picha kuwa huenda waliona watajiondolea heshima kujadili kitu ambacho kimeshakanushwa, tena mmoja wa wakanushaji nihuyo huyo Gomes anayehusishwa na ugomvi!

Hongera Musa Kawambwa, George Ambangile na wachambuzi wote mliokuwapo studio kwa kumuachia Kitenge alibebe zigo lake, wala asiwasumbue, mpeni makavu!
Kwa hizi sarakasi za mpira wa nchi hii, ni mala ngapi, mambo yanaanza kama tetesi, viongozi wanaulizwa , wanakuwa wakali, na kutishia kuwapeleka watu mahakamani, kwa kuchafua image zao, lakini, badaye yanakuja kuwa kweli?!??yaani haji anajifanya ana uchungu na simba kuliko hata MO, anayetumia ma bilioni kwenye timu?!!
 
We jamaa unaongea kwa jazba 😁😁
Pole sana. Mbaya zaidi unakuta ni kijana mdogo halafu unashabikia na CCM.

Huwa nikiona kijana wa kileo yupo Yanga na CCM uwa namuona mshamba Kolo fulani vile.

Kuna jamaa kwanza ni Mwl, ana makato huko balaa, then anaipenda Yanga, mbaya zaidi ni mwana CCM... Aisee kuna watu duniani
Inaelekea huko Simba hakuna mwanaCCM
 
Kitenge kutangaza habari za udaku za simba kwenye chaneli yake sio shida.
Shida ni kutumia platform ya wasafi kusambaza habari za uongo.
 
Kumekuwapo na sakata siku mbili hizi kati ya msemaji wa Simba, Haji Manara na mtangazaji wa Wasafi FM, Maulid Kitenge.

Hii ni baada ya Kitenge kupost kwenye page zake kwamba kuna ugomvi kati ya Morrison na kocha wake Gomes, na ndio maana Morrison aliachwa Dar safari ya Khartoum, madai ambayo Manara aliyakanusha na kumuonya Kitenge aache uzushi.

Leo katika kipindi cha michezo asubuhi, amehojiwa CEO wa Simba, akakanusha kuwapo ugomvi huo na akadai ni waandishi tu wanaotafuta followers kwenye pages zao ndio wanazusha hilo. Pia akahojiwa kocha Gomes kama ana ugomvi na kwa nini alimuacha Dar, akasema taarifa hizo si za kweli na Morrison ni mchezaji mwenye kipaji kikubwa ambaye atawasaidia sana Simba, na akasema alimuacha Dar kwa sababu za matatizo ya kifamilia.

Pamoja na ufafanuzi huo wa CEO na kocha mwenyewe, lakini bado Kitenge akawa anamlazimisha Zingizi aongelee ugomvi ili kuhalalisha habari yake ya mitandaoni, na wakati wakizungumza hayo, wachambuzi wengine wa soka akina Musa, Ambangile nk waliamua kupiga kimya kuwaachia Kitenge na Zingizi wakifarijiana kuwa CEO na kocha wamekanusha tu ila kuna habari wao wanazo, hadi ikafikia hatua ya Ambangile kuvunja ukimya na kuanzisha habari nyingine mpya.

Kitendo cha wachambuzi wenye akili zao kuamua kukalia kimya ushawishi wa Kitenge ili wasiwaamini CEO na Gomes kimenifanya nipate picha kuwa huenda waliona watajiondolea heshima kujadili kitu ambacho kimeshakanushwa, tena mmoja wa wakanushaji nihuyo huyo Gomes anayehusishwa na ugomvi!

Hongera Musa Kawambwa, George Ambangile na wachambuzi wote mliokuwapo studio kwa kumuachia Kitenge alibebe zigo lake, wala asiwasumbue, mpeni makavu!
Watamchoka boss wao?
 
Huu ndo Ujinga wetu Yanga. Yaani tunaamini Team ambayo inaongoza kwenye Group CAF inanyooshwa na Mwandishi wa habari ambaye anaongea Upuuzi tu Daily?

Badala ya kuangalia team yetu inavyoyumba na kupoteza mwelekeo... sisi aliyeturoga atakuwa LUC EYMAEL . Jana tumepoteza points 2 na kumfukuza kocha na tunaacha ku concetrate kwenye mambo yetu tunalazimisha ya SImba. sisi akili tulipotezea wapi?
Sema ujinga wako wewe,Kitenge kazungumzia tetesi za wachezaji.....na wala si yeye pekee aliyepost hiyo tetesi......sasa mambo ya tetesi za mikia yanahusiana nini na Yanga ? Acha kutumia kile kiungo alichokisema Dr Masaburi kufikiria
 
Sio kweli mkuu bali ni hivi..kitenge amewameza wale madogo mle ndani yaan jambo analo tqka yeye ndilo lizungumziwe ukibishana nae itakupasa ukae kimya tu.

Na shida ya kitenge ni Unanzi wa kuipenda yanga. Binafssi nilimsikiliza shafii dauda leo ktk Hili game shafii alipasua JIPU leo na ule ndio ukweli. Shafii amesemaa wazi kabisaa wadhamini wale wa herufi tatu ndio shida maana wao ndio wana ratibu kila kitu ktk club ile na shafii alisema wazi ata maamuzi ya kumfukuza kocha M/kiti wa club na Makamu wake wote hawakuwepo.

Lwambano akaongezea akasema ndani ya club ya utopolo kuna wajanja wachache ambao wanaendesha maisha yao kupitia club ile wamejificha kwa mgongo wa mdhamini wa herufi tatu

Sasa kuamini hili binafsi huwa najiuliza iv ina kuwaje sponsor anaingia ktk vikao vya kuongoza club tena wao sio main sponsor mbona wale michezo pesa hawa play part kama mdhamini wa herufi 3
Hilo jambo liliwahi kutamkwa na wajumbe wa utendaji waliolazimishwa kujiuzulu, walikuwa kwenye kikao wakawa wanahoji kuhusu mdhamini kuingilia uendeshaji wa timu kumbe kuna wengine wanawarekodi na kupeleka clip kwa mdhamini mpaka mdhamini akatishia kujitoa ni jambo la kusikitisha sana na leo yanajirudia
 
Back
Top Bottom