Hili la kutafuta kiki kupitia Simba ni kweli.Nachoelewa Mimi ni kwamba Kitenge uwa anatafuta kiki ya kutrend mitandaoni, ndio Mana uchambuzi wake katika Simba siku zote unakuwa wa negative.
Na kibaya zaidi ni kuwaruhusu GSM wanasajili Makocha na wachezaji wkt hawajui lolote kuhusu sokaYaani kitenge amewafanya uto wajifiche kwenye kichaka chao cha kuombea/kusemea mabaya simba Ili mradi ubovu wa Timu yao usionekane
Kwakifupi kijora na Yanga yake wanasafari ndefu sana
Amnyooshe nani huyo biriani?Mikia kitenge anawanyoosha kwel kwel, na bado
Mtateseka sana mwaka huu unbwa nyingi, badala mpambane na matatizo yenu mnataka kushindana na simbaWe pimbi hujaskiliza vzr acha kupotosha wenzio.walimpa sapot maulid kutokana na kauli ya babra na kocha kutofautian kwnn morison hajsafr na tm!
Basi tufanye Morrison na Gomes wamegombana! Labda itasaidia GSM kuwaachia mamlaka viongozi waliochaguliwa (Msola na Mwakalebela) kushiriki katika kumwajiri au kumfukuza kocha!We pimbi hujaskiliza vzr acha kupotosha wenzio.walimpa sapot maulid kutokana na kauli ya babra na kocha kutofautian kwnn morison hajsafr na tm!
Mbona mlalamika kwamba kila siku anawachafua huyo ndio chumviYaani team inyoshwe na mchambuzi tutakua tumekosa cha kufanya.
Na nakuhakikishia hamuendi robo fainal narudia tena hamuendi robo finalHuu ndo Ujinga wetu Yanga. Yaani tunaamini Team ambayo inaongoza kwenye Group CAF inanyooshwa na Mwandishi wa habari ambaye anaongea Upuuzi tu Daily? Badala ya kuangalia team yetu inavyoyumba na kupoteza mwelekeo... sisi aliyeturoga atakuwa LUC EYMAEL . Jana tumepoteza points 2 na kumfukuza kocha na tunaacha ku concetrate kwenye mambo yetu tunalazimisha ya SImba. sisi akili tulipotezea wapi?
Atasema MwaduiNi nani ananyooka kati ya Yanga na Simba nyakati hizi?
ha ha kwa hiyo ukichafuliwa na kulalamika utasema ametukumoa, Team inakomolewa uwanjani tuu na ndugu sio manejo ya mtaani.Mbona mlalamika kwamba kila siku anawachafua huyo ndio chumvi
[emoji106]Huu ndo Ujinga wetu Yanga. Yaani tunaamini Team ambayo inaongoza kwenye Group CAF inanyooshwa na Mwandishi wa habari ambaye anaongea Upuuzi tu Daily?
Badala ya kuangalia team yetu inavyoyumba na kupoteza mwelekeo... sisi aliyeturoga atakuwa LUC EYMAEL . Jana tumepoteza points 2 na kumfukuza kocha na tunaacha ku concetrate kwenye mambo yetu tunalazimisha ya SImba. sisi akili tulipotezea wapi?
Wewe ukiwa mchezaji wa timu gani kwenye hilo kundi..?Na nakuhakikishia hamuendi robo fainal narudia tena hamuendi robo final
Ww sio yanga pambaba na mikia wenzio lakn nyie mikia mnanifrahisha sehemu moja ivi kwel mnaweza kuwa mnajivunia kuingia robo fainal badala mjivunie kuchukua kombe sisi wana arsenal tunaumia hatujawai kuchukua UEFA lakn fainal tumefika na hatujivunii kufika fainal A.Madrid hawajivunii kuingia fainal 2 mfululizo lakn wanaumia kukosa kuchukua kombe kwahy mikia nyie ni timu ndogo kwa sababu mnafrahia kufika robo fainalMkuu sisi yanga Kuna shida mahali mashabiki huku mitaan wanatia kinyaa wamesahau ya timu yao wapo na kitenge wakija kushtuka yanga itakuwa Kama Azam TU yaan jina kubwa ufanisi n hovyo
Naifananisha yanga na binti aliyekuwa anaringa ujanan akitaka kiolewa na wenye pesa matokeo yake kaishia kuwa single mother na uzee ndio huo unapiga hodi anabak kuringia uzur wa ujanani kumbe umr ushamtupa
Watu wameonglea kuhus maulid we unaleta uyanga na usimba km vile mm ndo mwenyekit wa yanga!miTanzania mingne km ww ni AssHoles kbsMtateseka sana mwaka huu unbwa nyingi, badala mpambane na matatizo yenu mnataka kushindana na simba
Nyie huyo kanjibay wenu anajua nn kuhusu soka litimu lenu linashakua la familia ya moNa kibaya zaidi ni kuwaruhusu GSM wanasajili Makocha na wachezaji wkt hawajui lolote kuhusu soka
Kitenge amewahi post Baya la yangaSimba kitenge anawanyoosha kweli kweli, na bado