Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Sawa umekuja kwa shari au.... Potea hukoHali zeni wana JF siasa.
Sitaki kuandika wala kuongea mengi ila nasema tu, Mheshimiwa Dr Kitwanga atarudi barazani muda sio mrefu.
Sitaki maswali ila muda utaongea.
Naona ni ramli chonganishiNdonini hiki au ramli??
Utakuja kukumbuka Uzi huuNaona ni ramli chonganishi
Wewe sema zumariNaona unapiga zumari...sjabisha lakini!
Subiri utaonaNdonini hiki au ramli??
si naye ni Mkolomije huyu?Hali zenu wana JF siasa.
Sitaki kuandika wala kuongea mengi ila nasema tu, Mheshimiwa Dr Kitwanga atarudi barazani muda sio mrefu.
Sitaki maswali ila muda utaongea na siku hiyo Uzi huu utafufuliwa.