Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
- #41
Tangu enzi za Jk ni DrSijawahi sikia popote huyu jamaa ni dr ndio kwanza nasikia kwako leo japo ni mbunge wa jimbo letu na mara kwa mara namuona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu enzi za Jk ni DrSijawahi sikia popote huyu jamaa ni dr ndio kwanza nasikia kwako leo japo ni mbunge wa jimbo letu na mara kwa mara namuona
Sio lweli Ndugu Mnyeti, Kitwanga hatorudi kamweHali zenu wana JF siasa.
Sitaki kuandika wala kuongea mengi ila nasema tu, Mheshimiwa Dr Kitwanga atarudi barazani muda sio mrefu.
Sitaki maswali ila muda utaongea na siku hiyo Uzi huu utafufuliwa.
Una maanisha nini hapo?Freed Freed JF-Expert Member
Joined: Jun 27, 2017
Atachukua nafasi ya Luaga Mpina, msukuma mwenzake ambae ktk watu walioshindwa kwenda ikulu Siku ille ya vikào vya wafanyabihasharaNa mimi nasema tu!, pale madini kuna mtu ajiangalie vizuri.
Sitaki maswali, mni-quote siku akitolewa [emoji3][emoji3]
Mpina sidhani kama ataondolewa, anaweza kufikiriwa kuwa turufu uongozi wa juu wa ............ Mwaka 2025 kama kanda ya ziwa haitakuwa na wagombea wengi watakaogawana kura. Pia usimsahau Makonda 2025, chochote chawezekana.Atachukua nafasi ya Luaga Mpina, msukuma mwenzake ambae ktk watu walioshindwa kwenda ikulu Siku ille ya vikào vya wafanyabihashara
Mnyeti humu nani?Sio lweli Ndugu Mnyeti, Kitwanga hatorudi kamwe
Hali zenu wana JF siasa.
Sitaki kuandika wala kuongea mengi ila nasema tu, Mheshimiwa Dr Kitwanga atarudi barazani muda sio mrefu.
Sitaki maswali ila muda utaongea na siku hiyo Uzi huu utafufuliwa.
Kwahiyo tukamshonee suti?Hali zenu wana JF siasa.
Sitaki kuandika wala kuongea mengi ila nasema tu, Mheshimiwa Dr Kitwanga atarudi barazani muda sio mrefu.
Sitaki maswali ila muda utaongea na siku hiyo Uzi huu utafufuliwa.
Hali zenu wana JF siasa.
Sitaki kuandika wala kuongea mengi ila nasema tu, Mheshimiwa Dr Kitwanga atarudi barazani muda sio mrefu.
Sitaki maswali ila muda utaongea na siku hiyo Uzi huu utafufuliwa.
NdiyooooKwahiyo tukamshonee suti?
Itabidi kipindi cha bunge aache pombeNajua alifukuzwa Uwaziri kwa kujibu swali Bungeni akiwa AMELEWA..!
Je, kwa sasa ameacha Pombe, Urabu na Wanzuki hamywi tena?? Maana kama kaokoka tujue ili yasije yakajirudia ya kujibu maswali huku mtu akiwa chakari jicho nyanya...!!
Kashastaafu kupiga Balimi?Hali zenu wana JF siasa.
Sitaki kuandika wala kuongea mengi ila nasema tu, Mheshimiwa Dr Kitwanga atarudi barazani muda sio mrefu.
Sitaki maswali ila muda utaongea na siku hiyo Uzi huu utafufuliwa.
Siri yake, Kitwanga embu njoo huku jibu swaliKashastaafu kupiga Balimi?
Basi akikunong'oneza utuletee mrejeshoSiri yake, Kitwanga embu njoo huku jibu swali
Huyu ni mwenzetu humu hili ni jina la ubatizo tuFreed Freed JF-Expert Member
Joined: Jun 27, 2017
Mshauri mkuu wa Trump ni mkwe wake sioni ajabu hapo rais kumteuwa hawara wake kama anavigezo..Katiba isiyoruhusu mawaziri kufanyiwa "Vetting" na bunge ni bure kabisa kwani rais hata akimteua hawara yake kuwa waziri ni nani atazuia?
Naam sky eclatHuyu ni mwenzetu humu hili ni jina la ubatizo tu
Bado hajajaBasi akikunong'oneza utuletee mrejesho