Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuuliza mazingira aliyopitia kupata, bali iwapo kweli ana PhD na ameipata lini.Ukitaka kupata PhD haraka ingia kwenye siasa alafu udahiliwe kwa ngazi hiyo ya elimu chuo chochote, wahadhiri wetu na wanasiasa acha tu. Wanaamini akiwa Rais atalipwa fadhila.
Ndiyo maana ukaambiwa anarejeshwa barazani.
"Ramli Chonganishi" zilishapigwa marufukuHali zenu wana JF siasa.
Sitaki kuandika wala kuongea mengi ila nasema tu, Mheshimiwa Dr Kitwanga atarudi barazani muda sio mrefu.
Sitaki maswali ila muda utaongea na siku hiyo Uzi huu utafufuliwa.
Wewe ndiyo wasema ramli, subiri utaona"Ramli Chonganishi" zilishapigwa marufuku
Tulia weweCha Arusha plus cha Musoma...
Nakubaliana na weweWakolomije ni wapemba wanajuana kwa vilemba alitumbuliwa ili ile kashfa ya Polisi ya Lugumi ife kumbuka pesa nyingi za Lugumi alizitumia kwenye uchaguzi kupitia Mawe Matatu kwa hiyo ile ilikuwa funika kombe atarudishwa tu ni swala la muda kwanza Mwigulu kakalia kuti kavu pamoja na kujipendekeza portfolio ya Mambo ya Ndani viatu vikubwa kuropoka haitoshi!
DiagambeKwani hivi alisimamishwa kwa kosa gani vile?
Maana kiki zimekuwa nyingi hadi kichwa kinayumba.
Subiri utaona
Hata wachawi wanatoa kafara mtoto kipenzi au mke/mume hivyo mchunguze mtumbuaji ana asili hiyo?Kitwanga lager du ila magu ni mnoma kumtumbua kabisa rafiki wa damu
mkolomije hawezi chukua kinondoni? au katiba hairuhusu mtu yeyote kugombea kokote?No japo alionewa tuu, lakini hawezi kurudishwa, bali atapoozwa kama mama Kilango, kwa kupewa kazi nyingine kama ubalozi, ili hili jimbo ampishe Mkolomije.
P
Akisimama popote jijini DSM, anachukua kama ameokota, ila sio Kinondoni kwa sababu Kinondoni tayari iko kibindoni.mkolomije hawezi chukua kinondoni? au katiba hairuhusu mtu yeyote kugombea kokote?
Mama Ange ataondolewa na Dotto kua waziri kamili.Na mimi nasema tu!, pale madini kuna mtu ajiangalie vizuri.
Sitaki maswali, mni-quote siku akitolewa [emoji3][emoji3]
yes kibindoni kwasababu ili pasiwepo kazi kubwa kumweka hapo mimi naona huyu jamaa aliye unga juhudi za mwenyeketi hapo jimboni safari yake itaishia awamu hii. hilo limefanywa purposely...Akisimama popote jijini DSM, anachukua kama ameokota, ila sio Kinondoni kwa sababu Kinondoni tayari iko kibindoni.
P