Tetesi: Kuna kila dalili ya Mheshimiwa Charles Kitwanga kurudishwa ktk baraza la Mawaziri

Tetesi: Kuna kila dalili ya Mheshimiwa Charles Kitwanga kurudishwa ktk baraza la Mawaziri

Kitwanga arudi tu kwenye system, jamaa hana noma na mtu!, Kama kuweka vyombo wengi wanaweka vyombo lakini kwa Kitwanga kuweka kwake vyombo hajaiibia nchi hata senti tano na wala hajaonea mtu yeyote!. Kweli alikosea lakini keshawajibika tayari!. naunga mkono Kitwanga arudi kwenye serikali!
 
Kitwanga arudi tu kwenye system, jamaa hana noma na mtu!, Kama kuweka vyombo wengi wanaweka vyombo lakini kwa Kitwanga kuweka kwake vyombo hajaiibia nchi hata senti tano na wala hajaonea mtu yeyote!. Kweli alikosea lakini keshawajibika tayari!. naunga mkono Kitwanga arudi kwenye serikali!
Ukiachana na wizara ya mambo ya ndani wizara gani inamfiti?
 
True, just a matter of time, sababu bado anajipendekeza kwa kasi ya mvua za masika..
 
Hivi kuna watu wanaamini kweli Kitwanga alikua amelewa siku ile bungeni?

CCM tawaleni milele na milele,mpk siku watu watakapojielewa.AMIN
 
Yawezekana JIWE anakumbuka fadhila za rafiki yake Chapombe
Yawezekana JIWE anamuhitaji sana sasa kama tetesi za Chapombe kuwa naibu kamanda wa Watu Wasiojulikana na kufanya kazi kwa ufanisi
Pia hawezi kumtupa ngosha mwenzake
Pia Arusha Jiwe alimsifu sana Sirro na siyo Mwigulu ambaye zaidi ya karata ya kupambana na upinzani hana afanyalo wizarani
 
Hivi Kitwanga amekuwa Daktari (PhD) lini?
Ukitaka kupata PhD haraka ingia kwenye siasa alafu udahiliwe kwa ngazi hiyo ya elimu chuo chochote, wahadhiri wetu na wanasiasa acha tu. Wanaamini akiwa Rais atalipwa fadhila.
 
Kitwanga arudi tu kwenye system, jamaa hana noma na mtu!, Kama kuweka vyombo wengi wanaweka vyombo lakini kwa Kitwanga kuweka kwake vyombo hajaiibia nchi hata senti tano na wala hajaonea mtu yeyote!. Kweli alikosea lakini keshawajibika tayari!. naunga mkono Kitwanga arudi kwenye serikali!
Ndiyo maana ukaambiwa anarejeshwa barazani.
 
Yawezekana JIWE anakumbuka fadhila za rafiki yake Chapombe
Yawezekana JIWE anamuhitaji sana sasa kama tetesi za Chapombe kuwa naibu kamanda wa Watu Wasiojulikana na kufanya kazi kwa ufanisi
Pia hawezi kumtupa ngosha mwenzake
Pia Arusha Jiwe alimsifu sana Sirro na siyo Mwigulu ambaye zaidi ya karata ya kupambana na upinzani hana afanyalo wizarani
Sasa Mwigulu si anaonekana kikwazo 2025?
 
Hivi kuna watu wanaamini kweli Kitwanga alikua amelewa siku ile bungeni?

CCM tawaleni milele na milele,mpk siku watu watakapojielewa.AMIN
Embu tuambie ukijuacho maana waonekana kujua jambo
 
Back
Top Bottom