Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
- #21
Kwanini umenifukunyua?Freed Freed JF-Expert Member
Joined: Jun 27, 2017
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini umenifukunyua?Freed Freed JF-Expert Member
Joined: Jun 27, 2017
SawaAhsante kwa taarifa
Kila kitu kinawezekana kwao na umma unakubali kama kawaida.Yaa kwakuwa yeye ni CCM na mm naungana na ww maana hiki chama weacha2
Nawe bila shaka una taarifa hizi.True story
Hali zenu wana JF siasa.
Sitaki kuandika wala kuongea mengi ila nasema tu, Mheshimiwa Dr Kitwanga atarudi barazani muda sio mrefu.
Sitaki maswali ila muda utaongea na siku hiyo Uzi huu utafufuliwa.
No japo alionewa tuu, lakini hawezi kurudishwa, bali atapoozwa kama mama Kilango, kwa kupewa kazi nyingine kama ubalozi, ili hili jimbo ampishe Mkolomije.Hali zenu wana JF siasa.
Sitaki kuandika wala kuongea mengi ila nasema tu, Mheshimiwa Dr Kitwanga atarudi barazani muda sio mrefu.
Sitaki maswali ila muda utaongea na siku hiyo Uzi huu utafufuliwa.
Thubutu, Kitwanga aipishe jumbo?No japo alionewa tuu, lakini hawezi kurudishwa, bali atapoozwa kama mama Kilango, kwa kupewa kazi nyingine kama ubalozi, ili hili jimbo ampishe Mkolomije.
P
uko sahihi , inasemekana vikao vya utekaji vinavyofanyika BOT Mwanza vimempa chati sanaHali zenu wana JF siasa.
Sitaki kuandika wala kuongea mengi ila nasema tu, Mheshimiwa Dr Kitwanga atarudi barazani muda sio mrefu.
Sitaki maswali ila muda utaongea na siku hiyo Uzi huu utafufuliwa.
uko sahihi , inasemekana vikao vya utekaji vinavyofanyika BOT Mwanza vimempa chati sanaHali zenu wana JF siasa.
Sitaki kuandika wala kuongea mengi ila nasema tu, Mheshimiwa Dr Kitwanga atarudi barazani muda sio mrefu.
Sitaki maswali ila muda utaongea na siku hiyo Uzi huu utafufuliwa.
Ilikuwa njia ya kuzima issue ya LugumiUnaweza ukawa sahihi mkuu.nawajua hawa wawili historia yao ya urafiki.Hata nilishangaa ujasiri wa mkuu kumtemgua mwenzie
Hatari hiiuko sahihi , inasemekana vikao vya utekaji vinavyofanyika BOT Mwanza vimempa chati sana