Masanja kasoma uandishi school of journalism pale ni vile tu amejibrand kicomedi komedi lkn yule ni muandishi kabisaBado hii tabia hipo wengi wanafanya mfano wasafi fm kwa baba levo.
Haya haya tuliyaona kwenye redio ya EFM.Mfano mtu kama masanja tasnia ya habari katoa wapi?.
Mpoki naye nilishawai kumsikia kwenye maredio mpaka gigy money.
Hivi vyombo vya habari bila kuzibitiwa kuna siku wachambuzi wa siasa watapewa wakina lucas mwashamba
Wasomi wengi ni wapumbavu na hawana mvuto katika utangazaji, katika vitu nilivyoona late Ruge ni mbunifu ni hili la kuchukua celebrities na watu wajanjawajanja wenye charisma wanaochangamsha na kuwaweka kwenye kazi za utangazaji.Bado hii tabia hipo wengi wanafanya mfano wasafi fm kwa baba levo.
Haya haya tuliyaona kwenye redio ya EFM.Mfano mtu kama masanja tasnia ya habari katoa wapi?.
Mpoki naye nilishawai kumsikia kwenye maredio mpaka gigy money.
Hivi vyombo vya habari bila kuzibitiwa kuna siku wachambuzi wa siasa watapewa wakina lucas mwashamba