Kuna kitu cha kujifunza kwa Zelensky

Kuna kitu cha kujifunza kwa Zelensky

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Miaka miwili iliyopipa jiji la Kyyiv lilizingirwa na majeshi ya Russia.

Wote tulishuhudia msafara mrefu wa magari ya kijeshi yakiwa ndani ya Ukraine.

Uvamizi ule ulitisha kwa kweli. Mimi binafsi niliona kabisa mwisho wa utawala wa Zelensky.

Wote tuliona majeshi ya Urusi yakiwa kila Kona ya Ukraine.

Cha ajabu, wote tulishuhudia unasiri wa Zelensky Aki mobilise raia wa Ukraine kwamba wasikubali. Wapigane. Kweli kama utani wote tuliona ule msafara ulivyoyayuka kama barafu.

Wiki iliyopita nimemuona waziri mkuu wa UK, Rishi Sunak akilihutubia bunge la Ukraine. Nilishangaa

Kwenye hotuba yake alisema miaka miwiri iliyopita, majeshi ya Urusi yalikuwa kilometer chache toka hapo bungeni.

Ndugu zangu, kweli tusiogope ukubwa wa jambo lolote kwenye maisha. Hata kama tunazingirwa na maadui pande zote, tukiwa na unajasiri, tutashinda tu. Ujasiri ni silaha tosha.
 
utakua hufuatilii habari, ule msafara ulirudi urusi baada ya germany, turkey, france, kuweka kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano......

zele alikubali pia......

siku 3 baadae Boris akaenda kiev kumwambia Zele wao (west/nato) hawatasaini hayo makubaliano, inatakiwa waendelee kupigana.....ndii ukaona vita inaendelea........
 
Miaka miwiri iliyopipa jiji la Kyyiv lilizingirwa na majeshi ya Russia.

Wote tulishuhudia msafara mrefu wa magari ya kijeshi yakiwa ndani ya Ukraine.

Uvamizi ule ulitisha kwa kweli. Mimi binafsi niliona kabisa mwisho wa utawala wa Zelensky.

Wote tuliona majeshi ya Urusi yakiwa kila Kona ya Ukraine.

Cha ajabu, wote tulishuhudia unasiri wa Zelensky Aki mobilise raia wa Ukraine kwamba wasikubali. Wapigane. Kweli kama utani wote tuliona ule msafara ulivyoyayuka kama barafu.

Wiki iliyopita nimemuona waziri mkuu wa UK, Rishi Sunak akilihutubia bunge la Ukraine. Nilishangaa

Kwenye hotuba yake alisema miaka miwiri iliyopita, majeshi ya Urusi yalikuwa kilometer chache toka hapo bungeni.

Ndugu zangu, kweli tusiogope ukubwa wa jambo lolote kwenye maisha. Hata kama tunazingirwa na maadui pande zote, tukiwa na unajasiri, tutashinda tu. Ujasiri ni silaha tosha
pamoja na hayo Ukraine hakuna tena vijana, wengi wao wamekufa na wachache waliopo ni walemavu dah hurumaaaaa 🐒

vita ya kushupaza shingo na kuchochewa na mabwenyenye ni mbaya sana 🐒
 
utakua hufuatilii habari, ule msafara ulirudi urusi baada ya germany, turkey, france, kuweka kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano......

zele alikubali pia......

siku 3 baadae Boris akaenda kiev kumwambia Zele wao (west/nato) hawatasaini hayo makubaliano, inatakiwa waendelee kupigana.....ndii ukaona vita inaendelea........
Ana jisahaulisha uyu
 
Msafara ulirudi wapi? Mpaka leo yamebaki masalia ya vifaru vya Rusia pale Ukraine,huo msafara ungerudi tungeona, Javelin zilimaliza vifaru, baada ya kuona vifaru vinachangamoto ndoa Urus akabadili style ya upiganaji kwa
1. Kutumia air force zaidi
2. Melivita
3. Jeshi la miguu( Wegner fighters)
4. Vifaru kidogo
Air force na jeshi la miguu ndo limefanya kazi kubwa sana, pia Ukraine imesaidiwa sana na NATO, asingekuwa NATO Ukraine ndani ya mwezi mmoja walikuwa wanasalenda na kunyosha mikono, vita siyo mchezo, hata Rusia anatamani vita iishe imegharimu sana, warusi wengi wamekufa. Kwa sasa mashambulizi yamebaki ni kidogo sana kwa pande zote, tulijua tu endapo Ukraine itapigwa na kuchukuliwa na Rusia nchi nyingi zingeanza kushirikiana na Rusia na NATO kupoteza washirika
 
utakua hufuatilii habari, ule msafara ulirudi urusi baada ya germany, turkey, france, kuweka kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano......

zele alikubali pia......

siku 3 baadae Boris akaenda kiev kumwambia Zele wao (west/nato) hawatasaini hayo makubaliano, inatakiwa waendelee kupigana.....ndii ukaona vita inaendelea........
Uliemsaq
utakua hufuatilii habari, ule msafara ulirudi urusi baada ya germany, turkey, france, kuweka kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano......

zele alikubali pia......

siku 3 baadae Boris akaenda kiev kumwambia Zele wao (west/nato) hawatasaini hayo makubaliano, inatakiwa waendelee kupigana.....ndii ukaona vita inaendelea........
Msafara km 60 uliyeyushwa acha fix kijana wetu
 
pamoja na hayo Ukraine hakuna tena vijana, wengi wao wamekufa na wachache waliopo ni walemavu dah hurumaaaaa 🐒

vita ya kushupaza shingo na kuchochewa na mabwenyenye ni mbaya sana 🐒
Vita ya siku tatu imekua ya miaka mitatatu sasa patamu apo. Kwani hurusi ndio kuna vijana mbona anachukua mpaka wabakaji
 
Vita ya siku tatu imekua ya miaka mitatatu sasa patamu apo. Kwani hurusi ndio kuna vijana mbona anachukua mpaka wabakaji
Russia kuna vijana wa kutosha wengine wamevuuliwa hapo hapo ndani ya ukraine kwenyewe
 
Miaka miwili iliyopipa jiji la Kyyiv lilizingirwa na majeshi ya Russia.

Wote tulishuhudia msafara mrefu wa magari ya kijeshi yakiwa ndani ya Ukraine.

Uvamizi ule ulitisha kwa kweli. Mimi binafsi niliona kabisa mwisho wa utawala wa Zelensky.

Wote tuliona majeshi ya Urusi yakiwa kila Kona ya Ukraine.

Cha ajabu, wote tulishuhudia unasiri wa Zelensky Aki mobilise raia wa Ukraine kwamba wasikubali. Wapigane. Kweli kama utani wote tuliona ule msafara ulivyoyayuka kama barafu.

Wiki iliyopita nimemuona waziri mkuu wa UK, Rishi Sunak akilihutubia bunge la Ukraine. Nilishangaa

Kwenye hotuba yake alisema miaka miwiri iliyopita, majeshi ya Urusi yalikuwa kilometer chache toka hapo bungeni.

Ndugu zangu, kweli tusiogope ukubwa wa jambo lolote kwenye maisha. Hata kama tunazingirwa na maadui pande zote, tukiwa na unajasiri, tutashinda tu. Ujasiri ni silaha tosha.
Wale waliondoka baada ya mazungumzo sio kwamba waukraine waliwashinda warusi.
 
utakua hufuatilii habari, ule msafara ulirudi urusi baada ya germany, turkey, france, kuweka kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano......

zele alikubali pia......

siku 3 baadae Boris akaenda kiev kumwambia Zele wao (west/nato) hawatasaini hayo makubaliano, inatakiwa waendelee kupigana.....ndii ukaona vita inaendelea........
mnapenda kutunga story asee , Urusi hajawai rudi nyuma kisa makubaliano maana tukikuhoj kwenye hayo makubaliano kipi alihaidiwa Urusi ili arudi nyuma , hutokuwa na jibu , achen kuwa wanapropagandist wa Urusi bila malipo
 
utakua hufuatilii habari, ule msafara ulirudi urusi baada ya germany, turkey, france, kuweka kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano......

zele alikubali pia......

siku 3 baadae Boris akaenda kiev kumwambia Zele wao (west/nato) hawatasaini hayo makubaliano, inatakiwa waendelee kupigana.....ndii ukaona vita inaendelea........
Kwahiyo Urusi waliondoka Kiev kisha wakaendelea kupigana kwingineko? Huo si ni uduanzi, unaachaje kuteka mji mkuu ili ukapigane vichochoroni.

Vifaru vya Urusi vilivyokuwa vinaelekea Kiev viliharibiwa na majeshi ya Ukraine
1000201607.jpg
1000201608.jpg
 
utakua hufuatilii habari, ule msafara ulirudi urusi baada ya germany, turkey, france, kuweka kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano......

zele alikubali pia......

siku 3 baadae Boris akaenda kiev kumwambia Zele wao (west/nato) hawatasaini hayo makubaliano, inatakiwa waendelee kupigana.....ndii ukaona vita inaendelea........
Wazee wa kujifariji , mapigano yalikuwa yanaendelea wakat msafar ukisonga kila action ilionekana waz , helicopter zilikuwa zinaangushwa tunaona. Sa hv unaongea ushudu gan , zelesnky kilichomsaidia ni kuwa na Raia pamoja na jeshi commitment, zaidi ya yote ni support ya western na marekan , Ila sio ngojera unazotaka kutuaminisha
 
Kwahiyo Urusi waliondoka Kiev kisha wakaendelea kupigana kwingineko? Huo si ni uduanzi, unaachaje kuteka mji mkuu ili ukapigane vichochoroni.

Vifaru vya Urusi vilivyokuwa vinaelekea Kiev viliharibiwa na majeshi ya UkraineView attachment 2872415View attachment 2872416
Kama uduanza kaanza Americant aloacha kubeba Damascus akapakomalia kule maeneo ya latakia ila mji mkuu hajapakalia kwanini

Vita ni mahesabu
 
Back
Top Bottom