Kuna kitu cha kujifunza kwa Zelensky

Kuna kitu cha kujifunza kwa Zelensky

utakua hufuatilii habari, ule msafara ulirudi urusi baada ya germany, turkey, france, kuweka kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano......

zele alikubali pia......

siku 3 baadae Boris akaenda kiev kumwambia Zele wao (west/nato) hawatasaini hayo makubaliano, inatakiwa waendelee kupigana.....ndii ukaona vita inaendelea........


Kaka unaweza kutuambia
Makubaliano yalikuwa ni nini.. maana urusi alitaka ku annex Ukraine so ina maana Zele
Alikuwa amekubali ku step down na Urusi aweke pro russia presidaa pale au? na in return yeye zele na hao kina france turkey na germany wangepata nn..?

Na kama boris na wenzie ( nato(uk/us)) hawakutaka mpango huo ilikuwaje france germany na turky wakabadili mawazo wakakubaliana nao na kuanza kupeleka silaha ikiwa walisha strike a cease fire deal
 
Kaka unaweza kutuambia
Makubaliano yalikuwa ni nini.. maana urusi alitaka ku annex Ukraine so ina maana Zele
Alikuwa amekubali ku step down na Urusi aweke pro russia presidaa pale au? na in return yeye zele na hao kina france turkey na germany wangepata nn..?

Na kama boris na wenzie ( nato(uk/us)) hawakutaka mpango huo ilikuwaje france germany na turky wakabadili mawazo wakakubaliana nao na kuanza kupeleka silaha ikiwa walisha strike a cease fire deal
nimeweka link post #100, 101, na 102.....soma utapata ulichouliza...!
 
Kwahiyo Urusi waliondoka Kiev kisha wakaendelea kupigana kwingineko? Huo si ni uduanzi, unaachaje kuteka mji mkuu ili ukapigane vichochoroni.

Vifaru vya Urusi vilivyokuwa vinaelekea Kiev viliharibiwa na majeshi ya UkraineView attachment 2872415View attachment 2872416
Tupe stori ya mji wa (Boucher) sina uhakika na spelling,maana Ukraine alilalamika kuwa warusi waliondoka huku wakiwa wamefanya mauaji ya kutisha hapo Boucher.

Na kama warusi walifyekwa,malalamiko yalikuwa ya nini basi?.
 
huwa nakuona una akili na mfuatiliaji wa mambo, kumbe nawe ni kundi lile lile la wajinga......

unajifanya mfuatiliaji wa huu mgogoro, na hujui kama turkey alifanikisha preliminary agreement za kusitisha mapigano? kweli uko serious wewe?
Preliminary agreement ya Ukraine kupiga na kuharibu vifaru vya Urusi?

Kama ingekuwa ni preliminary agreement basi Urusi ungeondoa vifaru vyake vikiwa salama. Sasa vimepigwa ikashindwa kwenye Battle of Kiev alafu unasema preliminary agreement!
Hivi ndivyo Urusi "iliondoa majeshi yake"
1000212810.jpg
1000212815.jpg
1000212811.jpg


Hiyo agreement ilifanyika tarehe ngapi na resolution zake ni zipi?
na unauliza eti kwanini waliendelea kupigana, umesahau boris alienda kufanya nini kiev?.....
Boris Johnson alienda Kiev baada ya Battle of Kiev kuisha, alienda tarehe 9 April 2022 wakati battle ile iliisha tarehe 2 April 2022. Kwahiyo BoJo alienda kuzuia battle iliyokwisha siku tano nyuma kwa ushindi wa Ukraine?

Kwamba MI6 ni wapumbavu kuruhusu Waziri Mkuu wa Uingereza kwenda mji uliopo kwenye mapigano tena wa nchi nyingine?
usiwe mjinga, kama una akili jaribu kutafuta habari kabla hujabisha vitu vinavyoandikwa na wenzako!



soma hio link, tafuta na zingine mwenyewe uone kama walipigwa au wali-withdrew
Warusi walipigwa kwenye Battle of Kiev. Kama article yako inadai Boris Johnson alienda kuwalazimisha wapigane (iwe kweli ama sio, whatever) bado alienda wakati Battle of Kiev imeisha. Kilichotokea baada ya hapo hakibadilishi chochote kwamba Battle of Kyiv (2022) - Wikipedia Ukraine ndio ilishinda.

Tena hata Battle of Hostomel napo Russia walipigwa. Au unataka kusema kwenye harakati za kurudi nyuma waliamua kuua wanajeshi wa Urusi, kuchoma vifaru vyao, kulipua helicopters zao wenyewe, kupigana wao kwa wao na hasa vikosi vyao vya VDV?
 
Tupe stori ya mji wa (Boucher) sina uhakika na spelling,maana Ukraine alilalamika kuwa warusi waliondoka huku wakiwa wamefanya mauaji ya kutisha hapo Boucher.

Na kama warusi walifyekwa,malalamiko yalikuwa ya nini basi?.
Bucha sio Kiev. Unaonaje ukaizungumzia Bucha wewe mwenyewe maana niliyemquote aliijadili Kiev.

Mtu amezungumzia ugonjwa wa red eyes Dar es Salaam, unamuuliza kuhusu ugonjwa wa kipindupindu Mwanza.
 
utakua hufuatilii habari, ule msafara ulirudi urusi baada ya germany, turkey, france, kuweka kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano......

zele alikubali pia......

siku 3 baadae Boris akaenda kiev kumwambia Zele wao (west/nato) hawatasaini hayo makubaliano, inatakiwa waendelee kupigana.....ndii ukaona vita inaendelea........
Kadanganye wajinga wenzio
 
Miaka miwili iliyopipa jiji la Kyyiv lilizingirwa na majeshi ya Russia.

Wote tulishuhudia msafara mrefu wa magari ya kijeshi yakiwa ndani ya Ukraine.

Uvamizi ule ulitisha kwa kweli. Mimi binafsi niliona kabisa mwisho wa utawala wa Zelensky.

Wote tuliona majeshi ya Urusi yakiwa kila Kona ya Ukraine.

Cha ajabu, wote tulishuhudia unasiri wa Zelensky Aki mobilise raia wa Ukraine kwamba wasikubali. Wapigane. Kweli kama utani wote tuliona ule msafara ulivyoyayuka kama barafu.

Wiki iliyopita nimemuona waziri mkuu wa UK, Rishi Sunak akilihutubia bunge la Ukraine. Nilishangaa

Kwenye hotuba yake alisema miaka miwiri iliyopita, majeshi ya Urusi yalikuwa kilometer chache toka hapo bungeni.

Ndugu zangu, kweli tusiogope ukubwa wa jambo lolote kwenye maisha. Hata kama tunazingirwa na maadui pande zote, tukiwa na unajasiri, tutashinda tu. Ujasiri ni silaha tosha.
Unaandika tu kwa mihemko lakini hujui chochote. Wakati mwengine chimba kwanza kabla ya kunya, utaibika.
 
pamoja na hayo Ukraine hakuna tena vijana, wengi wao wamekufa na wachache waliopo ni walemavu dah hurumaaaaa 🐒

vita ya kushupaza shingo na kuchochewa na mabwenyenye ni mbaya sana 🐒
Hizi data umetoa wapi,dhibitisha.
 
utakua hufuatilii habari, ule msafara ulirudi urusi baada ya germany, turkey, france, kuweka kufanikisha makubaliano ya kusitisha mapigano......

zele alikubali pia......

siku 3 baadae Boris akaenda kiev kumwambia Zele wao (west/nato) hawatasaini hayo makubaliano, inatakiwa waendelee kupigana.....ndii ukaona vita inaendelea........
Acha ujinga ndugu, msafara uliteketezwa na mabaki ya msafara yapo mpaka sasa
 
Msafara ulirudi wapi? Mpaka leo yamebaki masalia ya vifaru vya Rusia pale Ukraine,huo msafara ungerudi tungeona, Javelin zilimaliza vifaru, baada ya kuona vifaru vinachangamoto ndoa Urus akabadili style ya upiganaji kwa
1. Kutumia air force zaidi
2. Melivita
3. Jeshi la miguu( Wegner fighters)
4. Vifaru kidogo
Air force na jeshi la miguu ndo limefanya kazi kubwa sana, pia Ukraine imesaidiwa sana na NATO, asingekuwa NATO Ukraine ndani ya mwezi mmoja walikuwa wanasalenda na kunyosha mikono, vita siyo mchezo, hata Rusia anatamani vita iishe imegharimu sana, warusi wengi wamekufa. Kwa sasa mashambulizi yamebaki ni kidogo sana kwa pande zote, tulijua tu endapo Ukraine itapigwa na kuchukuliwa na Rusia nchi nyingi zingeanza kushirikiana na Rusia na NATO kupoteza washirika
Kaka ile Javeline ni kitu kingine.
 
Preliminary agreement ya Ukraine kupiga na kuharibu vifaru vya Urusi?

Kama ingekuwa ni preliminary agreement basi Urusi ungeondoa vifaru vyake vikiwa salama. Sasa vimepigwa ikashindwa kwenye Battle of Kiev alafu unasema preliminary agreement!
Hivi ndivyo Urusi "iliondoa majeshi yake"View attachment 2876943View attachment 2876941View attachment 2876942

Hiyo agreement ilifanyika tarehe ngapi na resolution zake ni zipi?

Boris Johnson alienda Kiev baada ya Battle of Kiev kuisha, alienda tarehe 9 April 2022 wakati battle ile iliisha tarehe 2 April 2022. Kwahiyo BoJo alienda kuzuia battle iliyokwisha siku tano nyuma kwa ushindi wa Ukraine?

Kwamba MI6 ni wapumbavu kuruhusu Waziri Mkuu wa Uingereza kwenda mji uliopo kwenye mapigano tena wa nchi nyingine?

Warusi walipigwa kwenye Battle of Kiev. Kama article yako inadai Boris Johnson alienda kuwalazimisha wapigane (iwe kweli ama sio, whatever) bado alienda wakati Battle of Kiev imeisha. Kilichotokea baada ya hapo hakibadilishi chochote kwamba Battle of Kyiv (2022) - Wikipedia Ukraine ndio ilishinda.

Tena hata Battle of Hostomel napo Russia walipigwa. Au unataka kusema kwenye harakati za kurudi nyuma waliamua kuua wanajeshi wa Urusi, kuchoma vifaru vyao, kulipua helicopters zao wenyewe, kupigana wao kwa wao na hasa vikosi vyao vya VDV?
tatizo lako moja huwa unaleta vipicha ulivyochukua huko telegram, na sasa umeweka link ya wikipedia (sijui kama wikipedia ni source genuine).....

anyway, kama umesoma hizo link na hujaelewa, i'm afraid sitaweza kukusaidia maana tayar akili yako imegoma kuelewa, endelea na picha zako za telegram
 
Back
Top Bottom