Kuna kitu cha kujifunza kwa Zelensky

Kuna kitu cha kujifunza kwa Zelensky

Kama raia na western alikua nao na yupo nao mpaka sasa mwambieni aregeshe zile 20% za eneo lake zinazoshikiliwa na russia ama hazitaki
muislam ni mwehu sana , kutoka km 11 kuongia kyiev hadi leo wapo mpakan huko ila bado jivaa kobaz linapata nguv za kuongea
 
Katika jambo ambalo ni la kulikwepa ni la kuingia kwenye ubishani wa vita vya Urusi na Ukraine na mtu mwenye uchungu na hizo nchi. Matusi nje nje.
unakuwaj na uchungu na urusi na ukraine ,kama sio dalili za kuweuka tu
 
Mkuu JR16,

Kulifikiwa makubaliano ya kusitisha mapigano chini ya usimamizi wa German,Turkey na hata Israel walishiriki pia.Rais wa Israel ndie aliyechukua assurance kwa PUTIN kwamba hatomuua Zelensky.
Lazima uelewe pia lengo la RUSSIA sio kuisambaratisha UKRAINE kama ambavyo ISRAEL anafafnya kwa GAZA.URUSI wanahitaji kufanya kazi na raia wa UKraine na ndio maana target zao siku zote ni Military Infrastracture na Viwanda vya kimkakkati ili kumlazimisha Zelensky aje kwenye meza ya mazungumzo.
hv unavuta bangi ? ukimaliza vuta bangi jipumzishe kwanza akili ikae sawaView attachment 2874448View attachment 2874450
images%20(2).jpg
View attachment 2874449
 
Mbona huna akili?hata putin alishasema hivyo kwamba waliongea na Ukraine alafu kikao kilifanyika Istanbul na warusi wakaondoa majeshi.hivi huwezi kutumia hata akili kwamba Ukraine hawawezi urusi kijeshi?angalia counteroffensive offensive.
hv hizo taarifa ulizitoa wap? wavaa kobaz mnapenda uongo uongo sana , kikaocha utiruki kiliferi sababu Urusi alitaka aachiwe eneo alilpteka na hiyo ikawa ngumu kwa serikali ya Ukraine , hv mnavyotunga uongo kuosafisha Urusi mnalipwa nin mbwazz nyie
 
Umemkumbusha vizur sana,baada ya kupamba moto huyo Zelensky alitaka mazungumzo ndipo Putin alipomwambia mwamuzi ni kupigana
baadae mtakuka na story za kuwa Zele ndo alikwamisha mazunguzmo ya amani , yaan nyiny watu mnabadili ukwel pindi mnapoona unafaa kupindishwa , HUO NI UGONJWA WA AKILI
 
Hiyo javelin imesaidia nini urusi anaendelea kuchukua maeneo? javelin haiwezi kuwazuia urusi kwanza imeshakuwa krepa sio story tena.
kwan ukraine ni kubwa kias gan tangu 2022 mpk 2024 bado Urusi hajamaliza kuchukua maeneo
 
Unamcheka russia katumia muda mrefu kuimaliza ukraine lakini haushangai israel+usa+uk+germany wameshindwa kuimaliza hamas eneo ukubwa wa mkoa mmoja wa tanzania huu tunaenda mwezi wa 4
na mahakaman ICJ mmenda kufanya nin?
 
Hizi picha ulipiga wewe? Kama jibu ni hapana,wewe na mada yako, [emoji706] .
Wengine huku wanahangaishwa na vyuma,wengine maji,wengine umeme, na nyie mmekalia stori za vijiweni.
Ukraine au Russia wanawapa ripoti za vita yao kama kina nani? Ili muwasaidie nini labda! Mpo tu kama nyani,leo mnajibebisha msikojulikana.
unafanya nn humu kwenye internationl forum , nenda kule HABARI MCHANGANYIKO
 
Mdusi 94 wewe hujui kitu chochote kuhusu URUSI kunywa gahawa tulia mwache mwanaume urusi afanye Vita vyake
mwanaume gan anachagulia vivulana akina Georgia na Ukraine kwann asijalibu kwa wanaume akina Ujeruma wapo jiran yako hawajapasha kitambo sana
 
Sawa mtoto wa kiume. Mchambuzi mbobevu wa maswala ya kivita. Wenye hivyo vyote ulivyotaja,wapo kwenye mambo mengine hawajakalia kujadili pumba hapa. Daadeki. Kwa hiyo,unajiona umeitawala JF kwa mada za kijinga tuu. Kamwe.
Hata za kwako lazima nizitafute nijadili na wajinga wenzangu kama wewe.
fungua thread uandike madai yako haya na sio kutuvurugia uzi wetu nyambafffuuuu , sheytainiii mkubwaaa
 
ndio ujue sasa urusi ni mjanja 7generals in 3 yrs, uliza upande wa pili kama kuna alie salia hai hata moja na walikua wangap
kwahiyo hoja sio jeshi la urusi kupigana bali ni majenerali wangap wamekufa kila upande ? ila wavaa kobaz mnajua kukimbia utopolo wenu
 
Back
Top Bottom