nyie ni buyu kichwan ma bokoharam ndo wanataka muwe matahira kabisa , wkt waarab wenye dini wanaifuata ilimu dunia huko huko kwa makafirUkiona muislam sifuri kichwani basi wewe usiokua muislam utakua - 0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyie ni buyu kichwan ma bokoharam ndo wanataka muwe matahira kabisa , wkt waarab wenye dini wanaifuata ilimu dunia huko huko kwa makafirUkiona muislam sifuri kichwani basi wewe usiokua muislam utakua - 0
muislam ni mwehu sana , kutoka km 11 kuongia kyiev hadi leo wapo mpakan huko ila bado jivaa kobaz linapata nguv za kuongeaKama raia na western alikua nao na yupo nao mpaka sasa mwambieni aregeshe zile 20% za eneo lake zinazoshikiliwa na russia ama hazitaki
unakuwaj na uchungu na urusi na ukraine ,kama sio dalili za kuweuka tuKatika jambo ambalo ni la kulikwepa ni la kuingia kwenye ubishani wa vita vya Urusi na Ukraine na mtu mwenye uchungu na hizo nchi. Matusi nje nje.
hv unavuta bangi ? ukimaliza vuta bangi jipumzishe kwanza akili ikae sawaView attachment 2874448View attachment 2874450Mkuu JR16,
Kulifikiwa makubaliano ya kusitisha mapigano chini ya usimamizi wa German,Turkey na hata Israel walishiriki pia.Rais wa Israel ndie aliyechukua assurance kwa PUTIN kwamba hatomuua Zelensky.
Lazima uelewe pia lengo la RUSSIA sio kuisambaratisha UKRAINE kama ambavyo ISRAEL anafafnya kwa GAZA.URUSI wanahitaji kufanya kazi na raia wa UKraine na ndio maana target zao siku zote ni Military Infrastracture na Viwanda vya kimkakkati ili kumlazimisha Zelensky aje kwenye meza ya mazungumzo.
Hahahaunakuwaj na uchungu na urusi na ukraine ,kama sio dalili za kuweuka tu
hv hizo taarifa ulizitoa wap? wavaa kobaz mnapenda uongo uongo sana , kikaocha utiruki kiliferi sababu Urusi alitaka aachiwe eneo alilpteka na hiyo ikawa ngumu kwa serikali ya Ukraine , hv mnavyotunga uongo kuosafisha Urusi mnalipwa nin mbwazz nyieMbona huna akili?hata putin alishasema hivyo kwamba waliongea na Ukraine alafu kikao kilifanyika Istanbul na warusi wakaondoa majeshi.hivi huwezi kutumia hata akili kwamba Ukraine hawawezi urusi kijeshi?angalia counteroffensive offensive.
baadae mtakuka na story za kuwa Zele ndo alikwamisha mazunguzmo ya amani , yaan nyiny watu mnabadili ukwel pindi mnapoona unafaa kupindishwa , HUO NI UGONJWA WA AKILIUmemkumbusha vizur sana,baada ya kupamba moto huyo Zelensky alitaka mazungumzo ndipo Putin alipomwambia mwamuzi ni kupigana
kwan ukraine ni kubwa kias gan tangu 2022 mpk 2024 bado Urusi hajamaliza kuchukua maeneoHiyo javelin imesaidia nini urusi anaendelea kuchukua maeneo? javelin haiwezi kuwazuia urusi kwanza imeshakuwa krepa sio story tena.
naona unavyowaza k pumbaff kbs , mjukuu wa shetan MudK ya mama yo
ww ndo unavita yako kichwan[emoji706] Kwamba vita ni katia ya Russia na Ukraine? Upo vizuri aise. Upewe maua yako
na mahakaman ICJ mmenda kufanya nin?Unamcheka russia katumia muda mrefu kuimaliza ukraine lakini haushangai israel+usa+uk+germany wameshindwa kuimaliza hamas eneo ukubwa wa mkoa mmoja wa tanzania huu tunaenda mwezi wa 4
unafanya nn humu kwenye internationl forum , nenda kule HABARI MCHANGANYIKOHizi picha ulipiga wewe? Kama jibu ni hapana,wewe na mada yako, [emoji706] .
Wengine huku wanahangaishwa na vyuma,wengine maji,wengine umeme, na nyie mmekalia stori za vijiweni.
Ukraine au Russia wanawapa ripoti za vita yao kama kina nani? Ili muwasaidie nini labda! Mpo tu kama nyani,leo mnajibebisha msikojulikana.
mwanaume gan anachagulia vivulana akina Georgia na Ukraine kwann asijalibu kwa wanaume akina Ujeruma wapo jiran yako hawajapasha kitambo sanaMdusi 94 wewe hujui kitu chochote kuhusu URUSI kunywa gahawa tulia mwache mwanaume urusi afanye Vita vyake
hahahaaaaHuna hela, huna helimu, huna akili ila unanipangia mimi cha kujadili. Uko unafanya nini kwenye huu uzi, si utafute nyuzi za mwanamke kulinda ndoa ukajadili na kinamama wenzio.
hao watakuwa ni wagner hahaa (alisikika mvaa kobaz mmoja )Majenerali saba wa Urusi waliouwawa kwa nyakati tofauti kwenye hii vita nao ni wa makampuni [emoji23]
na uzur video zipo warus wakikimbilia misituni ila wavaa kobaz wanabadili ukwel hapaHayo ni madai ya uwongo, Javelin zilikaanga vifaru vya Urusi mpaka aibu, tena vingine walikimbia wakaviacha.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
fungua thread uandike madai yako haya na sio kutuvurugia uzi wetu nyambafffuuuu , sheytainiii mkubwaaaSawa mtoto wa kiume. Mchambuzi mbobevu wa maswala ya kivita. Wenye hivyo vyote ulivyotaja,wapo kwenye mambo mengine hawajakalia kujadili pumba hapa. Daadeki. Kwa hiyo,unajiona umeitawala JF kwa mada za kijinga tuu. Kamwe.
Hata za kwako lazima nizitafute nijadili na wajinga wenzangu kama wewe.
kwahiyo hoja sio jeshi la urusi kupigana bali ni majenerali wangap wamekufa kila upande ? ila wavaa kobaz mnajua kukimbia utopolo wenundio ujue sasa urusi ni mjanja 7generals in 3 yrs, uliza upande wa pili kama kuna alie salia hai hata moja na walikua wangap
another lost brain , sufuriii nyingine Iran waje waibebe waipeleke kwenye ground huko Gazandio [emoji205]
swali jepes Urusi alihaidiwa nin kurud nyuma kwenye vita ?Wanaelewaje wakati hawana muda wa Kufuatilia habari, wanapenda Kusoma vichwa vya habari.