Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
weee pombe ukinywea ndani hata haina ladha
Na hii ndo hoja yake, mkumbo tu... kivipi ikose ladha kama sio unekaririshwa tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
weee pombe ukinywea ndani hata haina ladha
Mkuu wewe bado unakariri?Na hii ndo hoja yake, mkumbo tu... kivipi ikose ladha kama sio unekaririshwa tu!
Hivi mnawezaje kunywa na ile harufu yake?Niulize kuhusu K-Vant plz!!
Mkuu wewe bado unakariri?
Je ni lazima K-Vant inywewe kwa Energy ya Bakresa?Niulize kuhusu K-Vant plz!!
Absolutely noneSo hii kitu haina hangovers
Naona kama ni wewe ndo upo hivyo thats why limekuwa wazo lako la kwanza ukahimishia kwangu,Wewe hapo, kwamba kitu fulani ukilia wapi sio kitamu... huko ndo kukaririshwa.
Kuna boss flani wa police mwaka 2014 tulimualika sehemu(tulikua watatu) pale Arusha ilikua, akaagiza hio kitu akainywa kiasi then akachukua na take away akisema ni ya mke wake.40% ABV
Hizi ni zile pombe zilizotengenezwa with the expectation that wanaozinywa wana deals za millions next morning so they need to wake up fresh and sober.
Nothing really special honestly
View attachment 1663463
Nakunywaga sana John Walker/Jameson na hua naamka fresh kabisa.Ila pombe za njr kama si fake huwa nadra kupata hangover
😂😂😂😂😂Nnachojua tu Nilikunywa Hennessey nikashushia na ile wine ya kwenye kidumu nikaishia kulala kwenye ngazi..siiijui zaidi
Hapana, msingi ni mtu kupata mix of taste kati ya K vant na any other taste.Je ni lazima K-Vant inywewe kwa Energy ya Bakresa?
Asante mtaalam. Kwa nini ushauri hivyo?Hapana, msingi ni mtu kupata mix of taste kati ya K vant na any other taste.
Lakini sishauri unywaji K vant mixed na energy drink, insteady mnywaji atumie kinywaji kama Tonic water au soda water.
Over
Ahaa kwahio kumbe ni style ile ile kama ya mtu kumiliki iPhone kifuuLabda bei
Kuna sehemu nilienda inauzwa karibu 150K..
Ndo wadada wakinunua wanarusha video hadi Instagram wameikumbatia...
Naona ni namna ya kujiona expensive Kwa ma slay Queen..
Ni pombe ya bei rahisi hasa kwa watu weusi wa marekani, ila wabongo wanaona kama fashenMara ya kwanza naifahamu hii pombe ilikuwa miaka 9 iliyopita ambapo watu flani maarufu ambao walikuwa influencers wangu walikuwa wanai praise sana hii pombe hasa ile COGNAC.
So far i was dead broke, sikuwa na la zaidi ya kuitazama waki floss nayo kwenye screens ila hivi karibuni nimeanza kuona wabongo wengi ni kama ndio wameisandia kuwa ni pombe ya hadhi flani maybe ina mazuri yake ila ningependa kuyafahamu pia kwa wazoefu.
-Whats special in Hennessy, pricing and alc volume?