Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Mi ulevi wangu siyo wa pombeUlanzi tumia wewe blaza 😁 pombe lazma iwe na kipimo maalum...lasivyo utaonekana babu wa miaka 70 kabla ya wakati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi ulevi wangu siyo wa pombeUlanzi tumia wewe blaza 😁 pombe lazma iwe na kipimo maalum...lasivyo utaonekana babu wa miaka 70 kabla ya wakati
Inauzwa,Kwanini K-Vant haiuzwi ulaya?
Hahah kwamba asichanganye kitu iliyochujwa kutoka kwny matunda vs kitu iliyotoka kwny mapumba ya ngano sio?Usifananishe chapati na fine spirit iliochujwa toka kwenye matunda😁
😁😁😁😁😁 mkuu hata mimi nashangaa kwanini kvant + azam energy. Nadhan Konyagi mpango mzimaJe ni lazima K-Vant inywewe kwa Energy ya Bakresa?
Rémy Martin XO niliikuta sehemu hapo dar inaenda kwa $190 imetulia sana aisee ile Remmy Martin Vsop yenyewe sikuipenda sana.Kibongo kwenye 150k ambayo ni kama $60+ hv kwa marekani ambayo ni hela ndogo sana tofauti na Ace of spade zinauzwa $900 na kuendelea
Hahah tupate tangazo kutoka kwa wadhamini wetu kutoka hapo studio.Anafeli, bila serengeti baridi ungekuta sina kitambi ila ndio hivyo tena mambo ya 1 pack
Hilo Paradiso ni kiboko ya mabishoo 😁😁😁!Hahah tupate tangazo kutoka kwa wadhamini wetu kutoka hapo studio.View attachment 1663548
Zote ni fake.. Pombe imported bongo ni fakeHizo pombe nyingi ni feki hapa,wala siyo OG nilishapataka tenda ya kukamata hizo feki,kutoka over seas
Kama una mix energy na k vant siku za dudu kusimama zina hesabikaHapana, msingi ni mtu kupata mix of taste kati ya K vant na any other taste.
Lakini sishauri unywaji K vant mixed na energy drink, insteady mnywaji atumie kinywaji kama Tonic water au soda water.
Over
Ogopa sana pombe kali za kutoka nje, feki ni nyingi sana.Hizo pombe nyingi ni feki hapa,wala siyo OG nilishapataka tenda ya kukamata hizo feki,kutoka over seas
Hahah na kwa pesa hio hio unaweza kumlipia kijana ada huko veta akapata ujuzi utakaomfaa maisha yake yote.Hilo Paradiso ni kiboko ya mabishoo 😁😁😁!
Kwa gharama yake napata mark 2 chakavu la 1G-FE
Namkumbuka huyo boss infact na Mimi ndie aliyeni influence kuipenda hii pombe. First time kwenye ile baa yao pale karibu na NBC Kisha sebule tukaihamishia AICC club kaloleni.Kuna boss flani wa police mwaka 2014 tulimualika sehemu(tulikua watatu) pale Arusha ilikua, akaagiza hio kitu akainywa kiasi then akachukua na take away akisema ni ya mke wake.
Laki 5 ikawa imetutoka hio(250,000×2) watu wakabaki wanatoa macho tu,wkt sisi wenyeji wake tulikua tunakunywa castle lager tu.,hahah.