Chenua Nkuchebe
Member
- Jul 18, 2017
- 90
- 119
Wakemiawakuu wanaongeza Balimi na Safari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni harufu nzuri kwa hali zetu, haitusumbui zaidi inatuongezea mzuka kuitumia. Krb ujaribu!!!Hivi mnawezaje kunywa na ile harufu yake?
no hangoverMara ya kwanza naifahamu hii pombe ilikuwa miaka 9 iliyopita ambapo watu flani maarufu ambao walikuwa influencers wangu walikuwa wanai praise sana hii pombe hasa ile COGNAC.
So far i was dead broke, sikuwa na la zaidi ya kuitazama waki floss nayo kwenye screens ila hivi karibuni nimeanza kuona wabongo wengi ni kama ndio wameisadia kuwa ni pombe ya hadhi flani maybe ina mazuri yake ila ningependa kuyafahamu pia kwa wazoefu.
-Whats special in Hennessy, pricing and alc volume?
Hahahahah angalia sana next time watakula mamboNnachojua tu Nilikunywa Hennessey nikashushia na ile wine ya kwenye kidumu nikaishia kulala kwenye ngazi..siiijui zaidi
Slay queening and branding .Labda bei
Kuna sehemu nilienda inauzwa karibu 150K..
Ndo wadada wakinunua wanarusha video hadi Instagram wameikumbatia...
Naona ni namna ya kujiona expensive Kwa ma slay Queen..
Unanywea bar ,muziki ,mapedeshee,misambwanda,mbuzi choma na taa za kuwakawaka lazima ulewe[emoji1787]Naona kama ni wewe ndo upo hivyo thats why limekuwa wazo lako la kwanza ukahimishia kwangu,
Unawezaje kusemea taste anayofeel mtu mwingine?
Yaani how?
Mie pombe ya kunywea ndani haina ladha hata robo.
HahahahahKuna boss flani wa police mwaka 2014 tulimualika sehemu(tulikua watatu) pale Arusha ilikua, akaagiza hio kitu akainywa kiasi then akachukua na take away akisema ni ya mke wake.
Laki 5 ikawa imetutoka hio(250,000×2) watu wakabaki wanatoa macho tu,wkt sisi wenyeji wake tulikua tunakunywa castle lager tu.,hahah.
Mara ya kwanza naifahamu hii pombe ilikuwa miaka 9 iliyopita ambapo watu flani maarufu ambao walikuwa influencers wangu walikuwa wanai praise sana hii pombe hasa ile COGNAC.
So far i was dead broke, sikuwa na la zaidi ya kuitazama waki floss nayo kwenye screens ila hivi karibuni nimeanza kuona wabongo wengi ni kama ndio wameisadia kuwa ni pombe ya hadhi flani maybe ina mazuri yake ila ningependa kuyafahamu pia kwa wazoefu.
-Whats special in Hennessy, pricing and alc volume?
Bwana extrovert: Usijaribu hayna cha maana. Ni janja ya biashara ya kukupotezea pexa zako.Mara ya kwanza naifahamu hii pombe ilikuwa miaka 9 iliyopita ambapo watu flani maarufu ambao walikuwa influencers wangu walikuwa wanai praise sana hii pombe hasa ile COGNAC.
So far i was dead broke, sikuwa na la zaidi ya kuitazama waki floss nayo kwenye screens ila hivi karibuni nimeanza kuona wabongo wengi ni kama ndio wameisadia kuwa ni pombe ya hadhi flani maybe ina mazuri yake ila ningependa kuyafahamu pia kwa wazoefu.
-Whats special in Hennessy, pricing and alc volume?
Hamna shaka chief, mi sitaijaribuBwana extrovert: Usijaribu hayna cha maana. Ni janja ya biashara ya kukupotezea pexa zako.
Nakushauri rafikiangu usijaribu kunywa pombe za kijinga kama hizo, ili ulinde heshima yako kwa mungu na sisi tunaekufwata kama "MSTAARAB" wa Jf.
Kumbe ni mbwembwe tu zilikuwa, sahivi 40% ya wanywa heineken tunakunywa nao Serengeti premium lite!Nika fashion tu kaka! Unakumbuka enzi za Heineken?? Ukionekana unapiga Heineken, unaonekana mtu wa matawi ya juu,kuna watu walikua wanasema hawezi kunywa local beer,zinachafua tumbo
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora double kick kuliko henessy ya masimango
duuh, K-vant. vipi kuhusu Bapa? hahahaHahahah K Vant ni gongo iliochangamka 😁😁😁 huwa tunatumia tukifulia tu!
😆😆😆😆😆 mwaisa bhanaChupa ndogo ni 40 k, haina miujiza yoyote, ni kama tu Pisi kali ageukavyo gogo kitandani
Kuna sehemu sijui ni Samaki ama Hyatt inauzwa laki 8..sina kumbukumbu ya sehemu mana ilikua story ya mtuLabda bei
Kuna sehemu nilienda inauzwa karibu 150K..
Ndo wadada wakinunua wanarusha video hadi Instagram wameikumbatia...
Naona ni namna ya kujiona expensive Kwa ma slay Queen..