Kuna kitu gani special katika hii pombe ya Hennessy?

Kuna kitu gani special katika hii pombe ya Hennessy?

Wakemiawakuu wanaongeza Balimi na Safari
Screenshot_20201230-213043.jpg
 
Hennesy vs na Hennessy vsop Bei tofauti.Ukienda kichwa kichwa utauziwa fake na hautajua.
 
Mara ya kwanza naifahamu hii pombe ilikuwa miaka 9 iliyopita ambapo watu flani maarufu ambao walikuwa influencers wangu walikuwa wanai praise sana hii pombe hasa ile COGNAC.

So far i was dead broke, sikuwa na la zaidi ya kuitazama waki floss nayo kwenye screens ila hivi karibuni nimeanza kuona wabongo wengi ni kama ndio wameisadia kuwa ni pombe ya hadhi flani maybe ina mazuri yake ila ningependa kuyafahamu pia kwa wazoefu.

-Whats special in Hennessy, pricing and alc volume?
no hangover
 
Kuna boss flani wa police mwaka 2014 tulimualika sehemu(tulikua watatu) pale Arusha ilikua, akaagiza hio kitu akainywa kiasi then akachukua na take away akisema ni ya mke wake.

Laki 5 ikawa imetutoka hio(250,000×2) watu wakabaki wanatoa macho tu,wkt sisi wenyeji wake tulikua tunakunywa castle lager tu.,hahah.
Hahahahah
 
Mara ya kwanza naifahamu hii pombe ilikuwa miaka 9 iliyopita ambapo watu flani maarufu ambao walikuwa influencers wangu walikuwa wanai praise sana hii pombe hasa ile COGNAC.

So far i was dead broke, sikuwa na la zaidi ya kuitazama waki floss nayo kwenye screens ila hivi karibuni nimeanza kuona wabongo wengi ni kama ndio wameisadia kuwa ni pombe ya hadhi flani maybe ina mazuri yake ila ningependa kuyafahamu pia kwa wazoefu.

-Whats special in Hennessy, pricing and alc volume?
Mara ya kwanza naifahamu hii pombe ilikuwa miaka 9 iliyopita ambapo watu flani maarufu ambao walikuwa influencers wangu walikuwa wanai praise sana hii pombe hasa ile COGNAC.

So far i was dead broke, sikuwa na la zaidi ya kuitazama waki floss nayo kwenye screens ila hivi karibuni nimeanza kuona wabongo wengi ni kama ndio wameisadia kuwa ni pombe ya hadhi flani maybe ina mazuri yake ila ningependa kuyafahamu pia kwa wazoefu.

-Whats special in Hennessy, pricing and alc volume?
Bwana extrovert: Usijaribu hayna cha maana. Ni janja ya biashara ya kukupotezea pexa zako.
Nakushauri rafikiangu usijaribu kunywa pombe za kijinga kama hizo, ili ulinde heshima yako kwa mungu na sisi tunaekufwata kama "MSTAARAB" wa Jf.
 
Bwana extrovert: Usijaribu hayna cha maana. Ni janja ya biashara ya kukupotezea pexa zako.
Nakushauri rafikiangu usijaribu kunywa pombe za kijinga kama hizo, ili ulinde heshima yako kwa mungu na sisi tunaekufwata kama "MSTAARAB" wa Jf.
Hamna shaka chief, mi sitaijaribu
 
Nika fashion tu kaka! Unakumbuka enzi za Heineken?? Ukionekana unapiga Heineken, unaonekana mtu wa matawi ya juu,kuna watu walikua wanasema hawezi kunywa local beer,zinachafua tumbo

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Kumbe ni mbwembwe tu zilikuwa, sahivi 40% ya wanywa heineken tunakunywa nao Serengeti premium lite!
 
Labda bei
Kuna sehemu nilienda inauzwa karibu 150K..
Ndo wadada wakinunua wanarusha video hadi Instagram wameikumbatia...

Naona ni namna ya kujiona expensive Kwa ma slay Queen..
Kuna sehemu sijui ni Samaki ama Hyatt inauzwa laki 8..sina kumbukumbu ya sehemu mana ilikua story ya mtu
Na wakileta ni wanaleta wanaiimbia kabisa
Ss sijui ni kweli ama vp

wizi mtupu
 
Back
Top Bottom