Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Hapana ntaendelea tu na double kickNi harufu nzuri kwa hali zetu, haitusumbui zaidi inatuongezea mzuka kuitumia. Krb ujaribu!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ntaendelea tu na double kickNi harufu nzuri kwa hali zetu, haitusumbui zaidi inatuongezea mzuka kuitumia. Krb ujaribu!!!
Hahah tulikua tunaongea inshu ya mpunga wa kueleweka tu lkn hatukua tumejiandaa kwa yeye kunywa hio kitu na kuchukua take away yaani tulijua atagonga Heineken,ila alivyobadili gia angani tukawa wapole huku tukijichekesha chekesha kama sio big deal vile.Daah mi ningemwambia tu tuna bajeti ya 40 labda kwajili yake kwa chakula na kinywaji itakayozidi apambane . Siwez its mtu maali anisababishie hasara . Labda kama uyo mtu anakuja kunipa deal la pesa ndefu ntavumikia maana mi win win situation
Hapana siweziBrother ile harufu ndio utamu wake. Ijaribu hata mara moja, utanishukuru baadae!!
Basi mwamba alikua sahihi. Unasema hamkua hamjajipanga ? Kama pesa ipo unajipanga kwa lipi tena mkuu? Umeshasema mlikua ba deal la mpunga mrefu sana so kutumia laki 5 kwa mfano kwa issue inayokuletea milioni 5 iyo ni 10% sio mbaya kabisa. Win win situationHahah tulikua tunaongea inshu ya mpunga wa kueleweka tu lkn hatukua tumejiandaa kwa yeye kunywa hio kitu na kuchukua take away yaani tulijua atagonga Heineken,ila alivyobadili gia angani tukawa wapole huku tukijichekesha chekesha kama sio big deal vile.
Mimi niliona kama vile anatupima kwa mpunga tuliokua tunaongelea tungeshindwa ku-afford hio kitu aliyoagiza angetuona kama wazushi flani hivi.
Ila mwishowe alitufanikishia inshu yetu na akawa mshkaji kwa sana tu.
k vant ni binti tu kwa vodka vladmir aka Babu mandevu.Niulize kuhusu K-Vant plz!!
Sasa mnampa jamaa deal ya 10M halafu mshindwe ku clear bill ya laki 5 kweli?Hahah tulikua tunaongea inshu ya mpunga wa kueleweka tu lkn hatukua tumejiandaa kwa yeye kunywa hio kitu na kuchukua take away yaani tulijua atagonga Heineken,ila alivyobadili gia angani tukawa wapole huku tukijichekesha chekesha kama sio big deal vile.
Mimi niliona kama vile anatupima kwa mpunga tuliokua tunaongelea tungeshindwa ku-afford hio kitu aliyoagiza angetuona kama wazushi flani hivi.
Ila mwishowe alitufanikishia inshu yetu na akawa mshkaji kwa sana tu.
Mlimpa advance indirect [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahah tulikua tunaongea inshu ya mpunga wa kueleweka tu lkn hatukua tumejiandaa kwa yeye kunywa hio kitu na kuchukua take away yaani tulijua atagonga Heineken,ila alivyobadili gia angani tukawa wapole huku tukijichekesha chekesha kama sio big deal vile.
Mimi niliona kama vile anatupima kwa mpunga tuliokua tunaongelea tungeshindwa ku-afford hio kitu aliyoagiza angetuona kama wazushi flani hivi.
Ila mwishowe alitufanikishia inshu yetu na akawa mshkaji kwa sana tu.
Usemacho ni kweli,lkn aliyetu connect nae alituambia jamaa hua anagonga heineken na pia kilikua ndio kikao chetu cha kwanza tulikua bado tunatakiwa tukutane kama kama mara 5 for consultation tena ndipo tu-finalize jambo letu.Basi mwamba alikua sahihi. Unasema hamkua hamjajipanga ? Kama pesa ipo unajipanga kwa lipi tena mkuu? Umeshasema mlikua ba deal la mpunga mrefu sana so kutumia laki 5 kwa mfano kwa issue inayokuletea milioni 5 iyo ni 10% sio mbaya kabisa. Win win situation
Hahahah mi nimemkubali sana afande[emoji1787][emoji1787]Jamaa aliamua akamue advance yake mapema kabla hajashuka wino
Hahah shida sasa mkuu tulitakiwa tukutane nae tena vikao kama vitano,hapo shughuli inakua mwendo ukiwa huu huu tutafika kweli?Mlimpa advance indirect [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahah na kweli ilikua ni kwa ukali maana tuliona tu take away imeagizwa chap huku anajiandaa kusimama tayari kwa kuondoka [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Afande atabaki kuwa juu kileleni[emoji23] kajibebea zake V.S.O.P mbili chap kwa ukali
Kawaumiza kisaikolojia, kuna kile kihali flani cha kushusha pumzi na kijasho cha pua kuchomoza ghafla huku mwili ukisisimka kabla ya kuona bill yenu itakujaje😂Hahah na kweli ilikua ni kwa ukali maana tuliona tu take away imeagizwa chap huku anajiandaa kusimama tayari kwa kuondoka [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Serengeti Ni uzazi wa mpango kwa wanaume. Ikikuzoea huku chini itakua mtambo wa kutolea mkojo tuu.Mbona hata Serengeti hazina hangover
Bhahaahha, kweli ushaanza kuonja HennessyNishaongea na Melo tumemalizana
😃😃😃😃 nadhani hapo ndipo nilikuja kuelewa huko kwny kozi zao hua wanafundishwa mambo za kutusoma saikolojia chalii angu.Kawaumiza kisaikolojia, kuna kile kihali flani cha kushusha pumzi na kijasho cha pua kuchomoza ghafla huku mwili ukisisimka kabla ya kuona bill yenu itakujaje😂
Mama ulikua unamix nwenyewee vitu km Mkemia hehesijawahi kukatia moto nje ya get I, hata nilewe vipi nafika nyumbani ndo nazima
Ila nimeacha kuchanganya pombe kabisa