Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona kama ni wewe ndo upo hivyo thats why limekuwa wazo lako la kwanza ukahimishia kwangu,
Unawezaje kusemea taste anayofeel mtu mwingine?
Yaani how?
Mie pombe ya kunywea ndani haina ladha hata robo.
Jamani, hizi bei nahisi zinategemea na sehemu. Mimi nilinunua duka la jumla elf 22. Nikasema nikaangalie price pale game nilikua elf 23 kile kichupa kidogo. Na vilikua aina 3. Me si mlevi kwahiyo sikuwahi kubother kuangalia majina yake kiutofauti. It was last year around August. Kuna siku nikaangalia ile chupa kubwa mliman hapo2 ilikua laki 5. Nadhan price hutofautiana sehem na sehem. Na pua huo ujazo. Ama kuna fake?Hahahah kwahio 40K is worth the drunkardness! [emoji43]
Hahah kweli mzee baba,kikao kilichofuata aligonga Hennessy yake lkn this time around hakuchukua take away ya mkewe then vikao vitatu vya mwisho akawa anagonga heineken tu.Mngeumia tu
Duka la jumla liko wapi hilo namie nikajipatie nakala yanguJamani, hizi bei nahisi zinategemea na sehemu. Mimi nilinunua duka la jumla elf 22. Nikasema nikaangalie price pale game nilikua elf 23 kile kichupa kidogo. Na vilikua aina 3. Me si mlevi kwahiyo sikuwahi kubother kuangalia majina yake kiutofauti. It was last year around August. Kuna siku nikaangalia ile chupa kubwa mliman hapo2 ilikua laki 5. Nadhan price hutofautiana sehem na sehem. Na pua huo ujazo. Ama kuna fake?
Zaidi ni maslay queen na vijana wa subaru ndo wanaipaisha tu
Chief hii pombe sio kabisa, na kwa kweli vodka huku tropical countries haitufai kabisa sbb ya joto.k vant ni binti tu kwa vodka vladmir aka Babu mandevu.
Enegy drink zina caffen, na yalishatokea malalamiko kwamba baadhi ya watengenezaji wa ndani wa bidhaa hizo wanaongeza zaidi caffen na hivyo kueza kusababisha magonjwa kama pressure/ kidney kwa watumiaji.Asante mtaalam. Kwa nini ushauri hivyo?
Usingoje kufulia....let be your choice always....ukihitaji unaletewa na ya kuonja juu!!!Hahahah K Vant ni gongo iliochangamka [emoji16][emoji16][emoji16] huwa tunatumia tukifulia tu!
shetani anaishi mtaa gani?,ushawahi kumuona?SHETANI TU ANAJIINUA. Pombe haijawahi kuwa na chochote special zaidi ya hadithi za kudanganyana
Ile siku nilikunywa Huyo Hennessey, Wine,Smirnoff na kasavanna kidogoMama ulikua unamix nwenyewee vitu km Mkemia hehe
Sawa Cheer'sUko sahihi mkuu, hata hivyo mi nakunywa maji tu ambayo definitely hayana ladha.
Ukinywea ndani na mchuchu pembeni aiseee hata kama ni verve au chibuku inakuwa tamu na ina vibe balaaaaaWeee pombe ukinywea ndani hata haina ladha