Kuna kitu gani special katika hii pombe ya Hennessy?

Kuna kitu gani special katika hii pombe ya Hennessy?

Extrovert

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
70,785
Reaction score
186,690
Mara ya kwanza naifahamu hii pombe ilikuwa miaka 9 iliyopita ambapo watu fulani maarufu waliokuwa influencers wangu walikuwa wanai praise sana hii pombe hasa ile COGNAC.

So far i was dead broke, sikuwa na la zaidi ya kuitazama waki floss nayo kwenye screens ila hivi karibuni nimeanza kuona wabongo wengi ni kama ndio wameisadia kuwa ni pombe ya hadhi fulani maybe ina mazuri yake ila ningependa kuyafahamu pia kwa wazoefu.

- Whats special in Hennessy; pricing and alc volume?

625F7ED0-5BF8-4094-8693-2B2445E05832.jpeg


F034262A-2231-4FEB-A1BB-CBEE0543B25D.jpeg
 
Mara ya kwanza naifahamu hii pombe ilikuwa miaka 9 iliyopita ambapo watu flani maarufu ambao walikuwa influencers wangu walikuwa wanai praise sana hii pombe hasa ile COGNAC.

So far i was dead broke, sikuwa na la zaidi ya kuitazama waki floss nayo kwenye screens ila hivi karibuni nimeanza kuona wabongo wengi ni kama ndio wameisandia kuwa ni pombe ya hadhi flani maybe ina mazuri yake ila ningependa kuyafahamu pia kwa wazoefu.

-Whats special in Hennessy, pricing and alc volume?
Sometimes ni hypes tu na trend.

Wabongo wengi ni wafuasi wa trends.

Kwani ni nini kinafanya mtu atoke Tegeta au Bunju huko afunge safari mpaka Liquid bar Kurasini au 40 40 Tabata kunywa pombe wakati Pombe ni zile zile hata ukinywea ndani.
 
Mara ya kwanza naifahamu hii pombe ilikuwa miaka 9 iliyopita ambapo watu flani maarufu ambao walikuwa influencers wangu walikuwa wanai praise sana hii pombe hasa ile COGNAC.

So far i was dead broke, sikuwa na la zaidi ya kuitazama waki floss nayo kwenye screens ila hivi karibuni nimeanza kuona wabongo wengi ni kama ndio wameisandia kuwa ni pombe ya hadhi flani maybe ina mazuri yake ila ningependa kuyafahamu pia kwa wazoefu.

-Whats special in Hennessy, pricing and alc volume?
SHETANI TU ANAJIINUA. Pombe haijawahi kuwa na chochote special zaidi ya hadithi za kudanganyana
 
Mara ya kwanza naifahamu hii pombe ilikuwa miaka 9 iliyopita ambapo watu flani maarufu ambao walikuwa influencers wangu walikuwa wanai praise sana hii pombe hasa ile COGNAC.

So far i was dead broke, sikuwa na la zaidi ya kuitazama waki floss nayo kwenye screens ila hivi karibuni nimeanza kuona wabongo wengi ni kama ndio wameisandia kuwa ni pombe ya hadhi flani maybe ina mazuri yake ila ningependa kuyafahamu pia kwa wazoefu.

-Whats special in Hennessy, pricing and alc volume?
Chupa ndogo ni 40 k, haina miujiza yoyote, ni kama tu Pisi kali ageukavyo gogo kitandani
 
Mara ya kwanza naifahamu hii pombe ilikuwa miaka 9 iliyopita ambapo watu flani maarufu ambao walikuwa influencers wangu walikuwa wanai praise sana hii pombe hasa ile COGNAC.

So far i was dead broke, sikuwa na la zaidi ya kuitazama waki floss nayo kwenye screens ila hivi karibuni nimeanza kuona wabongo wengi ni kama ndio wameisandia kuwa ni pombe ya hadhi flani maybe ina mazuri yake ila ningependa kuyafahamu pia kwa wazoefu.

-Whats special in Hennessy, pricing and alc volume?

Nothing special with Hennessy ni trending tu kwa wabongo
Kama unavyoona trending kwenye gari aina ya Rumion kwa wabongo
 
Back
Top Bottom