muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,557
- 6,128
Licha ya Ligi ta azam confederation cup kupata mdhamini mpya CRBD Bank na ligi kitambulika rasmi kama CRDB bank Federation Cup, Azam wamegoma kuitambua benk ya CRDB katika ligi hiyo!
TFF ligi wanaitambua kama CRDB bank Federation cup,.
Azam ligi wanaitambua kama Azam federation cup!
je ni i tatizo?
au msomali kapiga mpunga bila kuwashirikisha Azam
TFF ligi wanaitambua kama CRDB bank Federation cup,.
Azam ligi wanaitambua kama Azam federation cup!
je ni i tatizo?
au msomali kapiga mpunga bila kuwashirikisha Azam