Kuna kitu hakipo sawa makanisani, ni muda wa wakristo kuamka na kuhoji

Mmh.. ...

Kwa huyu ndugu ... ... Ni Bora apumzike ...
 
Kwa utafiti nliyoufanya, kanisa lenye maadili na linalosimamia misingi ya Bible na Kristo wa kweli ni kanisa la kisabato, haya mengine ni business oriented.
 
Naupongeza Uongozi mzima wa Kanisa kubwa Bora ambalo mwanzilishi wake ni Kristo mwenyewe. Kanisa Katoliki Jimbo la Dsm kwa Kuwa nimeshuhudia mchango wenu pale mlipotuchangia parokia yetu kununua mali ilokuwa ikiuzwa kwa zaidi ya milioni 200.
Ahsante.
Parokia gani
 
Nadhani mtoa mada bado uko enzi za wafadhili wa kanisa. Kwasasa kanisa linajiendesha,kama ufadhili unapatikana kwa bahati sana. Hivyo usipotoa unasababisha anguko la kanisa. Tutoe,tujenge vyakwetu. Wakati wakufanyiwa haupo tena.
 
@matol fwara kweli wewe😆😆😆 ....umenichekesha!


Sie Walutheli siku hizi Matangazo wakati wa Ibada 98% yanavinasaba vya kuchangia hela!

60% ya mida wa ibada watumishi wataongelea na kuhubiri pesa tu!

Ni only 5% ya ibada ya nyimbo za TUMWIMBIE BWANA za kitabuni tu ndio huimbwa kwa wote kanisani, asilimia iliyobaki ni nakwaya tu ya kila namna wanacheza kama Mfalme Daudi alivyomwangukia mke wa Uria akiwa myoni anaoga! (Watoto wetu hawajui hata nyimbo tatu tu za kitabuni)

Inaudhi sana. Yani unatoka nyumbanj walau ukapate neno la faraja kanisani, huko unakutana na wachungani wajasiriamali wanakukamua mpaka dah!
 
Makanisa yote mkuu kitakacho kuokoa ni imani yako

Hakuna aendae kwa baba bila kupitia mimi
 
Kwa utafiti nliyoufanya, kanisa lenye maadili na linalosimamia misingi ya Bible na Kristo wa kweli ni kanisa la kisabato, haya mengine ni business oriented.
Wazee wa hesabu sio wakristo!

Hamjawahi kuwa wakristo ninyi ni part ya waislam!
 
Nadhani mtoa mada bado uko enzi za wafadhili wa kanisa. Kwasasa kanisa linajiendesha,kama ufadhili unapatikana kwa bahati sana. Hivyo usipotoa unasababisha anguko la kanisa. Tutoe,tujenge vyakwetu. Wakati wakufanyiwa haupo tena.
Ni wapi niliposema watu wasitowe sadaka na matoleo? Unaelewa lakini kinacholalamikiwa hapa ni nini?
 
Nikwambie kitu, dunia hii kati ya wafia dini na wafuasi wa shetani ni wafuasi wa shetani ndio wenye mafanikio nadhani ndio huko kubalikiwa usemako.

Hii dunia uchumi mkubwa unamilikiwa na mashoga na wamebarikiwa mno.

Verse kama hizi endeleeni kuzitumia kuwalaghai maskini ili muendelee kuwapora hata hicho kidogo walichonacho.
 
Kwa kweli michango na sadaka zinakimbiza watu makanisani. Tena wakifahamu ni muajiriwa au unakipato kikubwa bahasha inakuja ikiwa imeandikwa jina lako kufadhili shughuli za kanisa. Hatari kwa kweli
 
[emoji23][emoji23][emoji1787] Pigweni kwani mlilazimishwa kwenda huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…