Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Ikawaje Mkuu?Jirani yangu waligoma kuja kumzika mtoto wake wa miezi minne
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikawaje Mkuu?Jirani yangu waligoma kuja kumzika mtoto wake wa miezi minne
AhaaUkiwa na pesa watakuzika Tu,kingunge hakuwa na dini
Swali chonganishi hiliUtajuaje kuwa hawajakuzika
Katekista nimesema sioni haja ya kuuliza maana jibu limetolewa, nina haki ya kulalamikia jibu lililotolewa kwasababu ni anasa kwa makasisi huku wakiwakamua waamini ambao wengine hata kodi za nyumba ni shida achilia mbali kumiliki nyumba.Basi km huoni haja acha kulalamika sasa.
Hiari si lazimaHali ya utoaji ipoje? ni hiari ya mtu au kuna msukumo
[emoji3]Tangu niliposikia askofu kwenye maongezi yake eti kutoka mwanza kwenda musoma hawezi kupanda gari ila ndege tu ndipo nilijichokea mimi
Sawa, ahsanteHiari si lazima
Je, Alifafanua ni kwa nini? Huenda anamatatizo ya kiafya au labda nauli ya ndege ni ndogo zaidi ukilinganisha na ile ya Ndege au pengine ikiwa kuna kitu cha Haraka/Dharura kubwa mno. Lakini kama ni vinginevyo, basi alijikweza au alikuwa anapasha-pasha/anachangamsha (Energiser)mazungumzo yaliyokuwa yanaendelea..Tangu niliposikia askofu kwenye maongezi yake eti kutoka mwanza kwenda musoma hawezi kupanda gari ila ndege tu ndipo nilijichokea mimi
AMINAmchungaji atakula madhabahuni, kila madhabahu lazima uihudumie kwa sadaka mkuu, iwe ni kwa damu, nyama, nafaka, maziwa, pesa au kafara ya mtu. tafuta fundisho la mwakasege juu ya sadaka litakutoa gizani
Unapaniki kwa vitu vidogo sana.Sasa baada ya kusema hivyo alikuomba nauli??.Tangu niliposikia askofu kwenye maongezi yake eti kutoka mwanza kwenda musoma hawezi kupanda gari ila ndege tu ndipo nilijichokea mimi
Mkuu umenikumbusha kuna siku nimeudhuria mazishi sehemu asa misa imefanyika baadae mda wa sadaka mimi nkajipinda nkatoa sadaka yangu nzuri tu nikijua inaenda kuwasaidia wafiwa,ngachoka!naambiwa sadaka anaondoka nayo padri!Aisee m mpaka nashangaa hasaaa
Yni kikubwa wanachokukhofisha kanisani ni kua ukifa hawatokuzika hili haliingii akilini kabisaa sasa mtu akishakufa ata kumstiri tu mpaka utoe pesa ! dah kwa kweli inauma
Katika Uislamu tumeharakizwa kuzika tena Muislamu akifa.sehemu yyte ile ni jambo la kawaida tu hilo na mtu atazikwa vizuri tuu
M nawashauri watu tusomeni hizi dini mbili hlf tutaona ukweli ulipo bila hata ya kumurika kwa tochi
Sasa popote utakapohamia utaratibu ni huohuoHama Kanisa.
[emoji23][emoji23][emoji23],akubaliane tu na utaratibu.Sasa popote utakapohamia utaratibu ni huohuo
Kwani watoto wasipobatizwa wanakwama wapi mi kuna mguso ninao kuwa haya ma dini wanatutishia MUNGU ili watukamue.Siku hizi ukikwama na ukaenda church kuomba msaada wa hata chakula hawakupi ila wao wakati wa mavuno wanachagua eti mpuka kuanzia debe mbili as if tulisaidiana hela za mboleaSiku hizi mamilooo, usipotoa ni kosa kwani wanaangalia registaa, hivyo huduma za kikanisa kama vile ubatizo, ndoa nk haupati.
Huo ni utaratibu wa Kawaida Mzee.Sadaka ya ibada au Misa ya Mazishi inatakiwa aondoke nayo mwadhimishaji kwaajili ya kwenda kumuombea misa ya wafu huyo Marehemu, rejea 2Wamakabayo 12:38-44.Mkuu umenikumbusha kuna siku nimeudhuria mazishi sehemu asa misa imefanyika baadae mda wa sadaka mimi nkajipinda nkatoa sadaka yangu nzuri tu nikijua inaenda kuwasaidia wafiwa,ngachoka!naambiwa sadaka anaondoka nayo padri!
Milele Amina mkatoliki mhenga mwenzangu,Leo ni Jumapili ya matawi Yesu anaingia Jerusalem, lakini nikitafakari imani yangu ya ufuasi wa kristu napata mashaka makubwa sana.
To declare interest mimi nimezaliwa nimejikuta tu ni mkatoliki kwahiyo nipo hivyo mpaka leo, mahusiano yangu na Mungu naamini ni mazuri kiroho lakini mahudhurio yangu kanisani kwa miaka ya karibuni si mazuri huwa nakwenda na kuacha kwenda.
Basi mambo yasiwe mengi last Sunday nikatimba church kwenye parokia yetu mambo niliyokutana nayo huko ni ya kusikitisha na nathubutu kuita kile alichokikemea mwokozi wetu Yesu kristu kwamba wasigeuze nyumba ya baba yake kuwa pango la walanguzi, kwa hakika hicho ndicho kinachoendelea parokiani kwetu si kanisa tena bali ni pango la walanguzi.
Sisi Wakatoliki huko nyuma tulikuwa tukiwacheka Lutheran kwa utaratibu wa sadaka nyingi na bahasha nyingi kumbe sasa utaratibu huo umeingia kwa speed kubwa kwenye kanisa katoliki ibada ya misa moja sadaka mnatowa mara saba, sina hakika na parokia zingine hali ikoje.
Sasa kila mwanaparokia unapewa kadi ya kuchanga pesa ya kuwa mkatoliki mume na mke 10,000)= kwa mwezi na watoto buku mbilimbili kila mwezi hii ni nje ya sadaka harambee na michango mingine, tunakwenda wapi?
Najuwa wapo watetezi waliolewa mvinyo wa dini watatetea uharamia huu kwa utetezi ni lazima tuchangie ujenzi wa kanisa, hakuna anayekataa hilo na tumekuwa tukijitolea miaka yote kwa kiasi, lakini naamini mtu ambaye yuko free minded hawezi kutetea uharamia huu kugeuza kanisa kuwa pango la walanguzi, na wasiokuwa na pesa za kuamka kwenye mabenchi mara saba kutowa hizo sadaka hawatojisikia vizuri na wataacha kuja kanisani kwa kuteswa kihisa kila watu wakiinuliwa kwenye mabenchi wao hawana kitu.
Hiyo sasa tisa kumi ni hawa jamaa zetu born again, nipo hapa nyumbani namsikiliza mtumishi wa Mungu akitangaza viwango vya sadaka ya kugombowa uzao wa kwanza ni laki mbili, uzao wa pili laki na na nusu, uzao wa tatu laki.
Kutokana na uharamia huu na unyang'anyi unaoendelea kupitia mwamvuli wa dini serikali haiwezi kusaidia lolote katika hili kwa sababu ni partners muhimu in crime.
Kwakuwa waislamu wanajitambuwa sana katika hili ni wakati sasa kwa wakristu wote kuamka na kupinga dhulma hii ambayo cha kusikitisha sasa imeingia radmi kanisa katoliki na hakuna hata mkatoliki mmoja aliwahi kuhoji miradi yote ya kanisa hadi mkombozi bank ipo kwa faida ya nani na inalisaidia vipi kanisa?
Tumsifu Yesu kristu.
No!no!hana hadhi ya kupanda gariJe, Alifafanua ni kwa nini? Huenda anamatatizo ya kiafya au labda nauli ya ndege ni ndogo zaidi ukilinganisha na ile ya Ndege au pengine ikiwa kuna kitu cha Haraka/Dharura kubwa mno. Lakini kama ni vinginevyo, basi alijikweza au alikuwa anapasha-pasha/anachangamsha (Energiser)mazungumzo yaliyokuwa yanaendelea..
Nipanick kwa sababu ya mtu anayeishi kwa sadaka? Be seriuos man!kilichonishangaza ni yeye kujiona hana hadhi ya kupanda gariUnapaniki kwa vitu vidogo sana.Sasa baada ya kusema hivyo alikuomba nauli??.
Hichi ni kitabu gani tena maana najua vilikuwepo vitabu 66 hiyo wakabayo imetokea agano gani tena,turudi kwenye mada hiyo sadaka anaondoka nayo padri inaenda jimboni ama?Huo ni utaratibu wa Kawaida Mzee.Sadaka ya ibada au Misa ya Mazishi inatakiwa aondoke nayo mwadhimishaji kwaajili ya kwenda kumuombea misa ya wafu huyo Marehemu, rejea 2Wamakabayo 12:38-44.