BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Atakuwa shetani mwingine katupwa duniani baada ya kumuasi muumba huko mbinguni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manina[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Atakuwa shetani mwingine katupwa duniani baada ya kumuasi muumba huko mbinguni
Itakuwa kwelwapi huko? Ile mzinga ya lupaso ndiyo inatua chini
Hivi Dar we unaichukulia kama kijiji chenu? taja eneo banaDar es salam
😂watu kama wewe enzi za vita vikuu vya pili vya Dunia mlipelekwa labour camps,yani unasikia taharuki hushughuliki kutazama kumbe mnavamiwqHata mimi nimesikia. Lakini sijajisumbua kuangalia ni nini.
wana JF wanaoishi Dar hudhani sisi sote tupo Dar, na ukimwambia huishi Dar anasikitika sanaHivi Dar we unaichukulia kama kijiji chenu? taja eneo bana
Ninapoishi ni pembezoni mwa mji. Na hili eneo nipo peke yangu, so sijataka kujipa stress usiku huu.😂watu kama wewe enzi za vita vikuu vya pili vya Dunia mlipelekwa labour camps,yani unasikia taharuki hushughuliki kutazama kumbe mnavamiwq
sawa mkuuNinapoishi ni pembezoni mwa mji. Na hili eneo nipo peke yangu, so sijataka kujipa stress usiku huu.
Sawa siamini kama ni Transfoma wala Kiwanda cha Nondo nadhani tuvute subra haukuwa mlio wa kawaida.nmesikia huo mlio pia nikiwa ndani nipo lumo, temeke, dar
Kweli kabisaaWataalam wanasema ukisikia mlio ujue haijakupata.