isajorsergio Platinum Member Joined Apr 22, 2018 Posts 4,143 Reaction score 6,560 Jul 30, 2020 #41 Mwaka jana au juzi Kagera (Ziwa Magharibi) hali kama hiyo kwa asilimia 100 ilitokea.
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 52,160 Reaction score 48,974 Jul 30, 2020 #42 Mamlaka hazijathibitisha
Ngalikihinja JF-Expert Member Joined Sep 1, 2009 Posts 33,643 Reaction score 36,090 Jul 30, 2020 #43 BVR 2015 said: Dar es salam Click to expand... Acha kujibu kihuni.. Dar kubwa
Bushmamy JF-Expert Member Joined Aug 18, 2019 Posts 9,140 Reaction score 15,963 Jul 30, 2020 #44 Any news?
No Escape2 JF-Expert Member Joined Jul 4, 2020 Posts 228 Reaction score 323 Jul 30, 2020 #45 Kwa hiyo hakuna kilichotokea ni nasikia tuu wametuongopea.
LwandaMagere JF-Expert Member Joined Mar 15, 2020 Posts 264 Reaction score 2,484 Jul 30, 2020 #46 Nadhani itakuwa ni ile SPACE X iliyorushwa na NASA kuelekea sayari ya mars,ni jana kuamkia leo
Mamndenyi JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 43,242 Reaction score 60,939 Jul 30, 2020 #47 Ni taarifa ya kuondoka mtu mzito katika boma. Hawa watu huwa hawazimi tu kama mishumaa wanaambatana na ishara zao. Sent using Jamii Forums mobile app
Ni taarifa ya kuondoka mtu mzito katika boma. Hawa watu huwa hawazimi tu kama mishumaa wanaambatana na ishara zao. Sent using Jamii Forums mobile app