Kuna kitu kibaya Wema Sepetu kafanyiwa(mtazamo wa jicho la tatu)

Kuna kitu kibaya Wema Sepetu kafanyiwa(mtazamo wa jicho la tatu)

Itazame hali yake kwa jicho la kiroho utagundua kitu

KAKA JICHO LA KIROHO WENGINE HATUNAGA NDIO MAANA TUNAKIMBILIA KWA MASHEIKH MAPADRE WACHUNGAJI MANABII NA MITUME WANATUTAZAMIA YETU YA KIROHO...KWAHIYO MSHANA WEWE NI MGANGA WA JADI UMEONA WEMA ANATATIZO LA KIROHO?
UMEANZA KUMFAHAMU WEMA LINI?.....UNAELEWA MALEZI YAKE? BAADA YA KUWA MISS UNAELEWA NINI KILIFUATIA KWENYE MAISHA YAKE?....SHULE/COLLEGE KULE MALAYSIA/INDONESIA ILIKUWAJE?....UNAKUMBUKA ISHU YAKE YA KUFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUVUNJA GARI YA MAREHEMU? UNAMKUMBUKA TEJA MWINYI ALIYEKUWA ANAJIGONGEA MZIGO?....KWANINI HILI SUALA USIMUACHIE YEYE MWENYEWE KAMA MZEE JK ALIVYOAMUA KUMUACHIA RAY C MAISHA YAKE MWENYEWE?

KIFUPI NI KUWA WEMA NA MAMA YAKE WANAJUA ZAIDI KUHUSU MAISHA YA WEMA....HATA MAREHEMU MSHUA WAKE ALIKUWA HAJUI KABISA NINI KINAENDELEA..THEY SAYS LIKE FATHER LIKE SON...OBVIOUS LIKE MOTHER LIKE DAUGHTER....KUMSAIDIA WEMA ANZA NA MAMA YAKE.
 
Ameshasemwa sana kwa ubaya ameshaandikwa sana kwa ubaya ameshakuwa na kashfa nyingi...ni wakati sasa wa kumwangalia kwa jicho la tatu.

Hatuwezi kumweka kwenye kundi la malaika wa kifo kwakuwa wapenzi wake wengi bado wako hai. Ni binti mwenye nyota kali ya mafanikio kwake na kwa wapenzi wake pia na nyota yake hii ilichanua mapema kabisa hata akapata mafanikio mengi kwa muda mfupi na akiwa bado mdogo.

Nyota yake bado inawaka lakini imechezewa imefanyiwa kitu kibaya Wema wa bahati sasa ni wema wa mikosi nuksi na balaa.

Habari zake za kuandikwa kila siku kwa mabaya zimemfanya achukiwe na wengi bila kufikiri zaidi..nilikuwa mmojawapo na nikasema ni utoto akikua ataacha...mabinti wengi wamepitia hiki kipindi hata hapa JF tunao.

Wema amejijengea maadui wengi kuliko marafiki, Wema amekuwa centre ya habari kwa lolote afanyalo au linalomtokea iwe kwa ubaya au kwa wema
Lakini hebu tujirudi na kujitafakari upya...

Tabia ya Wema ya sasa ina mahusiano ya karibu na makuzi yake na hasa malezi ya mama! Je tuna la kujifunza hapa?? Tukumbuke na sisi ni wazazi.

Wema wa sasa anaporomoka kuanzia mwili shepu mahusiano nk nk...wengine wengi wamepitia haya lakini yakapita yakaisha, ya Wema hayaishi kila uchao tatizo liko wapi? Je haters wake wamefanya yao kwenye ulimwengu wa giza?

Wema anahitaji faraja ya kila mmoja sasa, kila dakika na kila sekunde pamoja na mapungufu yake yote lakini bado ni binadamu kama sisi mwenye hisia maumivu na roho ya nyama.

ASAIDIWE!
Akalewa sifa , akapotea. Sasa ndo anatumbukia shimoni kabisa. La sivyo, abadilike na kujiona ni mtu mzima.
 
Ni kumpa Wema promoshen ya bure tu. Wanaume wengi tuna ugonjwa wa kupenda matako makubwa. Hakuna kitu kilichoharibika hapo, ingawa ni picha ya kutengenezwa.
hivi wema ana matako makubwa
 
Nadhani mtu huwa anajisaidia yy ndo asaidiwe,cc tunatumia nguvu nyingi hapa kuongea lkn sidani kama yy anaona inamfaa kubadilika,hajaanzwa leo kusemwa,hv kweli hawez kaa chini hata cku moja akasema kwann kila cku mm tu???kwann asiangalie mamiss wenzake wako wapi???Mm nahis anapenda kusemwa c bure, anaona raha kuchorwa chorwa
 
Kwa replies za kwenye hii post ni wazi kuwa Wema ni public enermy na hakuna hata mmoja anayetaka kutafakari ni kwa nini bali kila mmoja wetu anajitahidi kutoa nyongo zake kwa wema
Nina hakika Wema kawakosea watu wengi sana lakini je ni kweli hata wewe kakukosea? Na ni kosa gani hilo lisilosameheka?
Simtetei Wema kama ID bali Wema kama binadamu....tuna ndugu zetu wengi wenye matatizo mengi tu kama au kuzidi ya Wema kwahiyo vile tunavyowachukulia wao na Wema naye tumchukulie hivyo hivyo
 
Mkuu Paskali first page nimeona like yako nikajikuta nafika mpaka page ya 7 si kwa kuifutlia hii
Mkuu
mshana jr,
you have a point, na kiukweli nimeguswa!, huyu dada 'has powers', she uses her powers and misuses them kwa kujijua au bila kujijua!, she needs help na sio ridicule!.
Mungu amsaidie!.

Paskali
Kwa wasiojua kuhusu powers, karibuni mnitembelee mitaa hii
Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila kujiua!.

thread la hasha bali nijue maoni yako kuhusu huyu binti...I lost my time kupekua pages na sijaona comment yako zaidi ya ma likes tu! For god sake weka maoni yako hapa
P
 
speechless. kwa uzuri ni mzuri wacha tumpe sifa zake
 
wema anachofanya ni Y O L O, tumwache afanye ya kwake jamani
 
Mshana katumwa na Wema <3
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji781] [emoji781] [emoji781] [emoji781] [emoji779] [emoji779] [emoji779]
 
Back
Top Bottom