kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,818
Simba ni timu yenye wachezaji wakubwa na wazoefu wa ligi lakin wengi wao ni kama sijui hawana morali, utaona wanavyoenda kukaba ni kama tayari wana goli 5, hakuna ule uharaka katika kutengeneza nafasi.
Simba hii sio ya kushindwa kuifunga yanga ambayo haina Kamusoko, Tambwe wala Naroub, huku simba ikiwa imetimia kabisa.
Something is missing, ni tofauti kabisa na vile mashabiki walivyoibeba simba kwenye vichwa vyao, mashabiki wa simba daima huwa wanatarajia makubwa na ni tofauti na kile wanachokipresent simba uwanjan, ukimsikiliza Manara utaona hilo, simba imebebwa kwa ukubwa sana vichwani vya wanasimba lakin performance yao uwanjani haifiki hata 50% ya kile ambacho wanasimba wanavyofikiri juu ya timu yao.
Tuseme either mfumo wa Mwalimu au something else kinawafanya washindwe kuperform kwa kadri wanavyotarajiwa simba kufanya wakiwa uwanjanj..
Naweza kusema,simba wako fiti psychologically kuliko technically, psychologically wapo relaxed na ndicho ambacho atleast kinawasaidia kupata matokeo, but performance yao hakika huwezi kuiona bill 1.3 hata kidogo.
Simba hii sio ya kushindwa kuifunga yanga ambayo haina Kamusoko, Tambwe wala Naroub, huku simba ikiwa imetimia kabisa.
Something is missing, ni tofauti kabisa na vile mashabiki walivyoibeba simba kwenye vichwa vyao, mashabiki wa simba daima huwa wanatarajia makubwa na ni tofauti na kile wanachokipresent simba uwanjan, ukimsikiliza Manara utaona hilo, simba imebebwa kwa ukubwa sana vichwani vya wanasimba lakin performance yao uwanjani haifiki hata 50% ya kile ambacho wanasimba wanavyofikiri juu ya timu yao.
Tuseme either mfumo wa Mwalimu au something else kinawafanya washindwe kuperform kwa kadri wanavyotarajiwa simba kufanya wakiwa uwanjanj..
Naweza kusema,simba wako fiti psychologically kuliko technically, psychologically wapo relaxed na ndicho ambacho atleast kinawasaidia kupata matokeo, but performance yao hakika huwezi kuiona bill 1.3 hata kidogo.