Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wafuasi wa CCM au wafuasi wa maslahi!?Mnaeza mkawa wengi afu wote wajinga, ni ngumu kupata changes. Tusiende mbali mfano mzuri ni wafuasi wa CCM ni wengi afu wote wajinga tusitegemee lolote nchi hii.
Ukubwa wa nchi au idadi ya watu sio issue, kuna nchi nyingi sana duniani ndogo kuliko Tanzania na zina uwezo wa kuitandika TZ in 24 hours na wakachukua mpaka ikulu, mfano Israel eneo 8000 square miles, Belgium 11,000 Tanzania 365,000 square miles, vipi unaweza kupigana nao hao? lazima akili zako zimejaa matope tuuWatu waanze kuogopa mtu anayetawala Nchi ndogo kuliko Tabora, idadi ya watu sawa na mikoa yetu sita tu. Kiuhalisia anatakiwa aiogope CCM zaidi, Tanzania ina vijana wengi na haijuwi pakuwapeleka.
Msilinganishe Rwanda na Israel. 😂😂😂Ukubwa wa nchi au idadi ya watu sio issue, kuna nchi nyingi sana duniani ndogo kuliko Tanzania na zina uwezo wa kuitandika TZ in 24 hours na wakachukua mpaka ikulu, mfano Israel eneo 8000 square miles, Belgium 11,000 Tanzania 365,000 square miles, vipi unaweza kupigana nao hao? lazima akili zako zimejaa matope tuu
Umeona Rwanda tuu hapo Belgium hujaiona, ujinga mzigoMsilinganishe Rwanda na Israel. 😂😂😂
Mkilewa msitype
Huwezi linganisha Belgium na RwandaUmeona Rwanda tuu hapo Belgium hujaiona, ujinga mzigo
Kwa hiyo umekubali ukubwa wa nchi sio issueHuwezi linganisha Belgium na Rwanda
Angalia GDP ya Belgium na Israel compared to Tanzania halafu Rwanda compared Tanzania. Halafu ujiulize kama hata hiyo akili unayo.Ukubwa wa nchi au idadi ya watu sio issue, kuna nchi nyingi sana duniani ndogo kuliko Tanzania na zina uwezo wa kuitandika TZ in 24 hours na wakachukua mpaka ikulu, mfano Israel eneo 8000 square miles, Belgium 11,000 Tanzania 365,000 square miles, vipi unaweza kupigana nao hao? lazima akili zako zimejaa matope tuu
sijui umeelewa kwanini nimeandika au , anyway that was my point, wenzako wanafikiri ukubwa wa eneo ndio nguvu, ndio maana nikato mfano wa Belgium ambayo ni kama mkoa wa Iringa tuuAngalia GDP ya Belgium na Israel compared to Tanzania halafu Rwanda compared Tanzania. Halafu ujiulize kama hata hiyo akili unayo.
Mifamo yako haina mashiko kwenye hii mada. Naomba ulete mifano yenye uhalisia au karibu na uhalisia.sijui umeelewa kwanini nimeandika au , anyway that was my point, wenzako wanafikiri ukubwa wa eneo ndio nguvu, ndio maana nikato mfano wa Belgium ambayo ni kama mkoa wa Iringa tuu
Binafsi nimesema mara kadhaa humu kuwa, EAC haiwezi kustawi kama inavyooneshwa kwenye maandishi endapo Museveni na Kagame hawatabadili attitude yao kwa Congo. Wanacho kifanya kwa Congo wanaweza mfanyia jirani yeyote.Hawa madikteta Museveni na Kagame hawafai
Acha ufalaMifamo yako haina mashiko kwenye hii mada. Naomba ulete mifano yenye uhalisia au karibu na uhalisia.
Sio kwamba ni majina yamefanana tu mkuuWatutsi wamechanua sana Tz, mfano ni Hawa Akina mapacha wa bukombe, njoo geita yupo mshua wa blue ocean.. Blue ocean mwenye hisa kubwa yupo kugali state house... Ni ndugu wa mapacha. Imagin state house Kigali then state house magogoni.. what next.. MBONA TUTANYOOKA
Waanzisha nyuzi hizi ukute wengi ni Wanyaruanda wenyewe...Wapuuzi sana hawa.Rwanda and PK is over rated, ni nchi masikini bado anapambana na basics za raia wake kama food shelter security and healthy, hana ubavu kuanzisha na nchi kama Tanzania ambao sio pori kama Congo.
Sawa Mama.Acha ufala
Yale ni mauaji tupuBinafsi nimesema mara kadhaa humu kuwa, EAC haiwezi kustawi kama inavyooneshwa kwenye maandishi endapo Museveni na Kagame hawatabadili attitude yao kwa Congo. Wanacho kifanya kwa Congo wanaweza mfanyia jirani yeyote.
Ningekua mnyarwanda hata kama niko nje kwa usalama wa jamaa yangu ningepata hofu kumsema pk vibaya. Yeye na usalama wake ni wauaji ovyo kwa wanaompinga.Wewe ni Mnyarwanda?
Kiherehere tu kwa mambo yasiyo kuhisu😀
Hayo ya hapo karibu yanayokuzunguka, yanayotupa watu baharini Kwa viroba, matekaji na yanayopiga watu risasi mchana huyaoni, Kigali haiitwi the safest city in Africa Kwa maneno tuu ni safe kweli kweli na wanaoishi Kigali au waliotembelea wanajua ,utakuwa safe in Kigali wewe na mali zako 100% kuliko bongo na hakuna mtu atakusumbua, kukuomba rushwa au kukubambikia kesi, ila kama utaleta siasa zako za ukabila au interahamwe watakushughulikia to the maximum, wenzako bado wanakumbuka genocide ilivyowafanyaYale ni mauaji tupu
RubbishHayo ya hapo karibu yanayokuzunguka, yanayotupa watu baharini Kwa viroba, matekaji na yanayopiga watu risasi mchana huyaoni, Kigali haiitwi the safest city in Africa Kwa maneno tuu ni safe kweli kweli na wanaoishi Kigali au waliotembelea wanajua ,utakuwa safe in Kigali wewe na mali zako 100% kuliko bongo na hakuna mtu atakusumbua, kukuomba rushwa au kukubambikia kesi, ila kama utaleta siasa zako za ukabila au interahamwe watakushughulikia to the maximum, wenzako bado wanakumbuka genocide ilivyowafanya