Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

Ningekuwa mm sina uvumilivu - PK angekuwa uhamishoni. Damu na uhai wa wanajeshi wa tz waliouawa - nisingeacha upotee
 
Kijiografia Rwanda ni sawa na mkoa wa Kagera,Tanzania ina mikoa zaidi ya 26

Rwanda kwa DRC ni kama wilaya tu,ukichanganya nchi za SADC na EAC Rwanda ni kama mtaa fulani tu pale Kariakoo.

Ni aibu sana kanchi kadogo kama hako kunyima usingizi marais wa nchi zaidi ya kumi.

Yake mazoezi ya kuvunja tofali kwa kichwa ambayo makomando huwa mnatuonyesha pale uwanja wa uhuru siku ya indeoendence huwa mnamaanisha nini kama Rwanda inawashinda
 
mtafungua nyuzi sana, lakini yaja siku isiyokua na jina, ngoma ikilia sana.......
 
Kijiografia Rwanda ni sawa na mkoa wa kagera,tanzania ina mikoa zaidi ya 26
Rwanda kwa DRC ni kama wilaya tu,ukichanganya nchi za SADC na EAC Rwanda ni kama mtaa fulani tu pale kariakoo.

Ni aibu sana kanchi kadogo kama hako kunyima usingizi marais wa nchi zaidi ya kumi.
Yake mazoezi ya kuvunja tofali kwa kichwa ambayo makomando huwa mnatuonyesha pale uwanja wa uhuru siku ya indeoendence huwa mnamaanisha nini kama Rwanda inawashinda
Rwanda ni 'project' ya Marekani ndani ya maziwa makuu.
 
Kijiografia Rwanda ni sawa na mkoa wa kagera,tanzania ina mikoa zaidi ya 26
Rwanda kwa DRC ni kama wilaya tu,ukichanganya nchi za SADC na EAC Rwanda ni kama mtaa fulani tu pale kariakoo.

Ni aibu sana kanchi kadogo kama hako kunyima usingizi marais wa nchi zaidi ya kumi.
Yake mazoezi ya kuvunja tofali kwa kichwa ambayo makomando huwa mnatuonyesha pale uwanja wa uhuru siku ya indeoendence huwa mnamaanisha nini kama Rwanda inawashinda
Nani aliyekwambia hiki unachokisema.? Kuwa na heshima japo kidogo kwa nchi yako.

Rwanda ni kama “kasongo”. Worthog.. ana mikwala mingi lkn hana lolote.
 
Ningekua rais wa tz ningeenda piga rwanda kagame mpaka kunguni na siafu.then namtukana trumple your had has a bulldog inside thats fucks your brain
 
Back
Top Bottom