Kuna kitu waafrika kusini wamenishangaza kuhusu Saed Ramovic

Kuna kitu waafrika kusini wamenishangaza kuhusu Saed Ramovic

itakiamo

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
893
Reaction score
1,739
Kuna kitu waafrika kusini wamenishangaza kuhusu Saed Ramovic, najua humu kuna watu washawahi kuishi au kufatilia any news kutoka South Africa.
Nimeshangazwa na baadhi ya waafrika kusini kumtambua kocha huyo kama Plumber. Yeyote mwenye exposure na hili suala naomba ufafanuzi
IMG_20250119_233418.jpg
IMG_20250119_233330.jpg
IMG_20250119_233503.jpg
IMG_20250119_233307.jpg
IMG_20250119_233441.jpg
 
Kuna kitu waafrika kusini wamenishangaza kuhusu Saed Ramovic, najua humu kuna watu washawahi kuishi au kufatilia any news kutoka South Africa.
Nimeshangazwa na baadhi ya waafrika kusini kumtambua kocha huyo kama Plumber. Yeyote mwenye exposure na hili suala naomba ufafanuziView attachment 3206885View attachment 3206886View attachment 3206887View attachment 3206888View attachment 3206889
Kuna watu duniani wana profesion zaidi ya moja. Binafsi, nina rafiki, alipokuwa FTC course, alisoma Civil Engineering, lakini tulipofika UDSM, akasoma Electrical Engineering..!! Mfano mwingine, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi alipokuwa UDSM (October 6, 1996 to 2000), amesoma Electrical Engineering lakini kwa sasa ana ma-CPA huko..!!! So, bwana Ramovic kuwa plumber na wakati huo huo ni kocha haiwezi kuwa ajabu..!!! Ndo mmojawapo kati ya wale watu wenye profesion zaidi ya moja. Wewe kama siyo multi-purpose baki hivyo..!!
 
Kuna watu duniani wana profesion zaidi ya moja. Binafsi, nina rafiki, alipokuwa FTC course, alisoma Civil Engineering, lakini tulipofika UDSM, akasoma Electrical Engineering..!! Mfano mwingine, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi alipokuwa UDSM (October 6, 1996 to 2000), amesoma Electrical Engineering lakini kwa sasa ana ma-CPA huko..!!! So, bwana Ramovic kuwa plumber na wakati huo huo ni kocha haiwezi kuwa ajabu..!!! Ndo mmojawapo kati ya wale watu wenye profesion zaidi ya moja. Wewe kama siyo multi-purpose baki hivyo..!!
You took it out of context, either intentionally or unintentional
 
Kwahiyo huko SOUTH AFRICA BONDENI KWA MADIBA wasouth wanamtambua kama fundi bomba maarufu wanashangaa kawaje kocha tena. Haahaahaah
 
Unajua kiingereza sio luga mama ya wasouth japokuwa ukiwalinganisha na sisi wapo juu so na wenyewe wanajikakamua sana kuongea
Sio lugha mama ndio ila huwezi linganisha na sisi ni kama UG na Kenya bado hatuwaingii kwa kinge, mbongo akiandika comment yake utamjua tu.
 
Kuna watu duniani wana profesion zaidi ya moja. Binafsi, nina rafiki, alipokuwa FTC course, alisoma Civil Engineering, lakini tulipofika UDSM, akasoma Electrical Engineering..!! Mfano mwingine, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi alipokuwa UDSM (October 6, 1996 to 2000), amesoma Electrical Engineering lakini kwa sasa ana ma-CPA huko..!!! So, bwana Ramovic kuwa plumber na wakati huo huo ni kocha haiwezi kuwa ajabu..!!! Ndo mmojawapo kati ya wale watu wenye profesion zaidi ya moja. Wewe kama siyo multi-purpose baki hivyo..!!
Nadhani wamemaanisha sio mzuri kimpira.
 
Kuna watu duniani wana profesion zaidi ya moja. Binafsi, nina rafiki, alipokuwa FTC course, alisoma Civil Engineering, lakini tulipofika UDSM, akasoma Electrical Engineering..!! Mfano mwingine, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi alipokuwa UDSM (October 6, 1996 to 2000), amesoma Electrical Engineering lakini kwa sasa ana ma-CPA huko..!!! So, bwana Ramovic kuwa plumber na wakati huo huo ni kocha haiwezi kuwa ajabu..!!! Ndo mmojawapo kati ya wale watu wenye profesion zaidi ya moja. Wewe kama siyo multi-purpose baki hivyo..!!
Acha uongo wewe .. !!!
 
Back
Top Bottom