Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo upi? Unaifahamu CV ya Theobaldi Sabi..!!??Acha uongo wewe .. !!!
Hapo umesema..!! lakini kwamba kuwa profesion ya plumbing ndo kuwe na athari kwenye ukocha hiyo haipo..!Nadhani wamemaanisha sio mzuri kimpira.
Matumizi ya neno plumber nchini Africa Kusini ni tofauti sana na ulivyoelezea hapo.Kuna watu duniani wana profesion zaidi ya moja. Binafsi, nina rafiki, alipokuwa FTC course, alisoma Civil Engineering, lakini tulipofika UDSM, akasoma Electrical Engineering..!! Mfano mwingine, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi alipokuwa UDSM (October 6, 1996 to 2000), amesoma Electrical Engineering lakini kwa sasa ana ma-CPA huko..!!! So, bwana Ramovic kuwa plumber na wakati huo huo ni kocha haiwezi kuwa ajabu..!!! Ndo mmojawapo kati ya wale watu wenye profesion zaidi ya moja. Wewe kama siyo multi-purpose baki hivyo..!!
Sahihi kabisa. SA ukiitwa plumber umewekwa daraja moja na kina mwijaku wapiga mayowe maarufu kule Bongo!Nadhani wamemaanisha sio mzuri kimpira.
Yet, does not change anything to me..!! by the way, kama neno unaloliulizia lina maana tofauti na udhamiliayo, ni bora ukaelezea ili upate majibu halisi ya ulichokiulizia. Haya msome na huyu hapa chiniMatumizi ya neno plumber nchini Africa Kusini ni tofauti sana na ulivyoelezea hapo.
Kule bongo wangemaanisha dizaini ya wapiga kelele kama Mwijaku, Babalevo, Sitiv n.k
Hivi Mwijaku hawezi akasomea ukocha?Sahihi kabisa. SA ukiitwa plumber umewekwa daraja moja na kina mwijaku wapiga mayowe maarufu kule Bongo!
Anaweza kabisa... lakini plumber ni mpiga makelele tu au debe tupu; hamna kitu mleHivi Mwijaku hawezi akasomea ukocha?