Kuna Klabu Tanzania ilijipanga Kuharibu CAFCL ili iangukie CAFCC ibahatishe kama ilivyobahatisha 2022/2023

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Asanteni sana CAF kwa Uamuzi huu kwani kwa Tanzania kuna Timu moja tu yenye DNA ya Kufanya vyema CAFCL kwa kufika hatua za Juu ila kuna Klabu nyingine ya Tanzania GENTAMIYCINE naionea mno Huruma kwani itacheza Mechi zake Mbili tu za Awali na Timu za maana za CAFCL na siyo zile Nyepesi ( Mchekea ) iliyokutana nazo CAFCC na itafungwa kisha Kuondolewa mazima na kuja kuendelea Kucheza Mechi zake za NBC Premier League ambako imezoea Kununua Waamuzi, Wachezaji na hata Timu ili ishinde na iwe Bingwa.

Kudadadeki Shikamooni sana CAF!!!!!
 
Bro una muhaho na Yanga. Yaani Yanga INAKUHAHISHA SANA
 
Huu ni mtego wa panya....
 
Mtani wangu acha kujimwambafai
 
Wakukurupuka at his best [emoji16]!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…