Kuna kocha anaenda kuachia timu kabla ya msimu kuisha

Kuna kocha anaenda kuachia timu kabla ya msimu kuisha

Mangi shangali

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
533
Reaction score
820
Habari zenu..
Nina masikitiko sana msimu huu simba hawajachukua kombe lolote.
Mimi ni shabiki kindaki ndaki wa yanga mimi ni mwananchi kabisa na siwezi kuishabikia simba daima.
Ila kinachoniumiza kumuoana huyu doto anachezewa sharubu kila anapoenda kucheza mpira.

Huyu kocha aliyekuja,hana maisha na simba hata kidogo hivi kweli kocha robertinho hukuona saido anapoteza mipira mara kwa mara.
Alafu unashindwa kumuingiza moses phiri unamuingiza bocco kweli.
Hata kama humpendi moses sio mbaya kumuingiza.
Alafu wachezaji wanzuri wapo benchi unashindwa kufanya sub .

Huyu robertinho ndo ameifelisha simba kuingia nusu fainali za cuf,simba walishikilia game mwanzo mwisho wydad walikuwa wanashambulia mda wote na simba alishindwa kumtoa saido na kumuingiza sakoh??
Leo tena kashindwa kumtoa saido tena.hivi huyu kocha yupoje jamani,hivi anajua mpira wa tanzania??

Benchi la simba limefeli mwanzo mwisho.
Uongozi wa fumue timu nzima .
Mgunda Hasepe
Ndo hayo.
Mangi shangali
 
Dube anaawaambia tu wenzie niachieni my wangu daily duh!!! 😆😆😆😆😆😆
 
Habari zenu..
Nina masikitiko sana msimu huu simba hawajachukua kombe lolote.
Mimi ni shabiki kindaki ndaki wa yanga mimi ni mwananchi kabisa na siwezi kuishabikia simba daima.
Ila kinachoniumiza kumuoana huyu doto anachezewa sharubu kila anapoenda kucheza mpira.

Huyu kocha aliyekuja,hana maisha na simba hata kidogo hivi kweli kocha robertinho hukuona saido anapoteza mipira mara kwa mara.
Alafu unashindwa kumuingiza moses phiri unamuingiza bocco kweli.
Hata kama humpendi moses sio mbaya kumuingiza.
Alafu wachezaji wanzuri wapo benchi unashindwa kufanya sub .

Huyu robertinho ndo ameifelisha simba kuingia nusu fainali za cuf,simba walishikilia game mwanzo mwisho wydad walikuwa wanashambulia mda wote na simba alishindwa kumtoa saido na kumuingiza sakoh??
Leo tena kashindwa kumtoa saido tena.hivi huyu kocha yupoje jamani,hivi anajua mpira wa tanzania??

Benchi la simba limefeli mwanzo mwisho.
Uongozi wa fumue timu nzima .
Mgunda Hasepe
Ndo hayo.
Mangi shangali
Kwa uelewa wako bro ata ungekua wew ungemtoa said au chama alafu unamuingiza nani kapama au sawadogo au bocco...kocha kapambana vyakutosha hatumdai anatumia wachezaji aliowakuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uelewa wako bro ata ungekua wew ungemtoa said au chama alafu unamuingiza nani kapama au sawadogo au bocco...kocha kapambana vyakutosha hatumdai anatumia wachezaji aliowakuta

Sent using Jamii Forums mobile app
Kocha anazingua huyu ile mechi na wydad alikamata mchezo vinzuri alishindwaje kumtoa saido na kumuingiza sakoh
 
Saido anakaa na mali mguuni bro...inasaidia kupunguza kasi ya mashambulizi golini kwenu..na ndotulichokiitaji ile siku

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ndo anayepoteza mipira sana.
Sasa inafaida gani??
Ni bora sakoh anayekimbiza mpira na kuongeza mashambulizi kwani hujui mbi nu ya kujilinda ni kushambulia??
 
Robertino asilaumiwe ,alaumiwe mlogaji saido ,muda wote mnaohisi saido anakosea,macho yababu yaona mipira inagonga mwamba
 
kocha amekuwa muoga kumgusa chama na saido tangu azomewe na mashabiki apo uongozi inabidi wampe mamlaka yote kocha afanye anavyojua yeye hata akiaribu lawama ni juu yake.
 
Robertinho ni mwalimu mzuri. Cha msingi dirisha la usajili kikifunguliwa, apewe nafasi ya kusajili wachezaji anaowaamini, lakini pia uongozi ukubaliane naye kwenye usitishwaji wa mikataba kwa wale wachezaji ambao hawapo kwenye mpango wake.

Kinyume na hapo, basi msimu ujao wategemee maumivu zaidi kwa hiki kikosi cha tia maji tia maji, walichonacho.
 
Back
Top Bottom