Kuna kosa kuzigawa habari za michezo Kitaifa, Afrika na Kimataifa

Kuna kosa kuzigawa habari za michezo Kitaifa, Afrika na Kimataifa

babacollins

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2010
Posts
901
Reaction score
212
Katika vipindi vya michezo kwenye baadhi ya vyombo vya habari, wamezigawanya habari hizo katika kundi la kitaifa, Afrika na kimataifa. Kwenye za kitaifa mara nyingi huwa wapo sahihi lakini linapokuja suala la habari za Afrika tayari ni za kimataifa sababu zinagusa mataifa tofauti afadhali za kimataifa zingeitwa habari za nje ya bara la Afrika.

Na mara nyingi wanaotumia neno "Kimataifa" hubeba dhana kuwa bora kuliko jambo ambalo sio mara zote lipo sawa.

Mchezaji kiongozi.
 
Back
Top Bottom