Kuna kosa la lugha katika Penal Code (2019)

Kuna kosa la lugha katika Penal Code (2019)

OLS

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2019
Posts
426
Reaction score
685
Nipo nasoma sheria zenu, Penal Code (2019) inakosa kidogo kwenye kiingereza limetumia neno 'Parson' badala ya 'Person' katika Ibara ya 176

Neno person ni tofauti na Parson

1635490738100.png
 
Back
Top Bottom