Kuna kundi la vijana wa Kitanzania wanahusiana na makundi ya kigaidi. Kwa sasa hawa ndio maadui wa taifa letu

Kuna kundi la vijana wa Kitanzania wanahusiana na makundi ya kigaidi. Kwa sasa hawa ndio maadui wa taifa letu

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Kuna vijana wengi sana wa kitanzania ambao walishakuwa brainwashed na kujiunga na makundi ya kigaidi kama Al shabab.

Vijana wengi sana toka mikoa ya pwani, Tanga , Arusha walishajiunga na kundi la Al shababu na wengi tu walishawahi kuhudhuria mafunzo ya kigaidi huko Somalia.

Hata hayati Agustine Mahiga alipkuwa muwakilishi wa UN huko Somalia alishuhudia vijana kibao wa kitanzania wakiwa Somalia wakifanya mafunzo ya Kigaidi. Na alipohojiwa na vyombo vya habari aliwahi kugusia juu ya hili.

My take: Tuna maadui wengi kama taifa ila kwa sasa kundi la vijana walio na sapoti kwa jihadi ni adui mmojawapo mkubwa.
 
Hawa vijana walidanganywa kuna mfumo wa Kikristo unawaonea waislam. Sasa rais wetu ni muislamu na anaupiga mwingi sana upande wa pili. Magaidi wakituzingua watakuwa wanatuonea maana wamepata walichokuwa wanataka.
😂😀😂
 
Peleka ushahidi kunakohusika ili wataalamu walifanyie kazi, otherwise ni majungu tu.
 
Acheni uboya, hilo tukio la jana halina uhusiano wowote na ugaidi. Hilo ni tukio linaohusiana na uonevu wa Askari Police kwa raia/wafanyabiashara. Hili ni kama lile tukio la Trafic Police kugongwa na dereva wa bus.

Haya matukio ni taarifa kwa Rais SSH kwamba raia sasa wamewachoka askari police wake kwa uonevu na dhuluma walizokua nazo kwa raia.

Tokea 2015 mpaka sasa askari polisi wametumika sana kunyanyasa, kudhulumu na kuonea raia, humu JF tulishapiga kelele kwamba raia wameshachoka na matendo ya askari polisi.

Trafic Police walikua wanabambikiza raia fine za ajabu ajabu barabarani. Ilikua ukikamatwa anakupiga hata mikeka 5 bila hatia, na unapewa week moja ulipe. Walikua wanapita mtaani kukamata magari yanayo daiwa licha ya kuwa sheria haitamki hivo kwasababu kuna option ya riba ya kuchelewa kulipa fine.
 
Kuna vijana wengi sana wa kitanzania ambao walishakuwa brainwashed na kujiunga na makundi ya kigaidi kama Al shabab.

Vijana wengi sana toka mikoa ya pwani, Tanga , Arusha walishajiunga na kundi la Al shababu na wengi tu walishawahi kuhudhuria mafunzo ya kigaidi huko Somalia.

Hata hayati Agustine Mahiga alipkuwa muwakilishi wa UN huko Somalia alishuhudia vijana kibao wa kitanzania wakiwa Somalia wakifanya mafunzo ya Kigaidi. Na alipohojiwa na vyombo vya habari aliwahi kugusia juu ya hili.

My take: Tuna maadui wengi kama taifa ila kwa sasa kundi la vijana walio na sapoti kwa jihadi ni adui mmojawapo mkubwa.

Futa kauli yako kwanza.

Unajua maana ya ugaidi.

Mimi ni mkristo tena kkkt.

Watu wanapo shindwa utawala unaoweza kufanya maendeleo unasema ugaidi.

Unajua maana ya ugaidi,mafia,majasusi,makabila,washenzi au n.k

Usipende kuongea usilo lijua japo siwezi kuongea kuandika
 
Kuna vijana wengi sana wa kitanzania ambao walishakuwa brainwashed na kujiunga na makundi ya kigaidi kama Al shabab.

Vijana wengi sana toka mikoa ya pwani, Tanga , Arusha walishajiunga na kundi la Al shababu na wengi tu walishawahi kuhudhuria mafunzo ya kigaidi huko Somalia.

Hata hayati Agustine Mahiga alipkuwa muwakilishi wa UN huko Somalia alishuhudia vijana kibao wa kitanzania wakiwa Somalia wakifanya mafunzo ya Kigaidi. Na alipohojiwa na vyombo vya habari aliwahi kugusia juu ya hili.

My take: Tuna maadui wengi kama taifa ila kwa sasa kundi la vijana walio na sapoti kwa jihadi ni adui mmojawapo mkubwa.
Uvccm hao wanafundishana ugaidi tu na kuteka watu
 
Acheni uboya, hilo tukio la jana halina uhusiano wowote na ugaidi. Hilo ni tukio linaohusiana na uonevu wa Askari Police kwa raia/wafanyabiashara. Hili ni kama lile tukio la Trafic Police kugongwa na dereva wa bus.

Haya matukio ni taarifa kwa Rais SSH kwamba raia sasa wamewachoka askari police wake kwa uonevu na dhuluma walizokua nazo kwa raia.

Tokea 2015 mpaka sasa askari polisi wametumika sana kunyanyasa, kudhulumu na kuonea raia, humu JF tulishapiga kelele kwamba raia wameshachoka na matendo ya askari polisi.

Trafic Police walikua wanabambikiza raia fine za ajabu ajabu barabarani. Ilikua ukikamatwa anakupiga hata mikeka 5 bila hatia, na unapewa week moja ulipe. Walikua wanapita mtaani kukamata magari yanayo daiwa licha ya kuwa sheria haitamki hivo kwasababu kuna option ya riba ya kuchelewa kulipa fine.
Huo ndio ukweli Mkuu.
 
A
Kuna vijana wengi sana wa kitanzania ambao walishakuwa brainwashed na kujiunga na makundi ya kigaidi kama Al shabab.

Vijana wengi sana toka mikoa ya pwani, Tanga , Arusha walishajiunga na kundi la Al shababu na wengi tu walishawahi kuhudhuria mafunzo ya kigaidi huko Somalia.

Hata hayati Agustine Mahiga alipkuwa muwakilishi wa UN huko Somalia alishuhudia vijana kibao wa kitanzania wakiwa Somalia wakifanya mafunzo ya Kigaidi. Na alipohojiwa na vyombo vya habari aliwahi kugusia juu ya hili.

My take: Tuna maadui wengi kama taifa ila kwa sasa kundi la vijana walio na sapoti kwa jihadi ni adui mmojawapo mkubwa.
Acha ujinga chagu, Sisi wenyewe ndio tunao wabrain wash vijana wetu. Kwa kuwadhulumu na kuwaonea na kuwabambikizia, kwa namna hiyo unategemea vijana wasiwe na nongwa na watesi wao.pamoja hayo utupe uthibitisho wa uyasemayo kuhusu ugaidi, kama nawe gaidi, jisalimishe kabla.
 
A
Acha ujinga chagu
Screenshot_20210826-215337.png
 
Back
Top Bottom